RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akitowa Taarifa ya Serikali kuhusiana na kutokea kwa Ajali ya Meli usiku wa kuamkia leo huko katika mkondo wa Nungwi.
WAANDISHI wa Habari wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitowa Taarifa ya Serikali kwa Wananchi kuhusiana na ajali ya Meli ya MV Spice.
MKURUGENZI wa Mawasiliano Ikulu Hassan Khatib akiongoza kikao cha taarifa ya Rais wa Zanzibar akiitowa kwa Waandishi wa Habari wa vyomba mbalimbali Ikulu ya Zanzibar kutokana na ajali ya Mele ya MV.Spice
No comments:
Post a Comment