<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039</id><updated>2012-02-14T16:43:24.460+03:00</updated><category term='MABUNGO FRESH KUTOKA SHAMBA'/><category term='RATIBA LIGI ULAYA'/><category term='MICHUANO YA  VODACOM MEI DAY 2009'/><category term='ATHARI ZA MVUA ZA MASIKA MJI MKONGWE.'/><category term='MAMBO YA MEI DAY UWANJA WA MAO'/><category term='NGOMA YA MSEWE'/><category term='Unayakumbuka haya?'/><category term='VODACOM ZANZIBAR LAUNCH'/><title type='text'>ZanziNews Blog</title><subtitle type='html'>ASSALAAMU 'ALAYKUM NI KATIKA KUSHIRIKIANA KWA KUPEANA HABARI KWA PICHA NA MATUKIO, KUKUMBUSHANA YALIYOJIRI HUKU NA KULE NA KUWEKA KUMBUKUMBU AMBAYO WEWE UNAETEMBELEA ITAWEZA KUKUHABARISHA AU KUKUMBUSHA KITU, JAMBO AU TUKIO</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>3080</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5449643998944187114</id><published>2012-02-14T10:11:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T10:11:32.645+03:00</updated><title type='text'>Zanzibar Haiwezi Kuwa na Baraza Lake la Mitihani?</title><content type='html'>Salum Vuai&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WAKATI Zanzibar na Tanganyika zilipoungana na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zipo wizara kadhaa zilizoamuliwa ziwe za muungano.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kiutaratibu wizara hizo zinakuwa na mawaziri na manaibu wao ambao wanatumikia pande zote mbili sawia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mfano wa hizo, ni ile ya Mambo ya Ndani, Mambo ya Nje na Wizara inayoshughulikia mambo ya Afrika Mashariki, lakini kwa wizara nyengine, kila nchi inakuwa na yake yenye mamlaka ya kujisimamia kwa niaba ya nchi husika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na katika wizara zisizokuwa za muungano, haijapata kuelezwa kwamba elimu ni miongoni mwa hizo, lakini tangu zamani kumekuwa na utaratibu wa elimu ya juu kusimamiwa na Tanzania Bara, huku ile ya maandalizi, msingi na kati zikiachwa kila sehemu ijitegemee kivyake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hali kama hiyo, baada ya wanafunzi wa Zanzibar kudima kwa miaka yote tangu maandalizi hadi sekondari ya kati, wanapoingia kidato cha nne, hulazimika kufanya mitihani inayotungwa Tanzania Bara chini ya Baraza la Mitihani NECTA.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Sina hakika kama wakati wa kutunga mitihani hiyo Zanzibar inawashirikishwa na walimu wake, na kama ndivyo, sijui ni kwa kiwango gani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na je, kama upo uwakilishi huo, ni kwa kiwango gani basi wanapata nafasi ya kutoa masuala wanayoyaona yanastahili wakati wa kutunga mitihani hiyo ili kuweka uwiano ulio sawa kati ya Bara na Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni ushiriki wa walimu wa Zanzibar katika  kusainisha mitihani hiyo ambapo mara kadhaa wamekuwa wakipelekwa hata mikoa ya Tanzania Bara kufanya kazi hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Yumkini utaratibu huu ulikuwa lazima ufanywe hapo nyuma kwa sababu wakati nchi zetu zinajikomboa, Zanzibar ilichelewa kuanzisha vyuo vikuu vyake ambapo wale wahitimu wa sekondari waliofaulu walilazimika kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Ardhi, na hata baadhi ya vyuo vya taaluma nyengine kama vile uhasibu na kadhalika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na hayo, hapo nyuma, malalamiko kuhusu kuonewa, kunyanyaswa, kufelishwa kwa makusudi kwa wanafunzi wa Zanzibar waliojiunga na vyuo vikuu Bara, yalikuwa nadra kusikika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Lakini katika miaka ya karibuni, vilio vya wanafunzi na watahiniwa wa Zanzibar wanaofanya mitihani ya taifa kwamba hawatendewi haki hata pale viwango vyao vya ufahamu vinapokuwa vikubwa kuwazidi wenzao wa upande wa pili, limekuwa jambo la kawaida.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baya zaidi, malalamiko hayo mara nyengine yanahusishwa na mitazamo ya kidini, ikidaiwa kuwa watendaji wanaohusika na usainishaji mitihani, huangalia mtahiniwa ni wa dini gani na apewe nini kulingana na itikadi yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mimi hili sitaki nilizungumzie kwa undani kwa sababu sina hakika nalo, lakini napenda nitumie usemi maarufu wa Kiswahili, "Lisemwalo lipo, kama halipo lipo njiani laja".  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Siku chache zilizopita NECTA iliweka katika mtandao matokeo ya mitihani ya kidato cha nne, ambapo kila mmoja aliyapokea kwa hisia tafauti.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na kuwa vitendo vya udanganyifu hutokezea katika mitihani, lakini wengi wamefadhaishwa na hatua ya kundi kubwa kufutiwa kabisa mitihani yao, wakidai hata kama walifanya hila, suluhisho ni kurudiwa mitihani hiyo na sio kuwafuta kabisa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha kama, inaaminika kuwa mitihani ilivuja, kwa nini waadhibiwe wanafunzi tu huku ikijulikana kwamba hilo haliwezekani bila kuwepo mkono wa maofisa wanaosimamia mitihani hiyo au wanaoitunga?&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa kuwa katika kipindi hiki hali hiyo ya upande mmoja kudai kuonewa na kubaguliwa katika mitihani ya elimu ya juu, ni busara hili nalo liorodheshwe katika kero za muungano kwa lengo la kulitafutia ufumbuzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, nadhani suluhisho la tatizo hili, ni kuiondoa elimu ya juu katika muungano ili  Zanzibar iweze kuanzisha Baraza lake la Mitihani, na hivyo kuendesha yenyewe utaratibu wa elimu na mitaala yake kikamilifu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kama hoja ilikuwa kutokuwepo kwa vyuo vikuu, sasa hali imebadilika na hilo si tatizo tena kwani tayari tunavyo vyuo vikuu vitatu, mbali na vyengine vya kitaaluma kama kile cha usimamizi wa fedha, cha Kiislamu, Ufundi Mbweni na Mikunguni, pamoja na chuo cha Utumishi wa Umma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Vyuo hivyo vyote kwa pamoja vimekuwa vikitoa wahitimu wazuri katika fani tafauti na kuongeza idadi ya wasomi na wataalamu wa Kizanzibari, sifa inayotupa uwezo wa kuanzisha Baraza la Mitihani na kujivua katika mbeleko ya muungano kwa elimu ya juu. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kimantiki, haiingii akilini elimu za ngazi za chini iwe tunafanya kivyetu, lakini ile ya juu tufuate mitaala ya Bara, kwani yawezekana wanafunzi wetu wa Zanzibar wakawa wazuri, lakini wanapofika sekondari ya juu wanaongezewa mzigo kwani huenda mbele ya safari mambo ni magumu zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hapa sikusudii kusema tuwatungie wanafunzi wetu mitihani myepesi, la hasha, lakini inapobainika wenzetu hawana uadilifu wakati wa kusainisha na kupanga madaraja, iko haja ya kuzinduka na kujiuliza kulikoni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tel: 0777 865050&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;E mail: salumss@yahoo.co.uk&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5449643998944187114?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5449643998944187114/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zanzibar-haiwezi-kuwa-na-baraza-lake-la.html#comment-form' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5449643998944187114'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5449643998944187114'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zanzibar-haiwezi-kuwa-na-baraza-lake-la.html' title='Zanzibar Haiwezi Kuwa na Baraza Lake la Mitihani?'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2822841467195540993</id><published>2012-02-14T09:35:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T10:10:37.497+03:00</updated><title type='text'>Watu Maarufu Wanavyoitangaza Zanzibar - Shirika la Utalii mpo?</title><content type='html'>&lt;span style="font-size: x-large;"&gt;&lt;b&gt;Spice and easy: Tanzania comes up trumps as Rory Bremner visits Zanzibar and Pemba&lt;/b&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;img alt="Rory Bremner" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/12/article-2100173-11A0BC09000005DC-414_634x774.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;By Rory Bremner&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I've been very bad at arranging swanky holidays recently. That is, proper breaks, without the children. In fact, over the past 18 months, the sum total of Mr and Mrs Bremner's trips away have amounted to just four nights in the South of France and two nights in Harrogate. I'd highly recommend both, by the way, but they're hardly in the Hello! category.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;When the chance did finally come for us to enjoy something more exotic, I faced an immediate problem - where, exactly, do you go for sunshine at this time of year? Political unrest in Egypt and the Maghreb, the bursting of Dubai's bubble and the likelihood of bumping into Michael Winner in the Caribbean have all conspired to narrow the choice.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Spice to be here: Rory soaks up the ambience at Fundu Lagoon&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Our criteria for a week's holiday were simple: less than ten hours' flying, preferably overnight; and a manageable time difference to somewhere offering both adventure and relaxation.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The beaches of India, the Maldives, Indonesia and the Far East were deemed too far, even though Burma looks tempting now that Aung San Suu Kyi's 15-year staycation has come to a welcome end.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Eschewing old favourites Cape Town and Morocco, we contacted Scott Dunn and plumped for Zanzibar off the East African coast. Great call.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Zanzibar - the original Spice Island. The very name conjures up exotic images in the mind's eye: tropical beaches, spice markets, dhow sails in the sunset. Well, what your mind sees is what you get.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;In just under ten hours, good old British Airways had got us, comfortably and right on schedule, to Dar es Salaam, capital of Tanzania, where the tourists divide - some heading for the safari reserves of Ruaha, Selous or the Serengeti to see the animals (and the minibuses) in the Ngorongoro crater or climb Kilimanjaro.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Others, ourselves included, were transported to await our local onward flight in the VIP terminal.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;This is in fact a basic concrete waiting room with open sides where birds hop in and out, a handful of Africans doze and a couple of locals sit chatting at a cafe called The Art of Coffee - the 'art' apparently being to dispense coffee with as much nonchalance and lack of interest as it's possible to muster. Welcome to Africa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;After a longish wait, our pilot arrived to tell us (reassuringly) that rather than wait another hour for fuel, we'd pick up some in Zanzibar before flying to our final destination: Pemba Island.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;African jewel: Zanzibar lives up to its image, with dhows a common sight on its waves&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The Arabs who settled here from the 7th Century called it 'Al Khundra' - the green island - and Pemba, 50 miles north-east of Zanzibar, is just that. More hilly than its southerly sister, its coastline is fringed with mangroves, date palms and clove trees - three million of them, it's said - making Pemba the world's leading exporter of cloves.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;But just about everything grows here: bananas, papaya, mangos, coconuts, black pepper, grapefruit, and, of course, the spices that give this group of islands their name and guaranteed them such a key role in the centuries of trade that plied its way up and down the coast.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Such was the attraction of the islands that in the 1830s the Sultan of Oman moved his court here and ruled Oman from Zanzibar. The Arab heritage survives today, with the island's population almost totally Muslim.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;From Pemba airport, a 40-minute taxi journey takes us south, past villages, schools, acres of lush tropical jungle and roadside displays of cloves drying on mats. From the harbour, the hotel's boat takes us across the water to Fundu Lagoon resort.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Like the Bounty hunters in those adverts, we came in search of paradise, and we found it.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The grey, palm-thatched roofs of the hotel's 18 tents are just visible among the trees, stretching along the lagoon's shoreline and up the hillside behind.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Fundu may have been established by the fashion designer Ellis Flyte, but its charm is entirely natural. This is a barefoot, close-to-nature kind of place. The tents are the luxury safari type, varying in size but each having a bedroom (simple four-poster bed with mosquito net), bathroom with shower, sinks and loo. One night a playful vervet monkey kept my wife awake by rolling nuts down the roof.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;A little piece of paradise: Fundu Lagoon resort is an elegant option on Pemba&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Each tent has a deck area; the superior ones have verandas and plunge-pools. Meals are delicious - from the fruit platters, pastries or cooked breakfasts in the morning to three-course lunches and dinners - and all are served with the gentleness and friendliness that characterises Fundu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The place is magical - unpretentious and relaxing - with the only sounds the lapping of the waves, the call of swifts and curlews and the gentle clinking of little shells as the water washes and caresses them back and forth along the shore.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The lagoon is barely 30 yards from the beachside tents, and an evening swim in the beautifully warm water followed by a walk along the beach for a sundowner on the jetty and candle-lit dinner in the dining room made for a perfect end to each day.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;On our last night, we took a sunset dhow trip with our fellow guests before being served our own private dinner on the beach - an unforgettable treat.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;If you're easily bored, you can take a kayak out on the lagoon, have an excellent massage with either of the sweet Balinese therapists in the pool spa, visit the local village or explore ruins in the mangrove creek. The diving, too, is excellent and suitable for beginners or the advanced, with great visibility and a muchpraised variety of fish and coral.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;A handful of villagers pass along the beach (reminding us that people live here), and to its credit Fundu is actively involved in local village and community projects.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;img alt="Rory Bremner" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/12/article-2100173-11A04FD6000005DC-728_634x480.jpg" /&gt; &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Four nights there was only just enough - we wished it could have been more.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;January and February are the hottest months and some may find the tents uncomfortably warm and airless at night, despite the ceiling fans.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;That apart, we absolutely loved it, in common with a huge majority of TripAdvisor reviewers. Complaints about millipedes and 'People Staring At My Wife' are far outweighed by praise for Fundu's peace, atmosphere and welcome. You can access the internet from the hotel computer, and the mobile-phone signal is better than back home. What's not to love? For most, it will be the experience of a lifetime.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Back on Zanzibar itself, we spent a delightful few hours exploring the capital, Stone Town. It is heavily influenced by its colonial past, which involved Europeans, Arabs and even Americans. They built the island's now-defunct railway in 1904, putting up overhead electric cables as they went, with the result that Stone Town actually had electric light before London.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The town boasts a Catholic church, 40 mosques, a colourful Hindu temple and a maze of narrow alleyways reminiscent of an Arab souk. It also boasts the childhood home of Farrokh Bulsara, better known as Freddie Mercury, who left for England with his family during the 1964 revolution, but the eponymous Mercury's bar is a reminder that they will not let him go (Bismillah, No! They will not let him go!).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;On the open-air rooftop terrace at 236 Hurumzi - once the famously luxurious Emerson and Green hotel - we enjoyed a perfect prawn curry and chicken fajita lunch, with a fantastic view over corrugated-iron rooftops, towers and domes to the harbour beyond.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;An hour's drive through the interior from Stone Town, and down a long gravel track, The Residence makes for an incongruous sight: a gated compound of villas reminiscent of an American condominium or golf resort. Uniformed and pith-helmeted staff at the entrance reinforce the impression.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hmmm. Golf-buggies and guests on bicycles move along pathways like figures on an architect's model. As its name, and its prices, suggest, this is a modern, international luxury resort hotel, part of the Residence chain (they have others in Tunis and Mauritius) but it's undeniably impressive.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;There are 66 spacious villas of varying categories, from luxury and prestige to presidential, arranged around landscaped and manicured gardens. All have pools, wi-fi and air-conditioning. It's the kind of oasis that welcomes parched, exhausted travellers with a choice of still or sparkling water, a place for those who think Africa - like Mark Twain's Canada - is a great country, but not for the whole weekend.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;To be honest, you could be anywhere - Portugal, Dubai or Mauritius, say - but that's not the point. It's new (it opened last April), the food and service are excellent (to the point of overattentive) and, with a mile of pristine beach, a gym, spa, tennis court and fine-dining restaurant, it propels Zanzibar to the forefront of destinations for those wanting a luxury beach holiday within ten hours of Europe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;By royal appointment: The childhood home of Queen's Freddie Mercury can still be seen on Zanzibar&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;It's not Africa - you should do yourself (and Zanzibar) a favour and spend time in the real world outside the compound - but nevertheless, The Residence is right up there with the best in the world, no question.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;And let's face it: Zanzibar - the original Spice Island - has had Freddie Mercury, so what's wrong with a bit of Posh Spice?&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Source:&amp;nbsp;&lt;a href="http://www.dailymail.co.uk/"&gt;http://www.dailymail.co.uk&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2822841467195540993?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2822841467195540993/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/watu-maarufu-wanavyoitangaza-zanzibar.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2822841467195540993'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2822841467195540993'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/watu-maarufu-wanavyoitangaza-zanzibar.html' title='Watu Maarufu Wanavyoitangaza Zanzibar - Shirika la Utalii mpo?'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7806097775682926984</id><published>2012-02-14T09:28:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T09:28:45.958+03:00</updated><title type='text'>SMZ Yatoa Milioni 50 kwa Waathirika Mafuriko Dar</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-qYRr0OpbShY/Tzn-3a55HTI/AAAAAAAALso/E1XwpH92qJo/s1600/151.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://4.bp.blogspot.com/-qYRr0OpbShY/Tzn-3a55HTI/AAAAAAAALso/E1XwpH92qJo/s640/151.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Na Othman Khamis, DODOMA                                                                                                                         &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;SERIKALI itaendelea kutoa taaluma kwa wananchi ili waepukane na tabia ya kujenga makaazi ya kudumu kwenye maeneo hatarishi ambayo huteta athari zinazopelekea kutokea maafa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri mkuu Mizengo Pinda alitoa kauli hiyo huko nyumbani kwake Dodoma, baada ya kupokea mchango kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko ya mvua iliyoukumba mkoa wa Dar es Salaam miezi michache iliyopita.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mchango huo wa shilingi milioni 50,000,000, umetolewa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kuwasilishwa kwa waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pinda alisema   baadhi ya watu  kwa kukosa taaluma  ya kutosha wamekuwa na tabia ya kujenga maeneo ya hatari ambayo hayafai kwa makazi ya watu na matokeo yake ni hasara wakati inapotokea mafuriko.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pinda  alifahamisha kuwa kufuatia maafa yaliyowakumba wananchi wa Jangwani jijini Dar es salaam, serikali imetenga eneo la Mabwepande Bunju Mkoani Dar es Salaam ambapo   wananchi wa Kata 300 wameshapatiwa viwanja na wengine  wa kata 250 wanaendelea kushughulikiwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Mwanzo ilikuwa kazi kuhamisha mtu kwenda eneo hilo, lakini wale waliobahatika kufika na kuona eneo lenyewe kwa vile tayari miundombinu imeshawekwa walifurahia eneo hilo”, alisema Pinda.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisisitiza kwamba serikali inaendelea kuunga mkono juhudi za wananchi hao katika harakati zao za kuhamisha vifaa vilivyokuwepo katika makazi yao ya zamani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alieleza kuwa serikali inaendelea kukabiliwa na changamoto ya kuomba misaada kwa ajili ya kuwasaidia wananchi walioathirika na mafuriko hayo wakiwemo pia wale waliokuwa wamepanga nyumba katika eneo hilo la mafuriko.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pinda aliwashukuru wananchi wa Zanzibar kwa kuunga mkono harakati za kusaidia ndugu zao waliopatwa na janga hilo, huku akisema itakuwa ni faraja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mapema akikabidhi mchango huo, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, alisema mafuriko hayo yameathiri watu kadhaa na matokeo yake wengi kati yao wamekosa makaazi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Balozi Seif alisema wananchi wa Zanzibar wamepokea kwa mshituko taarifa za janga na wameungana nao katika kuwapa pole katika kipindi kizito hasa kwa wale waliopoteza ndugu na jamaa zao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maafa yaliyoukumba Mkoa wa Dar es salaa na vitongoji vyake  yalisababisha vifo vya watu 40, nyumba kadhaa kuzama na nyengine kubomoka na baadhia miundombinu kama vile barabara na nguzo za simu kuharibika kabisa.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7806097775682926984?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7806097775682926984/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/smz-yatoa-milioni-50-kwa-waathirika.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7806097775682926984'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7806097775682926984'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/smz-yatoa-milioni-50-kwa-waathirika.html' title='SMZ Yatoa Milioni 50 kwa Waathirika Mafuriko Dar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-qYRr0OpbShY/Tzn-3a55HTI/AAAAAAAALso/E1XwpH92qJo/s72-c/151.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5344672807878753624</id><published>2012-02-14T09:24:00.002+03:00</published><updated>2012-02-14T09:24:26.094+03:00</updated><title type='text'>Kampuni Binafsi Zakaribishwa Kusafisha Mji</title><content type='html'>Na Mwantanga Ame&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;SERIKALI inakusudia kubinafsisha huduma za kufanya usafi wa mji, kwa kuruhusu kazi hiyo kufanywa na kampuni za watu binafsi zitakazopenda kuendesha kazi hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Mwinyihaji Makame aliyasema hayo jana wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ikiwa ni utaratibu wa mawaziri kuelezea majukumu yao ya utekelezaji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwinyihaji alisema, wizara yake katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka, imeweza kufanya mambo mbali mbali ikiwemo suala la kuandaa mpango wa kubinafsisha huduma za usafi wa mji kwa kuruhusu kampuni binafsi kufanya hivyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo alisema wizara imeamua kuchukua uamuzi huo ikiamini kuwa lengo kuufanya mji wa Zanzibar kuwa katika hali ya usafi kwa wakati wote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema imelazimika kuzikaribisha kampuni binafsi kwani hivi sasa katika miji mbali mbali duniani kazi hiyo inafanywa na kampuni binafsi na sio serikali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Mwinyihaji alisema umefika wakati serikali haiwezi kuendelea na mfumo wa sasa uliopo wa kusafisha mji na tayari imeshaanza kuutangaza mpango huo kwa wananchi ili kuwapa nafasi kwa wanaoweza kuomba kuifanya kazi hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa serikali itashirikiana na kampuni zitakazojitokeza na kupata nafasi ya kufanya kazi hiyo, ili lengo la mji wa Zanzibar kuwa safi liweze kufikiwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wizara hiyo inajiandaa kuweka kanuni ambazo zitaweza kuwapa adhabu watu wataobainika kutupa taka ovyo na kuwataka wananchi kupenda tabia ya usafi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema mipango inaandaliwa kutafuta majiko ya kuchomea taka ikiwa ni hatua itayopunguza gharama za utupaji wa takataka kwa kuzingatia kuwa zaidi ya asilimia 86 ya taka hizo ni mboji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema uwezo uliopo hivi sasa katika majaa ya Zanzibar ni kubeba asilimia 45 huku kukiwa na mahitaji ya asilimia 70 ya taka zinazotakiwa kutumia majaa ambapo mradi huo utajenga majaa mapya 193.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia urandaji wa wanyama mjini, Dk. Mwinyihaji alisema wanakusudia kuanzisha msako mkali wa kukamata wanyama wanaoranda ovyo, baada ya kuandaa kamati maalum ya wilaya ambayo itaweza kutumia busara katika kudhibiti tatizo hilo ikiwa ni hatua ya kuondoa kuwapo malumbano wakati wa utekelezaji wa oporesheni hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mpango huo utaenda sambamba na uimarishaji wa usafi katika mitaro baada ya serikali kupata mradi mkubwa wa kuimarisha huduma za miji Zanzibar (ZUSP), ambao utajumuisha ujenzi wa michirizi ya maji ya mvua na kufanya ukarabati wa ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua katika maeneo ya ng’ambo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mradi huo unatarajiwa kuanza kutekelezwa na serikali mwisho wa mwaka huu kwa vile tayari zabuni za kufanya kazi hiyo zimeanza kutangazwa pamoja na kufanyika kwa tathmini za mwisho ikiwa ni hatua itayoweza kupunguza athari za kimazingira.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo, alisema wakati wakisubiri mradi huo kuanza wanakusudia kuizibua mitaro ya maji machafu ndani ya kipindi cha miezi mitatu ikiwa ni hatua ya kukabiliana na mvua za masika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akifafanua zaidi juu ya mradi huo Kaimu Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Mzee Khamis Juma, alisema mradi huo unatarajia kutumia dola za kimarekani zaidi ya milioni 7 ambapo utahusisha ujengaji wa majaa mapya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusu suala la hali ya Vyuo vya Mafunzo, alisema tayari serikali imeanza kuchukua hatua za kukabiliana na msongomano katika magereza ikiwa pamoja kuimarisha kiutendaji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema katika kulitekeleza hilo serikali inakusudia kukaa pamoja na Idara ya Mahakama kuona vipi wataweza kuharakisha uendeshaji wa kesi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, Waziri huyo alisema Wizara hiyo inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwa pamoja na kuimarisha utoaji wa huduma katika halmashauri ambapo kuanzia sasa itaweka wataalamu ambao watakuwa wakifanya kazi zao kisekta.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo alisema katika kuona Wizara hiyo inaimarisha huduma zake inakusudia kuanza ujenzi kwa ajili ya ofisi za wizara hiyo itayojengwa Mazizini Mjini Uguja.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5344672807878753624?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5344672807878753624/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kampuni-binafsi-zakaribishwa-kusafisha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5344672807878753624'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5344672807878753624'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kampuni-binafsi-zakaribishwa-kusafisha.html' title='Kampuni Binafsi Zakaribishwa Kusafisha Mji'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-603482483610492880</id><published>2012-02-14T09:23:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T09:23:19.436+03:00</updated><title type='text'>'Katiba Mpya Italeta Muungano Usioibana Zanzibar' : Maalim Seif</title><content type='html'>Na Mwajuma Mmanga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema jambo linalowagusa zaidi Wazanzibari katika kuelekea kupata katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano ni kuwa na mfumo wa Muungano ambao hauwabani katika nyanja zote ikiwemo kisiasa, kiuchumi na kijamii. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema, Wazanzibari ambao tayari wanayo katiba yao iliyo sawa na ile ya Jamhuri ya Muungano, suala kubwa wanalopaswa kulizingatia ni kuwepo katiba mpya itakayotoa haki sawa kati ya pande mbili za Muungano huo, bila ya kuwepo dhana ya ukubwa au udogo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maalim Seif aliyasema hayo jana hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar, alipokuwa akifungua mkutano wa pili wa hali ya siasa Zanzibar, ulioandaliwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (REDET) wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Wazanzibari watakuwa na fursa ya kipekee kuamua aina gani ya Muungano wenye maslahi kwao, uwe kama ulivyo sasa, uwe Muungano wa serikali tatu au Muungano wa mkataba kwa mambo watakayokubaliana pande mbili, badala ya ule wa kufungana kikatiba”, alisema Maalim Seif.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema jambo la muhimu katika kufanikisha lengo hilo, ni wananchi wote wa Zanzibar wanapaswa wajipange vizuri, ili wakati wa kutoa maoni utakapofika waweze kutoa maoni yenye maslahi kwao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alieleza kwamba, yeye pamoja na viongozi wengine kama vile Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi na viongozi wengine wamekuwa wakiwahimiza wananchi wa Zanzibar kufuatilia kwa makini mchakato wa kupata katiba hiyo mpya, itakayokuwa na maslahi kwa wananchi wa Zanzibar na wenzao wa Tanzania Bara.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maalim Seif alisema malengo hayo yatakapoweza kufikiwa migogoro, malalamiko na manung’uniko mengi ambayo yamekuwa yakijitokeza tokea Muungano huo ulipoasisiwa mwaka 1964, yataweza kupungua na kuondoka kabisa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliyo katika mfumo wa Umoja wa Kitaifa, Maalim Seif alisema mfumo huo wa serikali umeleta faida kubwa kwa Zanzibar, kwani umeweza kuondoa kabisa tabia ya mivutano inayotokana na itikadi za kisiasa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema huko nyuma kabla ya kufikiwa maridhiano wananchi wa Zanzibar  walikabiliwa na mifarakano ya hali ya juu, hali iliyosababisha kwa kiasi kikubwa maendeleo yao kusuasua.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alieleza kuwa kupatikana kwa maridhiano ya kweli na baadaye kuundwa serikali ya aina hiyo, kumelata umoja miongoni mwa wananchi na hivi sasa Wazanzibari wote wanachangia na kushiriki katika harakati za maendeleo ya nchi yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema miongoni mwa wananchi hao ni wale ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiishi nje ya Zanzibar, ambao hivi sasa wamekuwa na hamu kubwa ya kuona Zanzibar inapiga hatua kubwa ya maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa faida nyengine zinazopatikana hivi sasa ni kuonesha mshikamano wa wanajamii wote, kama hali iliyojitokeza mwezi Septemba mwaka jana, baada ya kutokea maafa ya kuzama kwa meli ya Mv. Spice Islander, jambo ambalo huko nyuma wakati kukiwa hakuna maelewano, mshikamano kama huo usingeweza kupatikana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mbali na wananchi wenyewe wa Zanzibar, pia wawekezaji vitega uchumi kutoka nje ya nchi wameridhishwa na hali ya amani na utulivu, ambayo ni muhimu katika shughuli za kufungua miradi ya kiuchumi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia changamoto zinazojitokeza kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, Maalim Seif alisema kati ya hizo ni kuwepo baadhi ya viongozi na watu ambao hawafurahishwi na maridhiano ya Wazanzibari.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Watu hao ni wachache,baadhi yao wamekuwa wakijaribu kutia fitna, ili kuvuruga maelewano, kwa bahati mbaya yapo magazeti machache yanayotolewa Tanzania bara ambayo yamepania kuleta chokochoko, ili kuvuruga kuaminiana kulikojengeka”, alionya Maalim Seif.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo, Makamu wa Kwanza wa Rais, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, alisema azma ya watu hao wachache haitafanikiwa na badala yake mshikamano na umoja miongoni mwa Wazanzibari utaendelea kuimarika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kwamba watu hao wenye mawazo tenganishi watashindwa, kwa sababu wananchi wengi wa Zanzibar wanaona hali ya umoja na maelewano miongoni mwao ina faida kubwa zaidi kuliko kutengana.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-603482483610492880?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/603482483610492880/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/katiba-mpya-italeta-muungano-usioibana.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/603482483610492880'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/603482483610492880'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/katiba-mpya-italeta-muungano-usioibana.html' title='&apos;Katiba Mpya Italeta Muungano Usioibana Zanzibar&apos; : Maalim Seif'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8712267239928236221</id><published>2012-02-13T22:53:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T22:53:16.112+03:00</updated><title type='text'>Sakata la Kufutwa Matokeo - Wizara ya Elimu Kutoa Tamko</title><content type='html'>Na Hafsa Golo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;KUFUATIA skuli 30 za sekondari kufutiwa matokeo ya kidato cha nne, wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema ndani ya wiki hii, itatoa tamko rasmi juu ya kadhia hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naibu Katibu Mkuu wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Abdalla Mzee Abdalla, alieleza hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili huko ofisini kwake Mazizini mjini hapa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema baada ya wizara kukusanya ushahidi ndipo itakapotoa tamko rasmi dhidi ya tatizo hilo la mamia ya wanafunzi wa Zanzibar kufutiwa matokeo yao ya kidato cha nne yaliyotolewa hivi karibuni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Tunakusanya maelezo juu ya tatizo hili na ndani ya wiki hii tutatoa tamko rasmi juu ya tatizo hilo”, alisema Naibu huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naibu huyo alisema kiasi cha skuli 30 zimeathirika kwa kufutiwa matokeo ambapo Chuo cha Kislamu Pemba wanafunzi wote waliofanya mitihani ya kidato cha nne wamefutiwa matokeo yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Skuli nyengine ambazo wanafunzi wake wengi wamefutiwa ni Hamamni wanafunzi 158 wamefutiwa matokeo yao, Jang’ombe 117, Regeza Mwendo 79, Filter Federal 79 na skuli ya High View 65.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza na gazeti hili mmoja kati ya wanafunzi waliofutiwa matokeo Ummu-lyman Mohammed Ali, kutoka skuli ya Filter Federal alisema wasiadhibiwe wanafunzi juu ya suala la kuvuja mitihani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kama mitihani hiyo imefutwa kwa shaka ya kuvuja ni jukumu la wizara ya Elimu kuwaadhibu watumishi wake wenye tamaa ya fedha na kukubali kuvujisha mitihani hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwanafunzi huyo alisema wanafunzi wapewe haki kwa kupewa matokeo yao na wahusika waliovujisha mitihani hiyo kutoka Bara hadi kuvuka maji na kuingia Zanzibar waadhibiwe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Huwa tunasikia kila mwaka mtihani hii inavuja kwani wanaovujisha ni nani ni sisi wanafunzi au hao watumishi wabovu wa wizara ya elimu, si vyema kuhukumiwa sisi kwa makosa yao”, alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hivi karibuni mamia ya wanafunzi wa sekondari wameonesha kufadahaishwa huku wakipanga kufanya maandamo kufuatia kufutiwa matokeo yao ya kidato cha Nne.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8712267239928236221?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8712267239928236221/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/sakata-la-kufutwa-matokeo-wizara-ya.html#comment-form' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8712267239928236221'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8712267239928236221'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/sakata-la-kufutwa-matokeo-wizara-ya.html' title='Sakata la Kufutwa Matokeo - Wizara ya Elimu Kutoa Tamko'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5616551097868333706</id><published>2012-02-13T21:18:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T22:42:23.072+03:00</updated><title type='text'>Matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini Wilaya ya Kati Unguja.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/--ryWOxIzlMY/TzlLziQLQBI/AAAAAAAALmA/obiF2R1R1vM/s1600/IMG_7982.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/--ryWOxIzlMY/TzlLziQLQBI/AAAAAAAALmA/obiF2R1R1vM/s640/IMG_7982.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakiwa katika Ukumbi&amp;nbsp;Maalum wa&amp;nbsp; kuhesabia kura kwa jumla vituo vyote hapo Dunga. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-pLYJJmfcNgY/TzlMAI2v8KI/AAAAAAAALmI/ZQM2x7wWZLw/s1600/IMG_7964.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-pLYJJmfcNgY/TzlMAI2v8KI/AAAAAAAALmI/ZQM2x7wWZLw/s640/IMG_7964.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maofisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Wilaya ya Kati, wakisoma matokeo ya Kura kila kituo ili kujumuisha kura zote zilizopigwa atika zoezi la Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-ec9sbN8Xywo/TzlNKpuPXQI/AAAAAAAALmQ/_h7vopU1UgE/s1600/IMG_7988.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-ec9sbN8Xywo/TzlNKpuPXQI/AAAAAAAALmQ/_h7vopU1UgE/s640/IMG_7988.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wagombea wa Uwakilishi Jimbo la Uzini, wakiwa katika Ukumbi wa kuhesabia Kura katika Ofisa za Wilaya ya Dunga, wa kwanza Mgombea wa AFP Rashid Yussuf Mshenga, Salma Hussein Razal CUF.Mohammedraza Hassanali Mohammedali CCM na Ali Mbarouk Mshimba CHADEMA, wakifuatilia jinsi ya ujumlishaji wa kura za kila Kituo uliofanya na Tume ya Uchaguzi.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-sX9PrVQQ0yg/TzlNbAwTq5I/AAAAAAAALmY/Mq7Vo4nIB8o/s1600/IMG_7993.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-sX9PrVQQ0yg/TzlNbAwTq5I/AAAAAAAALmY/Mq7Vo4nIB8o/s640/IMG_7993.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wananchi na Wagombea Uwakilishi wa Jimbo la Uzini, ilibidi wasimame kwa dakika moja kumkumbuka, aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo Marehemu Mwalim Mussa aliyefariki kwa ajali ya gari akielekea Bungeni Dodoma mwaka jana.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-0TlXayJy620/TzlNuCaVDhI/AAAAAAAALmg/TsTZl3qDvsg/s1600/IMG_7994.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-0TlXayJy620/TzlNuCaVDhI/AAAAAAAALmg/TsTZl3qDvsg/s640/IMG_7994.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-v4INXk8Xzcw/TzlOKWHCurI/AAAAAAAALmo/aF4U88BbfNw/s1600/IMG_7998.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-v4INXk8Xzcw/TzlOKWHCurI/AAAAAAAALmo/aF4U88BbfNw/s640/IMG_7998.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kati Mussa Ali Juma, akitowa matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini, baada ya kumaliza zoezi la kuhesabu kura katika ukumbi maalum ulioandaliwa na kuwajumuisha Wagombea na Wananchi mbalimbali. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-hpNugHL1sUA/TzlOatUkQkI/AAAAAAAALmw/l_D7lgKkFjo/s1600/IMG_7995.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-hpNugHL1sUA/TzlOatUkQkI/AAAAAAAALmw/l_D7lgKkFjo/s640/IMG_7995.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wagombea wakifuatilia matokea ya kura yakisomwa na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kati Unguja, katika Ukumbi wa Ofisi ya Wilaya ya Dunga.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-Ilt5TngkPbY/TzlOkccl6mI/AAAAAAAALm8/Ehgfw10uE44/s1600/IMG_7971.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-Ilt5TngkPbY/TzlOkccl6mI/AAAAAAAALm8/Ehgfw10uE44/s640/IMG_7971.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;Wananchi wakiwa katika Chumba cha kutolewa matokea ya kura huko Dunga.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-uci_2WsoaEU/TzlPO3REymI/AAAAAAAALnE/TWAMUwaMKoM/s1600/IMG_8008.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-uci_2WsoaEU/TzlPO3REymI/AAAAAAAALnE/TWAMUwaMKoM/s640/IMG_8008.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Msimamizi&amp;nbsp;wa Uchaguzi Wilaya ya Kati, Mussa Ali Juma, akimkabidhi hati ya ushindi Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, baada ya kutangazwa matokeo.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-9t6AUDlj1NE/TzlPbc7_rFI/AAAAAAAALnM/9cR3TdfDM3U/s1600/IMG_8010.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-9t6AUDlj1NE/TzlPbc7_rFI/AAAAAAAALnM/9cR3TdfDM3U/s640/IMG_8010.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshindi&amp;nbsp;wa Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Uzini, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mohammed Raza, akiwaonesha waandishi na wananchi cheti cha kuthibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi huo.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-j7cZ7SFgzD0/TzlPv2V5NJI/AAAAAAAALnU/repFEZSuSc0/s1600/IMG_8005.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-j7cZ7SFgzD0/TzlPv2V5NJI/AAAAAAAALnU/repFEZSuSc0/s640/IMG_8005.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-A_I0d3Bl3mo/TzlQahIUOVI/AAAAAAAALnk/AHNh97vhDuo/s1600/IMG_8015.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-A_I0d3Bl3mo/TzlQahIUOVI/AAAAAAAALnk/AHNh97vhDuo/s640/IMG_8015.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mgombea wa CHADEMA Ali Mbarouk Mshimba, akitowa shukrani kwa Wananchi waliompigia kura, baada ya kutangazwa mshindi katika ukumbi wa Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kati Dunga.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-sdlJFG1I27Q/TzlQqu_rG8I/AAAAAAAALns/ptYZicELIPI/s1600/IMG_8019.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-sdlJFG1I27Q/TzlQqu_rG8I/AAAAAAAALns/ptYZicELIPI/s640/IMG_8019.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mgombea Uwakilishi kwa tiketi ya AFP Rashid Yussuf Mchenga, akitowa shukrani zake kwa Tume na Wananchi wa Jimbo la Uzini &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-4_Rr3-EqFQo/TzlRAoFRRDI/AAAAAAAALn0/ijgOAO0PSmU/s1600/IMG_8044.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-4_Rr3-EqFQo/TzlRAoFRRDI/AAAAAAAALn0/ijgOAO0PSmU/s640/IMG_8044.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakishangilia Ushindi wa Mgombea wao baada ya kutangaza matokeo katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Dunga Wilaya ya Kati. Unguja.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-x4L5OXbWR7U/TzlRUkLVoDI/AAAAAAAALn8/BysCUaUSAMo/s1600/IMG_8045.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-x4L5OXbWR7U/TzlRUkLVoDI/AAAAAAAALn8/BysCUaUSAMo/s640/IMG_8045.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mgombea wa Uwakilishi wa Chama Cha Mapinduzi Mohammed Raza akishangilia ushindi wake dhidi ya wapizani wake kwa ushindi wa kishindo wa kura 5377.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-QEAvxFSfhVQ/TzlRmw-D8yI/AAAAAAAALoE/wye93izokTw/s1600/IMG_8047.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-QEAvxFSfhVQ/TzlRmw-D8yI/AAAAAAAALoE/wye93izokTw/s640/IMG_8047.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-oNLyYTQR4EY/TzlR-e_7V7I/AAAAAAAALoM/4Di9uwSj9QE/s1600/IMG_8053.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-oNLyYTQR4EY/TzlR-e_7V7I/AAAAAAAALoM/4Di9uwSj9QE/s640/IMG_8053.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5616551097868333706?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5616551097868333706/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wa-tume-ya-uchaguzi-znzibar-wakiwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5616551097868333706'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5616551097868333706'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wa-tume-ya-uchaguzi-znzibar-wakiwa.html' title='Matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini Wilaya ya Kati Unguja.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/--ryWOxIzlMY/TzlLziQLQBI/AAAAAAAALmA/obiF2R1R1vM/s72-c/IMG_7982.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4564051802592609552</id><published>2012-02-13T20:21:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T20:21:51.760+03:00</updated><title type='text'>Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Yakanusha Taarifa Kuhusiana na Ununuzi wa Karafuu</title><content type='html'>Na Faki Mjaka Maelezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko Zanzibar imetoa ufafanuzi juu ya hali ya ununuzi na uhifadhi wa Zao la Karafuu Kisiwani Pemba kutokana na taarifa zilizochapishwa na Gazeti la Daily News la Februari 4 mwaka huu ambapo inadaiwa kwamba wakulima wa Zao la Karafuu wamekataa kuliuzia Shirika la Taifa la Biashara la Zanzibar ZSTC&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Wizara hiyo imesema kuwa kauli hiyo siyo sahihi na wakulima bado wanaendelea kuliuzia Shirika hilo Karafuu zao kama ilivyopangwa ambapo hadi sasa jumla ya Tani 588.735 zenye thamani ya Tshs 8,824,850,750.00 zimeuzwa kwa Shirika hilo kwa Wilaya ya Micheweni tu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha kwa Wilaya ya Wete jumla ya tani 1,530.536 za Karafuu zenye thamani ya Tshs 22,923,724,500.00 zimeshauzwa kwa ZSTC jambo ambalo linaonesha utayari wa wakulima kuliuzia Shirika hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Taarifa hiyo pia imefafanua kwamba Mkulima anaruhusiwa kuhifadhi karafuu zake kwa muda apendao iwapo tu Karafuu hizo zitahifadhiwa katika Maghala ya ZSTC na Mkulima hupewa Stakabadhi inayoonesha kiasi kinachohohifadhiwa ambapo kwa sasa kuna idadi kubwa ya wakulima wanaotumia utaratibu huo wa kuzihifadhi na kuziuza kwa siku za usoni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Serikali ilichukua hatua hiyo ya uhifadhi kwenye maghala  salama ya  ZSTC kwa lengo la kuziepusha Karafuu Kusinyaa,kupungua kwa daraja la ubora na kuziepusha kushika moto,mambo ambayo yanaweza kupelekea maafa na kumkosesha mkulima faida iwapo zitahifadhiwa nyumbani&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusu madai ya bei ya Karafuu taarifa hiyo imesema ukweli ni kuwa katika bei ya soko la dunia kilo moja inauzwa kwa Dola za Marekani 11-13 ambapo wastani wake ni sawa na Tshs 17,270 hadi 20.410 jambo ambalo linaifanya tofauti kati ya soko la ndani na nje iwe ni kati ya Tshs. 2,270 hadi 5,410&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kutokana na Uchambuzi huo taarifa hiyo imesema kwamba madai kuwa bei ya Karafuu kwa sasa kuwa ni Tshs 40,000 kwa kilo hayana ukweli wowote na upotoshaji wenye dhamira ya kulifanya Shirika la ZSTC na Serikali ionekane kuwa inawanyonya wakulima wa zao hilo&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Taarifa hiyo inawashukuru wananchi kwa kuendelea na moyo wao wa kuzidi kuliuzia Shirika la ZSTC ambapo mpaka sasa shirika hilo limeweza kuvuka lengo la manunuzi kwa asilimia 119&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4564051802592609552?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4564051802592609552/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wizara-ya-biashara-viwanda-na-masoko.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4564051802592609552'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4564051802592609552'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wizara-ya-biashara-viwanda-na-masoko.html' title='Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Yakanusha Taarifa Kuhusiana na Ununuzi wa Karafuu'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-242355239888539835</id><published>2012-02-13T20:18:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T21:15:44.042+03:00</updated><title type='text'>Ofisi ya Rais Yaanika Mafanikio ya Wizara Julai - Disemba 2011</title><content type='html'>Na Ramadhan Ali-Maelezo&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-lQeepJr5THY/TzlTQVD1esI/AAAAAAAALoU/bWT-pQRvzk4/s1600/DSC_1334.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="214" src="http://2.bp.blogspot.com/-lQeepJr5THY/TzlTQVD1esI/AAAAAAAALoU/bWT-pQRvzk4/s320/DSC_1334.jpg" width="320" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WIZARA ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika mwaka wa fedha 2011/2012 imelenga kutekeleza mipango iliyowekwa katika dira ya 2020, maendeleo ya milenia, kukuza uchumi na kupunguza umaskini pamoja na kutekeleza ilani ya ccm ya 2010-2015.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi Kiwajuni kuhusu majukumu, malengo, mafanikio pamoja na mikakati ya wizara hiyo kwa kipindi cha Julai mpaka Disemba 2011, waziri wa wizara hiyo Mh. Mwinyihaji Makame amesema kipaumbele kimewekwa katika kuendeleza umoja wa kitaifa, utoaji huduma na kuwashajiisha wazanzibari wanaoishi nje kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema Wizara hiyo imeweza kutekeleza malengo yake iliyojiwekea ya nusu mwaka kama ilivyojipangia, ikiwemo kukuza mashirikiano ya kikanda na kimataifa, kwa ufanisi na mafanikio makubwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo Mh. Mwinyihaji Makame amesema pamoja na mafanikio hayo wizara inakabiliwa na changamoto mbali mbali katika utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo uhaba wa vitendea kazi na watendaji wenye taaluma kwa baadhi ya kada na ukosefu wa nafasi za kufanyia kazi pamoja mlundikano wa mahabusu magerezani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema Wizara ya Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi imepanga mikakati mbali mbali katika kukabiliana na changamoto zinazoikabili wizara hiyo ikiwa ni pamoja na kuajiri wafanyakazi wapya kwa mujibu wa mahitaji ya wataalamu hasa katika mikoa, wilaya na halmashauri ili kuongeza ufanisi.                                                      &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Mwinyihaji amefanya mkutano huo na waandishi wa habari ikiwa ni mwendelezo wa utekelezaji wa agizo la Rais Shein kwa Mawaziri kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu mafanikio na changamoto za utekelezaji  katika Wizara zao                                &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-242355239888539835?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/242355239888539835/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ofisi-ya-rais-yaanika-mafanikio-ya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/242355239888539835'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/242355239888539835'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ofisi-ya-rais-yaanika-mafanikio-ya.html' title='Ofisi ya Rais Yaanika Mafanikio ya Wizara Julai - Disemba 2011'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-lQeepJr5THY/TzlTQVD1esI/AAAAAAAALoU/bWT-pQRvzk4/s72-c/DSC_1334.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6682673569326563353</id><published>2012-02-13T20:14:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:14:38.525+03:00</updated><title type='text'>Speech ya Maalim Seif Alipofungua Mkutano wa Hali ya Siasa Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;span style="text-align: justify;"&gt;HOTUBA YA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR, MHESHIMIWA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD, KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO WA PILI WA HALI YA SIASA ZANZIBAR HUKO HOTELI YA BWAWANI, MJINI ZANZIBAR - TAREHE 13, FEBRUARI, 2012&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti wa mkutano, &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza  Mukandala,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waheshimiwa Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na serikali ya Mapinduzi Zanzibar,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waheshimiwa Wabunge na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waheshimiwa Mabalozi na  Wana Diplomasia,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waheshimiwa waalikwa wote, Mabibi na Mabwana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Assalam Alaykum&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwanza kabisa sinabudi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kuwa wazima wa afya nakuweza kukutana hapa leo kwa ajili ya kuzungumzia masuala ya siasa na maendeleo ya nchi yetu. Tumshukuru Mwenyezi Mungu pia kwa kutuwezesha kufika salama katika ukumbi huu, hasa kwa vile miongoni mwetu wamo waliotoka mbali, kuja kujumuika nasi katika mkutano huu. Tunamuomba  Mwenyezi Mungu atuwezeshe kuufanya mkutano wetu huu na kumaliza kwa salama na amani na kile kitakachozungumzwa kiwe ni kwa manufaa na chenye maslahi kwa nchi yetu na watu wake. AMIN.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwangu mimi binafsi najiona ni mwenye bahati kubwa kwa kualikwa hapa Hoteli ya Bwawani kufungua rasmi mkutano ulioandaliwa kujadili kwa kina `Hali ya Siasa Zanzibar’, ambapo mada kuu ni UIMARISHAJI WA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nimeambiwa kwamba huu ni mkutano wa pili wa namna hii kuitishwa.  Ninawapongeza waandaaji wa mkutano huu, yaani Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia  Tanzania (REDET) wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala,  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kwa kutualika sote kwa mara nyingine tena, kuja hapa kujadiliana kuhusu masuala muhimu yanayohusu siasa hapa Zanzibar. Napenda pia kuwashukuru waandaaji kwa kutenganisha sehemu mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusiana na mikutano hii ya hali ya siasa kwa sababu kwa muda mrefu kulikuwa na mkutano mmoja tu kwa ajili ya Tanzania nzima. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kutokana na kuanzishwa kwa utaratibu huu wa sasa, Zanzibar ina nafasi kubwa ya kuangalia na kujadili siasa zake kama Zanzibar, jambo ambalo naamini litaleta manufaa zaidi kwa siasa katika visiwa vyetu.  Katika kuthibitisha hilo, hata mada kuu ya mkutano wa mwaka huu ambayo ni “Uimarishaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar”, inalenga zaidi kupata mawazo na michango itakayozidi kuleta ufanisi katika utendaji wa serikali yetu, tukumbuke pia mafanikio ya Zanzibar ni maslahi ya Watanzania wote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mtazamo wangu, Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar ni imara. Mada ijikite katika kuimarisha zaidi mfumo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Hivyo naamini katika siku mbili hizi za mkutano huu, wajumbe watapata nafasi ya kuangalia, kurejea na kupendekeza namna ya kuufanya mfumo huo uwe madhubuti zaidi na kupendekeza pia jinsi ya kuendesha siasa hapa Zanzibar kwa manufaa ya wananchi wote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar imetokana na matakwa ya wananchi wenyewe wa visiwa hivi, baada ya kuona mfumo uliopita yaani mfumo tenganishi hauna faida kubwa katika kujenga umoja na kukuza maendeleo ya Wazanzibari.  Na kama ilivyo katika mataifa mengine, mfumo wowote mpya unapoanzishwa huwa unakuja na changamoto mbali mbali,hivyo kuhitajika marekebisho ya hapa na pale, ili kuufanya uweze kufanikisha malengo yaliyokusudiwa tangu mwanzo. Uzuri ni kwamba Zanzibar ina fursa nzuri ya kuweza kujifunza kupitia sehemu nyingine za dunia, ambazozina serikali zenye mfumo wa aina hii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Vile vile ni jambo la kutia moyo sana, kwetu sisi Wazanzibari, Watanzani na hata jumuiya ya Kimataifa kuona kwamba hapa Zanzibar katika kipindi hiki cha mwaka mmoja wa serikali shirikishi tunashuhudia faida nyingi. Faida kubwa moja wapo ni maelewano makubwa miongoni mwa wananchi wa Zanzibar.  Sote ni mashahidi kwamba, kabla ya kuja kwa utaratibu huu tulikosa kuwa na maelewano, hali iliyokuwa imesababishwa kwa kiasi kikubwa na kutafautiana kwetu katika itikadi za kisiasa na kukosa mashauri ya pamoja katika kuendesha nchi yetu na kujiletea maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika Zanzibar iliyo chini ya mfumo wa serikali shirikishi tunashuhudia wananchi wenye itikadi tafauti pamoja na viongozi wao, wakikaa pamoja wakishirikiana katika kila uwanja wa maisha na zaidi katika mambo ya kuwaletea maendeleo yao. Sina budi kukiri kwamba changamoto za hapa na pale zinatokea na hazitaacha kutokea, lakini kutokana na utaratibu tuliojiwekea kuweka maslahi ya wananchi wetu mbele, changamoto zinapojitokeza tunakaa pamoja kuzijadili na kuzipatia ufumbuzi kwa haraka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Viongozi na watendaji wa REDET, na takriban wajumbe wengi ninaowaona katika mkutano huu, nyote ni mashahidi juu ya hali ilivyokuwa Zanzibar, ambapo maelewano kama haya tunayo yazungumzia hii leo, ikiwemo watu kutoka vyama tafauti vya kisiasa kupanga mambo yao kwa pamoja na kujadiliana mustakabali wa Zanzibar na baadaye kutoa maamuzi yaliyojikita katika kuendeleza nchi na wananchi wote haikuwa rahisi. Kwa niaba yangu na serikali ya Mapinduzi Zanzibar nakupongezeni kwa dhati kwa namna mlivyoshirikiana na mnavyoendelea kushirikiana nasi na kutupa ushauri katika hatua zote, hadi kufikia hapa tulipo. Nakuombeni msichoke na muendeleze moyo huo huo, na mzidi kushirikiana nasi katika mambo haya yenye maslahi kwa nchi yetu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na washiriki wa mkutano,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mada kuu ya mkutano huu ni Hali ya Siasa Zanzibar, hivyo ni vyema nigusie japo kidogo yale yanayohusu mada hiyo. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Siasa ya Zanzibar inajumuisha mlolongo wa mambo mengi na kuweza kuizungumzia kwa kina na ufasaha inahitaji muda mwingi, na sio katika wasaa mdogo kama huu wa ufunguzi wa mkutano. Hata hivyo kwa kugusia japo kidogo nina imani kuwa sote tunakumbuka kwamba, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2010, Zanzibar iliunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Kuundwa kwa serikali hiyo kulitokana na mabadiliko ya katiba yaliyoruhusu utaratibu huo mpya kutokana na kura ya maoni iliyopigwa tarehe 31 Julai 2010 kuamua iwapo tuwe na serikali ya namna hiyo au la. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maamuzi hayo ya busara yalitokana na historia yetu ambayo imekuwa na matukio yasiyopendeza ya kuwa jamii yetu imegawika katika misingi ya kiitikadi na siasa za chuki, ushindani wa kisiasa usiokuwa na tija kwa wananchi wetu, na kutoaminiana baina ya watu wa pande zilizokuwa zinasigana.  Hali hiyo ilikuwa ni ya kutisha ukiangalia tulikotoka kama jamii moja na sasa siasa zikaishia kututenganisha na kutufanya mahasimu. Ni dhahiri kuwa wananchi walio wengi walishachoshwa na hali hiyo. Hivyo wananchi walipotakiwa kufanya uamuzi kupitia kura ya maoni juu ya mfumo wa Serikali kuwa shirikishi au tenganishi thuluthi mbili walichagua mfumo shirikishi. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hali hiyo imesababisha kwa sasa tuwe na maridhiano ambayo yameleta mafanikio kuliko ilivyokuwa kwa Muafaka I na II. Jambo la kupendeza zaidi ni kuwa maridhiano haya yalifanyika baina yetu sisi wenyewe bila shinikizo la nje. Sisi wenyewe Wazanzibari, Watanzania wenzetu wengi na Jumuia ya Kimataifa tumeridhika na utulivu tunaoushuhudia. Kabla ya maamuzi hayo hali ya siasa iliyokuwepo ilifanya shughuli nyingi za kiuchumi kwenda kwa kusuasua, jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa jamii kwa ujumla.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Lakini sasa Serikali ya Umoja wa Kitaifa badala ya kupoteza muda mwingi kushughulikia kutatua migogoro, muda karibu wote unatumiwa kufikiria, kubuni na kupanga mipango ya maendeleo itakayo wanufaisha wananchi. Wawekezaji wa ndani na wa nje wamevutiwa na hali hiyo na wamo katika mazungumzo na taasisi husika kuwekeza nchini Zanzibar. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na wajumbe wa mkutano, &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yaliyotokea huko nyuma kabla ya kufikiwa kwa Maridhiano ya Wanzibari yaliendelea kutokea ingawa juhudi kubwa zilishafanywa na zilikuwa zinafanywa zilizolenga kuupatia suluhu ya kudumu mgogoro wa kisiasa Zanzibar. Zipo hatua zilizochukuliwa na serikali zote mbili, ile ya Jamhuri ya Muungano na ile ya Mapinduzi Zanzibar kwa nia ya kufanikisha azma hiyo. Kwa bahati mbaya, matokeo yake hayakuwa mazuri kama ilivyotarajiwa jambo lililopelekea kujitokeza haja ya kuendeleza kazi hiyo, hadi leo hii ambapo tayari tunaSerikali ya Umoja wa Kitaifa. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Historia fupi ya Zanzibar inaonesha kuwa wakati wa kupigania uhuru palikuwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa ambao uliwatenganisha wananchi katika makundi mawili makuu, kila kundi likiunga mkono chama au muungano wa vyama. Baada ya Mapinduzi ya Januari 1964, tukaingia katika mfumo wa chama kimoja cha siasa ambacho kiliendana na dhana ya chama kushika khatamu, yaani kuwa ndio chombo chenye maamuzi ya mwisho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mfumo huo uliendelea kwa takriban miaka ishirini na minane (1964 – 1992). Mwaka 1992 tukaingia katika mfumo wa vyama vingi. Kwa Zanzibar mfumo huu ulipelekea kuwepo kwa vyama viwili vikubwa vya siasa vyenye kulingana kwa kuungwa mkono na wananchi. Misuguano na mikwaruzano iliyokuwepo kabla ya Mapinduzi ikajirudia, saisa ikawa imejengeka juu ya utamaduni wa malumbano, chuki na hasama baina ya wafuasi wa vyama hivyo viwili vya CCM na CUF.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hali ya mivutano ilikithiri hasa wakati wa uchaguzi hadi kupelekea watu kupoteza maisha, mali kuharibiwa na hata kwa mara ya kwanza Tanzania kuzalisha wakimbizi. Ndio maana juhudi hazikusita kuchukuliwa ili kuiepusha nchi na hasara zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Chaguzi zilizofanyika baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ziligubikwa na kushutumiana kutokana na Tume zilizosimamia chaguzi hizo kutokuwa na uwazi wa kuridhisha. Kulijitokeza kasoro za wazi katika uandikishaji wa wapiga kura, uendeshaji wa mikutano ya kampeni, majaku katika kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Hivyo basi Serikali ya Mapinduzibaada ya mashauriano na vyama vya CCM na CUF kupitia mazungumzo yaliyozaa miafaka miwili ya 1999 na 2001 ilichukua hatua zilizokusudiwa kusawazisha kasoro hizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Miongoni mwa hatua hizo ni ile ya kuanzishwa kwa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura (PVR). Sio kwamba kuwepo kwa Daftari kumemaliza matatizo yote ya wananchi wote kupata haki ya kupiga kura kwani bado malalamiko mengi yapo. Hata hivyo, naamini hii ni hatua muhimu ya kuelekea tunakokusudia na kuhakikisha kila Mzanzibari anapata haki yake ya kuiweka madarakani Serikali anayoiona itaweza kumsaidia kupambana na matatizo yake ya kimaisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Uchaguzi wa 2010 ulionesha maendeleo makubwa katika uwanja wa kampeni, vyama vyote vilitumia haki yao ya kufanya kampeni bila ya vizingiti. Kampeni zilikuwa za kiungwana. Pamoja na kuwa na hamasa, lakini kwa kiasi kikubwa hapakuwepo na malumbano, matusi wala kushambuliana. Kila mgombea na chama chake alijikita katika kutetea sera na ilani ya uchaguzi ya chama chake na kujenga hoja za kuwashawishi wananchi watoe kura zao kwa mgombea na chama chake. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata katika siku ya kupiga kura kama mizengwe ilikuwepo ilikuwa michache. Uhesabuji wa kura ulifanyika vituoni. Pengine shaka ilikuwepo katika sehemu za kujumuisha kura na kutangaza matokeo. Walijitokeza maafisa wa ZEC wachache waliojaribu kuchakachua matokeo. Pale mawakala wa vyama walipokuwa macho na kugundua hila hizo, taarifa zilitolewa kwa Tume ya Uchaguzi Makao Makuu na baadhi ya maafisa wa ZEC waliohusika walichukuliwa hatua papo hapo. Haya ni maendeleo mazuri na ni wajibu wote sote kuyaendeleza na kuyafanya kuwa bora zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Eneo jengine ambalo limepata maendeleo ni uwakilishwaji wa wanawake katika vikao vya kufanya maamuzi na katika ngazi za juu za utendaji serikalini, katika Baraza la Wawakilishi, Bungeni, Mabaraza ya Miji na Halmashauri za Wilaya, uwakilishi wa wanawake umefikia au kupindukia asilimia thelathini (30%).Lengo ni kufikia malengo ya SADC ambapo uwakilishi wa wanawake unatakiwa usipingue asilimia khamsini (50%) katika Mabaraza ya Kutunga Sheria. Leo katika Zanzibar yetu kuna wanawake ambao ni Mawaziri, kuna Makatibu Wakuu wa Wizara, kuna wanawake wanaoongoza taasisi muhimu za serikali kama CAG na kadhalika. Ni nia ya Serikali ya Mapinduzikuwashirikisha wanawake wengi zaidi katika nyadhifa za uongozi wa nchi. Na hili linafanyika sio kwa upendeleo wa jinsia, bali kutokana na uwezo wa wanawake wenyewe. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Eneo jengine, ni kuruhusu vyombo huru vya habari. Hii ni moja ya sifa za nchi ambazo demokrasia inashamiri. Vyombo vya habari vimekuwa vikielezwa kuwa ni mhimili wa nne wa dola kutokana na umuhimu wake katika masuala ya kuwaelimisha wananchi kufahamu haki zao kupata taarifa na kusimamia uwajibikaji wa serikali. Ukweli na uwazi, vyote vikiwa ni vigezo muhimu vya viwango vya maendeleo vyombo vya habari vinawajibika kuvizingatia. Kwa mfano wakati wa chaguzi, vyombo vya habari huviunganisha vyama vya siasa na wagombea wake kwa upande mmoja na wapiga kura wao kwa upande mwingine. Aidha, hutumika pia  kama jukwaa la kutangazia sera na ilani za vyama vya siasa, kwa kusaidia waangalizi wa chaguzi kufuatilia hali ya kampeni inavyokwenda pamoja na kutoa nafasi kwa wananchi kuwapima wagombea, sera na ahadi za vyama na hivyo kuwawezesha kufanya maamuzi kwa busara.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;La tano, Mheshimiwa Mwenyekiti, tangu miaka ya 1990, nchi yetu imekuwa ikiondoa vikwazo visivyokuwa vya lazima katika nyanja ya Asasi za Kiraia. Asasi hizi kwa sasa zinafanya kazi kwa uhuru mkubwa na zimekuwa zikichangia kwa namna moja au nyingine katika maendeleo ya wananchi wetu. Haki ya kuunda na kujiunga na vyama vya kiraia ni kiashiria kuwa mfumo uliopo wa kisiasa unafuata njia sahihi ya kuelekea kwenye demokrasia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mara nyingi asasi hizi za kiraia katika jamii zinaundwa ili kushughulikia matatizo ya kawaida, vipaumbele vya kikundi, maadili na tamaduni. Juhudi zitokanazo na ushirikiano wao zinaweza kusaidia katika shughuli mbalimbali. Asasi hizi zimefanya kazi nyingi ikiwa ni pamoja na zile zinazohusu mchakato wa kujenga demokrasia nchini, hasa kuwezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika michakato ya kisiasa na katika shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Tafiti zimeonesha kuwa migogoro mingi baina ya dola na asasi za kiraia, chanzo cheke ni pale asasi zinapoona au kudhani kuwa wadau wao wanatengwa katika michakato ya ufanyaji maamuzi, na hasa maamuzi yale yanayoathiri ustawi wa maisha ya watu. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na wajumbe wa mkutano&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa kifupi lengo kuu la juhudi zote hizo ni kuifanya Zanzibar kuwa ni nchi iliyopiga hatua kubwa katika kukuza demokrasia, kuheshimu haki za binaadamu na kujenga misingi ya utawala bora. Kwa maneno mengine kuiwezesha nchi yetu kuwa na,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;1. Kiwango cha juu cha Demokrasia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;2. Serikali yenye mihimili mitatu inayofanya kazi zake kwa uhuru na kila mmoja kuhakikisha muhimili mwengine hauvuki mipaka yake (cheks and balances).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;3. Wananchi wenye uelewa mkubwa, iliwaweze kushiriki katika kujadili na kufanya maamuzi juu ya mambo yao kwa maslahi yao na kwa nchi yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;4. Haki za binaadamu zinaheshimiwa, zinalindwa na kuendelezwa. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;5. Vyombo vya habari vinafanya kazi kwa uhuru, lakini kwa kuzingatia weledi na maadili yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;6. Uhuru, haki na fursa sawa kwa raia wote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na washiriki wa mkutano,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa ujumla hali ya kisiasa ya Zanzibar hivi sasa ni shwari, na kama nilivyogusia hapo awali, wananchi wanafanya shughuli zao za kisiasa, kijamii na kimaendeleo bila ya bughudha yoyote ile. Haya ni maendeleo makubwa tukilinganisha na tulikotoka. Kuwa na Serikali ya Umoja  wa Kitaifa katika mfumo wa vyama vingi ni hatua kubwa sana, ambayo inaonyesha upevu wa kisiasa ambao utaiwezesha nchi yetu isonge mbele kimaendeleo kwa kasi zaidi. Ile tabia ya kupingana kwa sababu tu za kisiasa imepungua sana na kuelekea kwisha kabisa, jambo ambalo litawezesha serikali kufanya maamuzi kwa haraka na ambayo yatakubalika kwa wananchi wa mirengo yote mikubwa na viongozi wao. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kukubali kuachana na siasa za ‘mshindi kuchukua kila kitu’ na kuamua kukaa pamoja na kuunda serikali ambayo itapata mchango kutoka kila chama kilichohusishwa katika kuunda serikali hiyo ni suala muhimu, kwa vile linawashirikisha wengi kwa maslahi ya taifa na watu wake. Ile dhana tu ya ‘Umoja wa Kitaifa’ ni kitu cha kutia moyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hivi sasa wawekezaji wanavutiwa na hali ya amani na utulivu ya Zanzibar, ambayo hujenga mazingira bora katika shughuli za uwekezaji na shughuli za kiuchumi kwa jumla. Wawekezaji hao wamekuwa wajijitokeza katika kuonesha nia ya kufungua miradi yao Unguja na Pemba.Hatua hii itachangia kwa kiasi kikubwa wananchi wetu kupata ajira na kuimarisha hali zao za kiuchumi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, hivi sasa Wazanzibari wote wanachangia na kushiriki katika harakati za maendeleo ya nchi yao, miongoni mwao ni wale Wazanzibari ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakiishi nje ya Zanzibar yaani ‘Diaspora’. Wazanzibari hao wamekuwa wakielezea kufurahishwa kwao na hali iliyopo ya umoja na maelewano. Baadhi yao wamekuwa wakifuatilia hatua zitakazowawezesha kutumia fursa hiyo kufungua miradi ya kiuchumi itakayowanufaisha wao na jamii nzima ya Wazanzibari. Pia wamekuwa wakijumuika kusaidia wanajamii wenzao hapa Zanzibar, kama vile kwa kuleta kama misaada, vifaa vya elimu, matibabu na fedha taslim kuchangia miradi ya kijamii. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wako wale walioonesha utayari wao wa kuja kutumia taaluma zao katika kuitumikia nchi yao wakati wanapokuwa katika likizo zao. Hata wale ambao wamestaafu, lakini bado wana nguvu za kimwili na akili wameonesha hamu ya kuja kutumikia Zanzibar na watu wake. Haya yasingeweza hata kufikirika huko nyuma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hali hii inanikumbusha swali aliloulizwa mtaalamu mmoja wa nchi ya Liberia, kwa jina akiitwa Mr. Johnson, aliulizwa, ni vipi hali ya amani itakuza uchumi wa nchi hiyo,  ambapo jawabu lake rahisi lilikuwa, ‘Nadhani ni pale mioyo ya wananchi wote wa Liberia itakapokuwa imejawa na mapenzi na hamu ya kuwepo amani katika nchi yao, hali hiyo itaepusha machafuko na wafanyabiashara watawekeza miradi itakayosaidia kukuza uchumi wa nchi’.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Majibu ya mtaalamu huyo wa Liberia pia ni darasa tosha kwa Zanzibar,ambayo inahitaji sana kuwa na amani na utulivu, ili iweze kujenga imani kwa wawekezaji na kuondokana na uchumi dhaifu unaosababisha wananchi wetu kukabiliwa na hali ngumu ya umasikini. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wa kijamii hivi sasa tunashuhudia ushirikiano mkubwa miongoni mwa wananchi wetu. Kwa mfano katika tukio la ajali ya kuzama kwa meli ya MV. SPICE ISLANDER, mwezi Septemba mwaka jana hapa Zanzibar, umoja na mshikamano ulioonyeshwa na Wazanzibari ulidhihirisha wazi namna wananchi walivyokuwa wamoja. Wengi wetu tumekuwa tukijiuliza, iwapo tukio lile lingetokea wakati ule ambapo hakuna maelewano miongoni mwetu hali ingekuwaje?  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na wajumbe wa mkutano,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Huwezi kuzungumzia hali ya kisiasa Zanzibar kwa ufasaha kabisa bila ya kugusia suala la Muungano wa Tanzania, na ndio maana utaona masuala ya Muungano kwa Zanzibar hupewa uzito na umuhimu wa kipekee na wananchi wetu. Hivi sasa wananchi wana shauku kubwa na hamu ya kutoa maoni yao juu ya Katiba mpya, wakiamini kwamba ndio njia mfuaka kumaliza malalamiko yao ya siku nyingi. Miongoni mwa hayo ni yale yanayogusa uchumi wa Zanzibar na siasa kwa ujumla. Utaona ni kwa jinsi gani Wazanzibari wanavyoguswa na suala hilo, pale walipoletewa rasimu ya awali ya mswada wa sheria ya kuweka utaratibu wa kukusanya maoni ya wananchi juu ya katiba mpya walivyojitokeza kwa wingi kuujadili na kufikia hatua ya kuukataa kwa sauti moja. Kwa Wazanzibari ambao wao wanayo katiba yao iliyo sawa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano, suala kubwa kwao katika kutunga Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano ni nafasi ya Zanzibar katika Muungano utakaotoa haki sawa kwa washiriki wa Muungano huo, bila ya kuwa na dhana ya mkubwa na mdogo au BIG BROTHER. Mambo gani yawe ya Muungano. Aina ya Muungano: Je uwe kama ulivyo sasa, uwe wa serikali tatu au uwe ni Muungano wa mkataba kwa mambo tutakayokubaliana, badala ya kuwa Muungano wa kufungana Kikatiba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, mimi mwenyebinafsi na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Idd pamoja na viongozi wengine serikalini, tumekuwa tukiwahimiza wananchi kufuatilia kwa makini mchakato wa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano, ili waweze kujipanga vizuri na wakati utakapofika waweze kutoa maoni yao juu ya katiba hiyo mpya wanayoitaka, ambayo wanahisi itakuwa yenye maslahi sawa kwao na Zanzibar na kwa wenza wa Tanganyika. Wananchi wanapaswa kuifanya kazi hiyo wakati utakapofika, bila ya woga, la muhimu watoe maoni yao kwa ustaarabu mkubwa na bila ya kuwatukana watu wengine.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakati wa kutoa maoni juu ya katiba mpya utakapofika wananchi kote nchini watapata fursa ya kipekee kuujadili Muungano wao na baadaye kutoa maamuzi yanayofaa, ili kumaliza migogoro, na manung’uko yasiyokwisha baina ya pande mbili zinazounda Muungano huo, malalamiko ambayo yamekuwa yakijitokeza kwa wingi na kutishia uimara wake, tangu muungano huo ulipoasisiwa mwaka 1964.   &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naona niangalie kwa ufupi changamoto tulizonazo ambazo ni nyingi na zenye uzito wa aina yake. Kama ambavyo mnaelewa serikali za Umoja wa Kitaifa popote pale duniani hukabiliwa na changamoto nyingi na wahusika wasipokuwa makini wanaweza kuhisi kwamba mifumo ya serikali za aina hiyo sio hatua muafaka kufikia pale wanapotarajia. Hata hivyo kwa upande wa Zanzibar hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa bila ya mivutano katika kupata viongozi kutoka kwenye vyama husika au sera na miongozo inayopaswa kutumika katika kuendesha serikali yenyewe. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mafanikio haya bila shaka yametokana na kufuata Katiba ya Zanzibar ya 1984 kama ilivyorekebishwa mwaka 2010. Hata pale zinapojitokeza changamoto za hapa na pale, tumekuwa tukikabiliana nazo kwa majadiliano ya uwazi na kupata maelewano na baadaye kuendelea mbele.Naamini chini ya utaratibu kama huo na kwa mashirikiano na pande nyengine na kwa kuthamini fikra za kitaalamu kama zile tunazotarajia kuzipata kupitia mkutano huu, tutaweza kusonga mbele zaidi na kufikia malengo yetu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mheshimiwa Mwenyekiti na wajumbe wa mkutano,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Miongoni mwa changamoto tulizonazo ni ukweli kwamba hadi leo wapo baadhi ya viongozi na watu ambao hawafurahishwi na Maridhiano ya Wazanzibari.Watu hao ni wachache.Baadhi yao wamekuwa wakijaribu kutia fitna ili kuvuruga maelewano, kwa bahati mbaya yako magazeti machache yanayotolewa Tanzania Bara ambayo yamepania kuleta chochoko ili kuvuruga kuaminiana kuliko jengeka.Hata hivyo, kwa vile walio wengi wanaona umoja wetu huu unafaida kubwa zaidi, kuliko hasara watu hao hawatafanikiwa. Ni wajibu wetu sote kuendelea kuwaelimisha watu hao, ili nao baadaye waone umuhimu wa umoja wa Wazanzibari na waweke mbele maslahi ya wengi kuliko ya wachache, na kwa hakika watu wa aina hii wanapungua kila kukicha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Changamoto nyengine tunayokabiliana nayo ni katika kukidhi matarajio makubwa ya wananchi juu ya serikali yao, pengine kuliko hali halisi ilivyo. Wananchi wengi walitarajia serikali yao itaweza kutatua kwa muda mfupi kero kubwa zinazowakabili katika maisha, kama vile mifumko ya bei za bidhaa muhimu na kuwepo hali ngumu ya maisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Serikali hii tokea ilipoanza kazi imekuwa ikichukua hatua kubwa kuhakikisha ugumu wa maisha ya Wazanzibari unapungua, na wananchi kote Unguja na Pemba wanapata nafuu katika maisha. Hata hivyo, uhaba wa fedha serikalini pamoja na hali isiyotarajiwa inayojitokeza ulimwenguni, kama vile kupanda kwa bei ya mafuta mara kwa mara, kushuka thamani ya shilingi dhidi ya dola, uharamia katika bahari yetu ya Afrika Mashariki, pamoja na majanga ya ukame na mafuriko katika nchi tunazo zitegemea zaidi kununua bidhaa za vyakula, baadhi ya wakati huchangia kutofikiwa malengo yetu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Serikali inachukua juhudi kubwa kupunguza ukali wa maisha kwa wananchi, kama tusemavyo Waswahili, ‘Kata pua uunge wajihi’, baadhi ya wakati tunalazimika kupunguza kodi za bidhaa zote muhimu, kwa kuzingatia hali za maisha ya wananchi wetu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tunalazimika kuchukua hatua hizo kwa kuzingatia kuwa, hali ngumu za kimaisha si jambo la mchezo na tayari tumepata fundisho kubwa kwa yale yanayotokea katika baadhi ya nchi, kama huko Mashariki ya Kati, ambapo kwa upande mwengine ugumu wa maisha umechangia hayo yanayotokea.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande mwengine uhaba wa fedha unahusishwa pia na baadhi ya kasoro zinazojitokeza, ikiwemo kuchelewa kufanyiwa mapitio daftari la kudumu la wapiga kura Zanzibar, ambalo wananchi waliahidiwa lingefanyiwa mapitio hayo katika mwezi Oktoba wa kula mwaka, lakini hadi sasa kazi hiyo haijafanyika. Bado kuna tatizo la wananchi wasio kuwa haba kupambana na vikwazo katika kupata vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi ambavyo ndivyo sharti la lazima la kumuwezesha mwananchi kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Masheha kwa bahati mbaya, wanahusishwa kuwawekea vikwazo wananchi hao kupata vitambulishio hivyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Changamoto hizi zinafahamika na Serikali ya Umoja wa Kitaifa na hatua za kuzimaliza zinajadiliwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ukitulinganisha sisi Wazanzibari na wenzetu wa nchi nyengine zilizokumbwa na mgawanyiko wa raia wake, sisi tumeanza vizuri na tunaendeela vizuri. Ni matumaini yangu kuwa Zanzibar itaendelea kuwa mfano wa kuigwa na nchi nyengine, ikiwemo Tanzania Bara, katika kuendeleza, amani utulivu, mshikamano na maelewano miongoni mwa wananchi wake.    &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya kusema hayo machache naomba kuwashukuru wote kwa uvumilivu wenu wa kunisikiliza kwa makini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Basi niruhusuni nitamke wazi kuwa Mkutano wa Pili wa Hali ya Siasa Zanzibar nimeufungua Rasmi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mungu Ibariki Zanzibar&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mungu Ibariki Tanzania &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;AHSANTENI.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6682673569326563353?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6682673569326563353/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/speech-ya-maalim-seif-alipofungua.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6682673569326563353'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6682673569326563353'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/speech-ya-maalim-seif-alipofungua.html' title='Speech ya Maalim Seif Alipofungua Mkutano wa Hali ya Siasa Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-824919912685893885</id><published>2012-02-13T20:12:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:12:25.723+03:00</updated><title type='text'>Maalim Seif Afungua Mkutano wa Siku Mbili Kujadili Hali ya Siasa Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-LM71IVC9caE/TzlCKeAHE-I/AAAAAAAALlk/jykD9ALy5_Y/s1600/4.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="428" src="http://3.bp.blogspot.com/-LM71IVC9caE/TzlCKeAHE-I/AAAAAAAALlk/jykD9ALy5_Y/s640/4.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akipokea nakala ya kitabu cha Mkutano wa kwanza wa hali ya siasa Zanzibar uliofanyika mwaka 2009, pamoja na machapisho mengine ya REDET kutoka kwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandala, mara baada ya kufungua mkutano wa pili wa hali ya siasa Zanzibar huko hoteli ya Bwawani &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-tXDyVRyg0q4/TzlCTBlMYKI/AAAAAAAALlw/o978MFauxTo/s1600/3.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="428" src="http://2.bp.blogspot.com/-tXDyVRyg0q4/TzlCTBlMYKI/AAAAAAAALlw/o978MFauxTo/s640/3.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiongozana na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa REDET unaofanyika hoteli ya BWawani Mjini Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-9PoX0e6bSY8/TzlCdKGy3II/AAAAAAAALl4/3cF_FrrpzDU/s1600/1.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="428" src="http://3.bp.blogspot.com/-9PoX0e6bSY8/TzlCdKGy3II/AAAAAAAALl4/3cF_FrrpzDU/s640/1.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa siku mbili unaojadili HALI YA SIASA ZANZIBAR huko hoteli ya Bwawani. Mkutano huo umeandaliwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (REDET) ulio chini ya chuo kikuu cha Dar es Salaam.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Picha na Salmin Said OMKR&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-824919912685893885?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/824919912685893885/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maalim-seif-afungua-mkutano-wa-siku.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/824919912685893885'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/824919912685893885'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maalim-seif-afungua-mkutano-wa-siku.html' title='Maalim Seif Afungua Mkutano wa Siku Mbili Kujadili Hali ya Siasa Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-LM71IVC9caE/TzlCKeAHE-I/AAAAAAAALlk/jykD9ALy5_Y/s72-c/4.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5315590342189882817</id><published>2012-02-13T18:42:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T22:43:39.125+03:00</updated><title type='text'>Wachungaji wakiwa na rumbesa ya majani kwa ajili ya malisho ya Ngombe.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-3jdSMuI4V80/TzkuyNAREII/AAAAAAAALkk/_vEyZLEbZJ0/s1600/IMG_7917.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-3jdSMuI4V80/TzkuyNAREII/AAAAAAAALkk/_vEyZLEbZJ0/s640/IMG_7917.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wafugaji wakiwa na shehena ya majani kwa ajili ya kulishia Ngombe wao, wakikatisha maeneo ya Uzini Wilaya ya Kati Unguja.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5315590342189882817?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5315590342189882817/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wachugaji-wakiwa-na-rumbesa-ya-majani.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5315590342189882817'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5315590342189882817'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wachugaji-wakiwa-na-rumbesa-ya-majani.html' title='Wachungaji wakiwa na rumbesa ya majani kwa ajili ya malisho ya Ngombe.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-3jdSMuI4V80/TzkuyNAREII/AAAAAAAALkk/_vEyZLEbZJ0/s72-c/IMG_7917.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-326181402512167393</id><published>2012-02-13T18:02:00.004+03:00</published><updated>2012-02-13T22:47:32.710+03:00</updated><title type='text'>Zoezi la Upigaji Kura Uchaguzi Mdogo Uzini.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-3mv_8ZRMu5E/TzkjdApYGPI/AAAAAAAALjs/jh-oHeuFZ9w/s1600/IMG_7921.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-3mv_8ZRMu5E/TzkjdApYGPI/AAAAAAAALjs/jh-oHeuFZ9w/s640/IMG_7921.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwananchi akipiga kura katika Kituo cha skuli ya Uzini kumchagua Mwakilishi amtakae katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-_61tvmFU1TE/TzkjRiU50BI/AAAAAAAALjk/Rai4GzFvHqk/s1600/IMG_7920.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-_61tvmFU1TE/TzkjRiU50BI/AAAAAAAALjk/Rai4GzFvHqk/s640/IMG_7920.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Karani wa Kituo cha Upigaji kura katika skuli ya Uzini akimkabidhi kura yake Mwanchi aliefika kituo hapo kupiga kura ya kumchaguwa Mwakilishi wake wa Jimbo la Uzini.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-9_TtCGi7I4o/TzkjGHXoNlI/AAAAAAAALjc/M3JONErvcYE/s1600/IMG_7913.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-9_TtCGi7I4o/TzkjGHXoNlI/AAAAAAAALjc/M3JONErvcYE/s640/IMG_7913.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ofisi Msimamizi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Ali Rashid Suluhu, akizugumza na Waandishi wa habari jinsi zoezi la Upigaji kura linavyoendelea katika vituo mbalimbali.akiwa katika Kituo cha Skuli ya Mgenihaji. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-5xlWvghwxZ4/Tzkhy2AoJvI/AAAAAAAALi0/2uBXQCRtJgw/s1600/IMG_7893.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-5xlWvghwxZ4/Tzkhy2AoJvI/AAAAAAAALi0/2uBXQCRtJgw/s640/IMG_7893.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mawakala wa Vyama vya Siasa vinavyoshiriki katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini, wakiagalia majina ya Wapiga Kura katika Kituo cha Banda la Karafuu Keboje Muembeshauri.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-ApAcfnciJQQ/TzkhndGX9PI/AAAAAAAALis/2ChmVDMbqQs/s1600/IMG_7891.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-ApAcfnciJQQ/TzkhndGX9PI/AAAAAAAALis/2ChmVDMbqQs/s640/IMG_7891.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mwananchi akipiga kura yake katika Kituo cha kupigia Kura cha Skuli ya Kiboje.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-L8UECnV7sk4/TzkiEIaaznI/AAAAAAAALi8/A1YrfdEXM88/s1600/IMG_7895.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-L8UECnV7sk4/TzkiEIaaznI/AAAAAAAALi8/A1YrfdEXM88/s640/IMG_7895.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Karani wa Kituo cha kupigia Kura cha Kiboje Muembeshauri, akiwaweka wino maalum Wananchi waliokwishapiga kura katika kitio hicho. &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-Xv9RPb1JWNo/TzkiQ-v5kDI/AAAAAAAALjE/3xUpHNcFy-g/s1600/IMG_7896.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-Xv9RPb1JWNo/TzkiQ-v5kDI/AAAAAAAALjE/3xUpHNcFy-g/s640/IMG_7896.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Karani wa Kituo cha Upigaji Kura akipiga muhuri karatasi ya Kura.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-My7cJGdhZqg/Tzkiv8lRk_I/AAAAAAAALjU/-GOTYBjCCLo/s1600/IMG_7900.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-My7cJGdhZqg/Tzkiv8lRk_I/AAAAAAAALjU/-GOTYBjCCLo/s640/IMG_7900.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwananchi akiagalia jina lake katika Kituo cha Skuli ya Kiboje, wakati wa zoezi la Upigaji kura likiendelea katika jimbo la Uzini.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-LhJDL9YEbAY/TzkihF6m6UI/AAAAAAAALjM/caAcRaMaF7c/s1600/IMG_7897.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-LhJDL9YEbAY/TzkihF6m6UI/AAAAAAAALjM/caAcRaMaF7c/s640/IMG_7897.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;Mwananchi akipiga kura yake kutimiza haki yake ya msingi kumpigia kura mtu amtakae &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-UT6-Ge24Odk/TzkmXl9Go0I/AAAAAAAALj8/zoxOiSRQ0Ao/s1600/IMG_7927.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-UT6-Ge24Odk/TzkmXl9Go0I/AAAAAAAALj8/zoxOiSRQ0Ao/s640/IMG_7927.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mawakala wa Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini wakizungumza na Waandishi wa Habari jinsi zoezi linavyoendelea katikac kituo chao cha Skuli ya Uzini.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-edkbbHPlqC8/TzkmlEZzNbI/AAAAAAAALkE/D-8gF8rEOGE/s1600/IMG_7929.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-edkbbHPlqC8/TzkmlEZzNbI/AAAAAAAALkE/D-8gF8rEOGE/s640/IMG_7929.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mwananchi akiagalia jina lake katika kituo cha Skuli ya Uzini.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-i2F5RdmPxXM/Tzkm0_hjyPI/AAAAAAAALkM/CVPhEEEe9bU/s1600/IMG_7941.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-i2F5RdmPxXM/Tzkm0_hjyPI/AAAAAAAALkM/CVPhEEEe9bU/s640/IMG_7941.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu Mkuu wa Chama cha TADEA Ali Juma, akizungumza na Mwandishi wa habari wa Gazeti la Zanzibar Leo maendeleo ya Uchaguzi Mdogo wacJimbo la Uzini, unavyoendelea kwa Amani na Huru, akiwa katika kituo cha Skuli ya Mchangani.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-fmZef_LwSrI/TzknN_AlykI/AAAAAAAALkU/ov8M4G1U970/s1600/IMG_7947.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-fmZef_LwSrI/TzknN_AlykI/AAAAAAAALkU/ov8M4G1U970/s640/IMG_7947.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mgombea Uwakilishi katika Jimbo la Uzini kupitia Chama cha AFP Rashid Mchenga, akizungumza na Mwandishi wa habari wa gazeti la Zanzibar Leo Mwantanga Ame, katika kituo cha Skuli ya Mchangani. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-6akC7ALdSCU/TzkndtMV7WI/AAAAAAAALkc/4yNiSRfaudE/s1600/IMG_7957.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-6akC7ALdSCU/TzkndtMV7WI/AAAAAAAALkc/4yNiSRfaudE/s640/IMG_7957.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"&gt;Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Uzini, CCM na TADEA wakibadilishana mawazo, wakati zoezi likiendelea katika vituombalimbali vya Uchaguzi katika Jimbo la Uzini.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-326181402512167393?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/326181402512167393/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zoezi-la-upigaji-kura-uchaguzi-mdogo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/326181402512167393'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/326181402512167393'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zoezi-la-upigaji-kura-uchaguzi-mdogo.html' title='Zoezi la Upigaji Kura Uchaguzi Mdogo Uzini.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-3mv_8ZRMu5E/TzkjdApYGPI/AAAAAAAALjs/jh-oHeuFZ9w/s72-c/IMG_7921.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7256752617295444518</id><published>2012-02-13T17:42:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T22:45:08.276+03:00</updated><title type='text'>Onesho la Sauti za Busara Ndani ya Ngome Kongwe Zenj</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-25-2Q_T_Sm8/TzkecVSljeI/AAAAAAAALhg/Eb-Zq1ZMWrE/s1600/IMG_7846.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-25-2Q_T_Sm8/TzkecVSljeI/AAAAAAAALhg/Eb-Zq1ZMWrE/s640/IMG_7846.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-2fwtchIJxUs/TzkeppQtn8I/AAAAAAAALho/mXAV2AVF-Yg/s1600/IMG_7847.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-2fwtchIJxUs/TzkeppQtn8I/AAAAAAAALho/mXAV2AVF-Yg/s640/IMG_7847.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-MKuaXxMrygM/Tzke2vL9T0I/AAAAAAAALhw/JNz3PA8-HL8/s1600/IMG_7849.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-MKuaXxMrygM/Tzke2vL9T0I/AAAAAAAALhw/JNz3PA8-HL8/s640/IMG_7849.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-4pPOvPwSoUo/TzkfH8qWWXI/AAAAAAAALh4/GeBMv217vBY/s1600/IMG_7859.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-4pPOvPwSoUo/TzkfH8qWWXI/AAAAAAAALh4/GeBMv217vBY/s640/IMG_7859.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-rivmdIoSgMg/TzkfY3iz0yI/AAAAAAAALiE/ZXFjAmgaBnw/s1600/IMG_7862.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-rivmdIoSgMg/TzkfY3iz0yI/AAAAAAAALiE/ZXFjAmgaBnw/s640/IMG_7862.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Naf4GJep78Y/TzkfovXi6CI/AAAAAAAALiM/veiYC1a-Vbs/s1600/IMG_7868.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Naf4GJep78Y/TzkfovXi6CI/AAAAAAAALiM/veiYC1a-Vbs/s640/IMG_7868.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-8YxNOllZEh0/Tzkf5hUac2I/AAAAAAAALiU/8fMyBDP8YsI/s1600/IMG_7873.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-8YxNOllZEh0/Tzkf5hUac2I/AAAAAAAALiU/8fMyBDP8YsI/s640/IMG_7873.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-offGIxJ_PwE/Tzkf-82ph2I/AAAAAAAALic/yNeMia-oJkE/s1600/IMG_7877.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-offGIxJ_PwE/Tzkf-82ph2I/AAAAAAAALic/yNeMia-oJkE/s640/IMG_7877.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-jkfKwvUXst0/TzkgNsNFQvI/AAAAAAAALik/Cy_4y76I5PY/s1600/IMG_7883.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-jkfKwvUXst0/TzkgNsNFQvI/AAAAAAAALik/Cy_4y76I5PY/s640/IMG_7883.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7256752617295444518?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7256752617295444518/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/onesho-la-sauti-za-busara-ndani-ya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7256752617295444518'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7256752617295444518'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/onesho-la-sauti-za-busara-ndani-ya.html' title='Onesho la Sauti za Busara Ndani ya Ngome Kongwe Zenj'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-25-2Q_T_Sm8/TzkecVSljeI/AAAAAAAALhg/Eb-Zq1ZMWrE/s72-c/IMG_7846.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1931396929287675576</id><published>2012-02-12T20:54:00.000+03:00</published><updated>2012-02-12T20:54:39.129+03:00</updated><title type='text'>Raza Aibuka Kidedea Jimbo la Uzini - Ashinda kwa Asilimia 91</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Khadija Khamis –Zahira  Bilali –Maelezo&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tume ya Uchaguzi Zanzibar imemtangaza rasmi Mohamedraza Hassanali Mohamadali  kuwa Mwakilishi halali wa Jimbo la Uzini kwa kushinda  asilimia 91.1 sawa na kura 5377.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Matokeo hayo yametolewa na Afisa Msimamizi Uchaguzi wa Wilaya ya Kati Mussa Ali Juma huko katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa  zoezi la Uchaguzi  mdogo wa Jimbo la Uzini ulikwenda vizuri mpaka kufikia katua ya matokeo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa  Vyama vilivyoshiriki katika zoezi hilo vilikuwa  jumla ya vyama   vitano ndivyo vilivyoweza kusimamisha wagombea wake navyo  ni AFP,CCM,CHADEMA .CUF na  TADEA . &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Matokeo ya uchaguzi huwo ulikuwa kama ifuatavyo kwa upande wa CCM mgombea wake Mohamedraza alipata kura 5377, Rashid Yussuf Mchenga wa AFP alipata kura 08  Khamis Khatib Vuai wa TADEA alipata kura 14 Salma Hussein Zaral wa CUF amepata kura 223,na Ali Mbaruku Mshimba wa CHADEMA  alipata 281 .&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alieleza kuwa jumla ya wananchi waliondikishwa katika uchaguzi huo ni 8743 waliyojitokeza kupiga kura 5931  kura halali  5903na kura zilizoharibika 28 .&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Mgombea wa CCM aliebukia kuwa mshindi wa uchaguzi huo  aliishukuru Tume ya Uchaguzi   kwa kuendesha zoezi hilo kwa ufanisi .&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pia aliwahidi  wananchi wake wa  jimbo hilo kuwa atawatumikia bila ya  kujali ubaguzi na itikadi za  kisiasa na kuwaletea maendeleo kwa vitendo kama ilani ya chama chake inavyoeleza .&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Zoezi hilo  la uchaguzi limefanyika kutokana na kufariki kwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini  Marehemu Mussa Khamis Silima .  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1931396929287675576?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1931396929287675576/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/raza-aibuka-kidedea-jimbo-la-uzini.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1931396929287675576'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1931396929287675576'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/raza-aibuka-kidedea-jimbo-la-uzini.html' title='Raza Aibuka Kidedea Jimbo la Uzini - Ashinda kwa Asilimia 91'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8529680886358154249</id><published>2012-02-12T19:22:00.000+03:00</published><updated>2012-02-12T19:22:18.792+03:00</updated><title type='text'>Nneka Afanya Shoo Sauti za Busara 2012</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwimbaji wa Nigeria, Nneka Egbuna amefanya shoo ya aina yake na ya kihistoria katika tamasha la tisa la busara. Shoo yake ya jana imefunga pazia ya ziara yake katika Ukanda wa Afrika Mashariki iliyodhaminiwa na Goethe Institute. Shoo nyingine amezifanya katika nchi  za Kenya, Rwanda, Uganda  na  Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nneka aliimba nyimbo kutoka katika albamu yake mpya aliyoiachia mwaka jana iitwayo ‘ Soul is Heavy’. Ilimchukua miaka mitatu kuandika na kurekodi  albamu hiyo yenye nyimbo kumi na tano ambazo zilichujwa kutoka katika nyimbo hamsini alizoandika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwaka 2005, aliachia albamu yake ya kwanza iitwayo ‘ Victim Of Truth’, na kufuatiwa na No Longer At Easy iliyotoka  (2008). Mwanamuziki wa Marekani,  Lenny Kravitz alivutiwa naye na kumchagua kuwa mwimbaji msaidizi katika ziara yake huko Marekani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akiwa na Kravitz ndipo alipoandika ‘Soul is Heavy’.Wakati wa shoo yake ndani ya Ngome Kongwe aliimba nyimbo mbalimbali za mapenzi na machungu ambazo zipo katika mahadhi ya  reggae, hip-hop, R&amp;amp;B na vintage soul.  Alikuwa akiimba huku akiwasaidiwa na Garry Sullivan kutoka Marekani  ( Drums),  Emmanuel  Ngolle  Pohossi kutoka Cameroon ( Bass),  Jonas ‘Mo’ Da Silva Pinheiro  kutoka Brazil ( Guitar) na Nis Goetting kutoka Germany (keyboard).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alielezea kuwa rushwa ni ugonjwa wa kijamii ambao ulikuwa ukipigwa vita na marehemu Fela Anikulapo Kuti ambaye pia alikuwa akitokea Nigeria. Anasema rushwa inaathari kubwa kwa bara la Afrika huku akitolea mfano Niger Delta alikozaliwa na kukulia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya kusalimia wakazi wa Zanzibar aliimba wimbo maarufu wa ‘ V.I.P. (Vagabond In Power)’ ambao uliripua kelele za furaha na kuimba pamoja   ‘Vagabond in power (Vagabond in power o!)’. Baada ya kumaliza shoo mashabiki hawakutaka ashuke jukwaani waliomba aendelee kuwaburudisha. Uimbaji wake na ujumbe alioubeba umedhihirisha kuwa muziki unatumia lugha ambayo inaweza kufikisha ujumbe kirahisi zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8529680886358154249?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8529680886358154249/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/nneka-afanya-shoo-sauti-za-busara-2012.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8529680886358154249'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8529680886358154249'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/nneka-afanya-shoo-sauti-za-busara-2012.html' title='Nneka Afanya Shoo Sauti za Busara 2012'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4811543968207029133</id><published>2012-02-12T19:21:00.000+03:00</published><updated>2012-02-12T19:21:10.225+03:00</updated><title type='text'>Habari Fupi za Siku Mbili za Mwanzo za Tamasha la Sauti za Busara</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tamasha la Sauti za Busara mwaka huu liling’oa nanga tarehe tisa mwezi wa Februari kwa staili ya aina yake kwa ngoma za asili kama mdundiko, ngongoti, dufu na shangwe katika maandamano maarufu kama Carnival Parade ambayo yalianzia Kisonge Park saa kumi kamili jioni na kuishia Ngome Kongwe saa kumi na mbili jioni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Vitongoji mbalimbali Unguja vilipata bahati ya kujionea maandamano hayo kwani msafara huo ulikatiza katika vitongoji vya michenzani, Kisiwandui, Mkunazini, Mnazi Mmoja, Vuga na Shanghani kabla ya kutia nanga Ngome Kongwe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya hapo, siku nne za burudani na muziki mfululizo katika visiwa vya Unguja zilianza rasmi. Vikundi kadhaa vimetoa burudani ndani ya viwanja vya Ngome Kongwe, ambavyo ni Mkota Spirit Dancers kutoka Pemba, Swahili Vibes, Shirikisho Sanaa, Tandaa Traditional Group, Wanafunzi wa SOS, Ary Morais (Cape Verde/Norway) na Mashauzi Classic modern taarab ya Tanzania ikiongozwa na Isha Mashauzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kikundi kutoka Pemba, Mkota Spirit Dancers kilifanya shoo ya aina yake iliyopambwa na uvaaji wa kiasili na nyimbo zao za Kiswahili cha aina yakipekee kama ‘Uganga Ukuu’, ‘Ng’ombe alia Baa’, ‘Ukaruka Mgongowa’ na ‘Bamba la Mvumo’.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Jike la Simba, Isha Mashauzi aliwarusha wakazi na wageni kwa uimbaji wake na uchezaji wa nyimbo zake maarufu kama ‘Mama Nipe Radhi’ na ‘Tugawane Ustaarabu’ ambazo ziliwafanya hata wasioelewa alichokuwa akiimba kuvuja jasho kutokana na kucheza mwanzo mwisho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na muziki kutoka katika vikundi mbalimbali, katika viunga vya Ngome Kongwe, vinaonyeshwa vipande vya video za aina mbalimbali ya muziki kama vile Taarab, Kuduro, Hip Hop, Bongo Flava, Mchiriku na hili litakuwa likifanyika kila siku.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Siku ya pili, mwanamuziki Hanitra kutoka Madagascar alifungua show na kufuatwa na Tausi Women Taarab pamoja na Bi Kidude aliyekonga mioyo mashabiki wake. Kikundi kutoka Sudan, Camirata Group kilifuata na baadaye Ogoya Nengo alipanda jukwaani. Mkongwe huyo aliwashangaza wengi kwa staili yake ya kucheza huku akionekana kuwa na pumzi ya kutosha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naye Waziri wa utalii wa Kenya Mheshimiwa Najib Balala pia alipata wakati wa kuzungumza katika tamasha na kuelezea zaidi kuhusu mpango wa ushirikiano baina ya Lamu Festival ya Kenya na Sauti za Busara. Alimkabidhi mkurugenzi wa tamasha bwana Yusuf Mahmoud kitabu maalum kuhusu Lamu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Utamaduni JKU kutoka Zanzibar na Kozman Ti Dalon kutoka kisiwa cha Reunion walifuata baadaye. Fredy Massamba kutoka Congo aliwatumbuiza mashabiki wa tamasaha na wimbo wake maarufu ‘Lobelanga’. Aliwahamasisha kuhusu kudumisha amani na upendo.Super Mazembe kutoka Kenya walifunga show ya siku ya pili ya tamasaha kwa shangwe na vigelegele kwani nyimbo zao zimejulikana kanda la Afrika.Wanamuziki walicheza dansi staili ya lingala na waliimba nyimbo kama ‘Kasongo’ na ‘Shauri Yako’ zilizo waacha waliohudhuria kutaka show nyingine.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4811543968207029133?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4811543968207029133/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/habari-fupi-za-siku-mbili-za-mwanzo-za.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4811543968207029133'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4811543968207029133'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/habari-fupi-za-siku-mbili-za-mwanzo-za.html' title='Habari Fupi za Siku Mbili za Mwanzo za Tamasha la Sauti za Busara'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-740362886132526055</id><published>2012-02-11T21:05:00.000+03:00</published><updated>2012-02-11T21:05:49.040+03:00</updated><title type='text'>Mwinyi Afunga Kampeni za CCM Uzini - Awaasa Kumchagua Raza Kuwawakilisha Bungeni</title><content type='html'>Na Faki Mjaka-Maelezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwenyekiti Mstaafu CCM Ali Hassan Mwinyi amewataka wananchi wa Jimbo la Uzini kutofanya makosa kumchagua Mgombea wowote wa Chama cha Upinzani badala yake wamchague Mgombea wa CCM Mohammed Raza Daramsi ambaye ndiye mgombea anayefaa kwa ajili ya maendeleo yao&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwinyi ameyasema hayo katika kiwanja za Manzese Uzini wakati alipokuwa akifunga kampeni za CCM katika kinyanganyiro cha kugombea nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Jimbo hilo &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema Mohammed Raza ni Mpenda maendeleo na anayejali watu hivyo wananchi wa Uzini wana kila sababu za kumchagua Mgombea huyo wa CCM ambaye anawazidi sifa wagombea wote wa vyama vya upinzani&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ameongeza kuwa kama watamchagua Raza matatizo ambayo yanalikabili Jimbo la Uzini yatakuwa yamepata suluhisho la kudumu kutokana na dhamira ya dhati iliyojengeka katika nafsi ya Mgombea wao na Chama chao&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ameyataja matatizo ambayo yanalikabili Jimbo hilo kuwa ni pamoja na Maji Safi na Salama, Elimu na Afya na kudai kuwa yanaweza kupata suluhu iwapo Raza atachaguliwa&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwinyi ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasisitiza mamia ya wananchi hao waliohudhuria katika kampeni hizo kutekeleza ahadi ya Chama kwa kumchagua Raza kama ambavyo Uongozi wa CCM ulitekeleza ahadi ya wananchi hao kwa kumsimamisha mgombea huyo ambaye alikuwa chaguo lao&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Balozi Seif Idd amewataka wananchi hao kutochezea bahati waliyoipata ya kumchagua Raza kwani ni mtu mwenye upendo na kuwajali wanyonge.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mjumbe huyo ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar amesema kuwa ikiwa Raza ameweza kusaidia wananchi wa Majimbo mbali mbali wakiwemo wa Jimbo lake hapana shaka Raza atakuwa na juhudi zaidi ya kuwasaidia wananchi wake mwenyewe&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Raza amesema atahakikisha anawapatia maendeleo wananchi wa Jimbo la Uzini pale watakapomchagua na kuweza kuwa nao kwa bega katika kusimamia Ilani ya CCM&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema Ilani ya CCM ndiyo ilani ambayo inatekelezeka kwa maendeleo ya wananchi wa Jimbo hilo hivyo waendelee kumuunga mkono kwa kumpa kura ambazo zitamfanya awe Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi ili awatumikie&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wananchi wa Jimbo la Uzini watapiga kura kesho kumchagua Mwakilishi wa Jimbo hilo ambapo jumla ya Wagombea Watano wa Vyama mbali mbali vya siasa nchini wanagombea nafasi hiyo iliyoachwa kufuatia kifo cha Mwakilishi wa Jimbo hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Imetolewa na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-740362886132526055?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/740362886132526055/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mwinyi-afunga-kampeni-za-ccm-uzini.html#comment-form' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/740362886132526055'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/740362886132526055'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mwinyi-afunga-kampeni-za-ccm-uzini.html' title='Mwinyi Afunga Kampeni za CCM Uzini - Awaasa Kumchagua Raza Kuwawakilisha Bungeni'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7221718843472820652</id><published>2012-02-11T13:17:00.001+03:00</published><updated>2012-02-11T23:03:57.118+03:00</updated><title type='text'>Tamasha la Busara Lavutia Wengi  Viwanja vya Ngomekongwe Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-KCaik1uuVqU/TzY5JXfTbSI/AAAAAAAALeg/NjCpL3oJYzE/s1600/IMG_7856.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-KCaik1uuVqU/TzY5JXfTbSI/AAAAAAAALeg/NjCpL3oJYzE/s640/IMG_7856.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-imebJM6jOLI/TzY6eKrXQEI/AAAAAAAALeo/9ywMA2NJsdY/s1600/IMG_7726.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-imebJM6jOLI/TzY6eKrXQEI/AAAAAAAALeo/9ywMA2NJsdY/s640/IMG_7726.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-tdk9ZXZVAYg/TzY7XB0IgpI/AAAAAAAALew/I4ePU9hnmvI/s1600/IMG_7702.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-tdk9ZXZVAYg/TzY7XB0IgpI/AAAAAAAALew/I4ePU9hnmvI/s640/IMG_7702.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-rBBQKDHeGHM/TzY7ulKl44I/AAAAAAAALe4/HSxU3K1cC7k/s1600/IMG_7694.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-rBBQKDHeGHM/TzY7ulKl44I/AAAAAAAALe4/HSxU3K1cC7k/s640/IMG_7694.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-0VDBujGAg44/TzY73WqThUI/AAAAAAAALfA/wpsdkGDh3aE/s1600/IMG_7697.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-0VDBujGAg44/TzY73WqThUI/AAAAAAAALfA/wpsdkGDh3aE/s640/IMG_7697.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Wl_CV1juXxY/TzY8KdHbvVI/AAAAAAAALfI/svIyNe_PSeE/s1600/IMG_7698.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Wl_CV1juXxY/TzY8KdHbvVI/AAAAAAAALfI/svIyNe_PSeE/s640/IMG_7698.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-RtDUuJ5J6Lw/TzY8WccN7RI/AAAAAAAALfQ/22PiaAhiz1w/s1600/IMG_7715.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-RtDUuJ5J6Lw/TzY8WccN7RI/AAAAAAAALfQ/22PiaAhiz1w/s640/IMG_7715.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-hwg1jQH8g6c/TzY8vKSr9JI/AAAAAAAALfY/F9Zc1fh4ICw/s1600/IMG_7712.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-hwg1jQH8g6c/TzY8vKSr9JI/AAAAAAAALfY/F9Zc1fh4ICw/s640/IMG_7712.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Y2__05VDg4Q/TzY9Hh5RQPI/AAAAAAAALfg/oNAZ56v-7H8/s1600/IMG_7692.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Y2__05VDg4Q/TzY9Hh5RQPI/AAAAAAAALfg/oNAZ56v-7H8/s640/IMG_7692.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-pMV560VFR8Q/TzY9d8V9onI/AAAAAAAALfo/A5dj_omMk98/s1600/IMG_7723.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-pMV560VFR8Q/TzY9d8V9onI/AAAAAAAALfo/A5dj_omMk98/s640/IMG_7723.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-l1p240zkyec/TzY9qssi3OI/AAAAAAAALfw/L4BeQC8ESho/s1600/IMG_7737.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-l1p240zkyec/TzY9qssi3OI/AAAAAAAALfw/L4BeQC8ESho/s640/IMG_7737.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-zMWK7yUIvFc/TzY96_nBs6I/AAAAAAAALf4/1ojE_Dngy10/s1600/IMG_7743.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-zMWK7yUIvFc/TzY96_nBs6I/AAAAAAAALf4/1ojE_Dngy10/s640/IMG_7743.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/--Um5oRiOFsg/TzY-FNl6_3I/AAAAAAAALgA/N97Sm9nJRco/s1600/IMG_7748.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/--Um5oRiOFsg/TzY-FNl6_3I/AAAAAAAALgA/N97Sm9nJRco/s640/IMG_7748.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-EzzlDOIOFP8/TzY-UYdTLZI/AAAAAAAALgI/IRQd2BaH8IM/s1600/IMG_7754.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-EzzlDOIOFP8/TzY-UYdTLZI/AAAAAAAALgI/IRQd2BaH8IM/s640/IMG_7754.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-0njFG2WHn0Q/TzY-fFmWhkI/AAAAAAAALgQ/43rgP3uLi8Q/s1600/IMG_7753.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-0njFG2WHn0Q/TzY-fFmWhkI/AAAAAAAALgQ/43rgP3uLi8Q/s640/IMG_7753.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-A_qgpJfDc8M/TzY-r6xMj4I/AAAAAAAALgY/IMlWIyDGJoM/s1600/IMG_7757.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-A_qgpJfDc8M/TzY-r6xMj4I/AAAAAAAALgY/IMlWIyDGJoM/s640/IMG_7757.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-PeoXXYKCazY/TzY-1rmrmXI/AAAAAAAALgg/amQHWM3puOg/s1600/IMG_7763.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-PeoXXYKCazY/TzY-1rmrmXI/AAAAAAAALgg/amQHWM3puOg/s640/IMG_7763.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-9UoP6eth05c/TzY_NXrPPLI/AAAAAAAALgo/V_jJhSzKrRg/s1600/IMG_7798.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-9UoP6eth05c/TzY_NXrPPLI/AAAAAAAALgo/V_jJhSzKrRg/s640/IMG_7798.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-5dOx0KrqVAA/TzY_ac7nOrI/AAAAAAAALgw/FcSUpX4Zlkw/s1600/IMG_7787.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-5dOx0KrqVAA/TzY_ac7nOrI/AAAAAAAALgw/FcSUpX4Zlkw/s640/IMG_7787.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-kvgV_AbIPJA/TzY_r4snuvI/AAAAAAAALg4/rGnwpoRdr9I/s1600/IMG_7877.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-kvgV_AbIPJA/TzY_r4snuvI/AAAAAAAALg4/rGnwpoRdr9I/s640/IMG_7877.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7221718843472820652?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7221718843472820652/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/tamasha-la-busara-lavutia-wengi-viwanja.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7221718843472820652'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7221718843472820652'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/tamasha-la-busara-lavutia-wengi-viwanja.html' title='Tamasha la Busara Lavutia Wengi  Viwanja vya Ngomekongwe Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-KCaik1uuVqU/TzY5JXfTbSI/AAAAAAAALeg/NjCpL3oJYzE/s72-c/IMG_7856.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3703756275807718089</id><published>2012-02-11T09:30:00.002+03:00</published><updated>2012-02-11T09:30:35.295+03:00</updated><title type='text'>Kupanga Bei kwa Dola ni Kuvunja Sheria - Mkulo</title><content type='html'>Na Kunze Mswanyama, DODOMA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amesema ni kinyume na sheria kwa wafanyabiashara kupanga bei ya bidhaa zao kwa kutumia dola za Marekani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkulo alieleza hayo alipokuwa akitoa tathmini ya hali ya uchumi kwenye semina ya Wabunge iliyofanyika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kupanga bidhaa na kulazimisha kulipwa dola za Marekani ni kosa kwa mujibu wa kifungu nambari 26 cha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania, sura ya 197.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo aliwataka wananchi kuhakikisha wanatoa taarifa kwenye vyombo vya sheria pale watakapowabaini wafanyabiashara wakilazimisha kulipwa fedha za kigeni baada ya kutoa ama kuuza huduma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mara nyingi wafanyabiashara wa namna hiyo, hulazimisha kulipwa fedha za kigeni kwa kuhofia kuporomoka thamani ya shilingi na kulinda biashara zao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kufuatia hatua zilizochukuliwa na serikali, shilingi imeanza kuimarika thamani yake tangu mwezi Januari mwaka huu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Sehemu kubwa ya kupungua kwa thamani ya shilingi ya Tanzania imetokana na mfumuko wa bei kati ya Tanzania na nchi tunazofanya nazo biashara na tofauti kati ya mahitaji ya bidhaa kutoka nje na mapato ya mauzo yetu nje”, alisema Mkulo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo alisema Tanzania inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi hasa kutokana na kutegemea kuingiza vitu zaidi kuliko kusafirisha nje.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema tatizo jengine linalotishia hali ya uchumi wa Tanzania ni madeni makubwa yanayozikabili nchi za Ulaya hasa Ugiriki mahitaji ya dola ya Marekani yameongezeka sana na hivyo kusababisha sarafu zote kubwa duniani kuporomoka dhidi ya dola ya kimarekani.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3703756275807718089?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3703756275807718089/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kupanga-bei-kwa-dola-ni-kuvunja-sheria.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3703756275807718089'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3703756275807718089'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kupanga-bei-kwa-dola-ni-kuvunja-sheria.html' title='Kupanga Bei kwa Dola ni Kuvunja Sheria - Mkulo'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-41304889002017383</id><published>2012-02-11T09:29:00.000+03:00</published><updated>2012-02-11T09:29:03.301+03:00</updated><title type='text'>Al Yamin Kujenga Ukumbi wa Nyota Tano</title><content type='html'>Na Salum Vuai, Maelezo&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;JUMUIYA ya Al Yamin, iko mbioni kujenga ukumbi wa kisasa wa mikutano wa kimataifa, utakaokuwa na daraja ya nyota tano. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Azma hiyo inayopangwa kutekelezwa baada ya miaka miwili ijayo, inalenga kuiimarisha zaidi jumuiya hiyo, na kuiongezea uwezo wa kutekeleza majukumu yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yalifahamika katika hafla ya ufunguzi wa ukumbi mpya wa Baytul Yamin uliopo kwenye makao makuu ya jumuiya hiyo hapo Funguni mjini Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hafla hiyo iliyoambatana na maulid ya kuadhimisha uzawa wa kiongozi wa Waislamu Mtume Muhammad (SAW), ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kidini, masheikh, maulamaa kutoka Zanzibar na Tanzania Bara, ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia ujenzi wa ukumbi huo, Makamu Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Mohammed Al Sheikh, alisema ni azma ya jumuiya ya Al Yamin, kukamilisha ghorofa mbili zilizobaki katika jengo hilo, huku pia ikijipanga kuwa na ukumbi wa kimataifa wa nyota tano, utakaotumika kwa mikutano mbalimbali mikubwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Al Sheikh, ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo, alisema, kazi za kukamilisha ukumbi huo wa pili katika jengo hilo la Baytul Yamin, ilianza Aprili 28, mwaka jana, kutokana na msukumo wa mwanachama wa jumuiya hiyo Salum Bakhresa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;"Baada ya kuona tunasuasua, mtoto wetu huyu aliwafuata wazee wa kamati kuu kueleza azma yake ya kutaka kujenga na kuwa msimamizi wa ujenzi huu, na kamati ikampa baraka na kumtaka aanze bila kusita", alifahamisha Al Sheikh.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alieleza kuwa, ujenzi wa ukumbi huo umegharimu shilingi milioni 95 hadi kukamilika kwake, ambazo zimetokana na misaada, kutoka kwa wahisani mbalimbali, mikopo pamoja na mfuko wa jumuiya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa niaba ya jumuiya hiyo, alitoa shukurani kwa wote waliochangia kwa hali na mali, pamoja na kutoa ushauri juu ya kumaliza kazi ya ujenzi hadi kufunguliwa hiyo juzi.  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alitumia fursa hiyo kuishukuru jumuiya ya Yemen ya mjini Dar es Salaam, kwa kuwakopesha fedha ili waweze kumaliza kwa haraka ujenzi huo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande mwengine, hafla ya maulidi iliyofanyika ukumbini hapo ilichangamsha hadhira, ambapo baadae Sheikh Sameer Zulfiqar, alitoa nasaha kwa waumini waliohudhuria.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Sheikh Zulfiqar aliwakumbusha waumini juu ya haja ya kumpenda Mtume Muhammed (S.A.W) kwa dhati, kwa kufuata mwenendo wake ili wapate manusura duniani na Akhera.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema haitoshi kwa waumini kujigamba kuwa wana mapenzi kwa kiongozi wao huyo, lakini tabia na vitendo vyao vikawa vinakwenda kinyume na alivyokuwa mtume (S.A.W).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Miongoni mwa waalikwa mashuhuri katika hafla hiyo, alikuwa Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Sheikh L-Hadi, Mufti Mkuu wa Zanzibar aliyewakilishwa na Naibu Kadhi Sheikh Khamis Haji, pamoja na maulamaa wengine mbalimbali.  &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-41304889002017383?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/41304889002017383/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/al-yamin-kujenga-ukumbi-wa-nyota-tano.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/41304889002017383'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/41304889002017383'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/al-yamin-kujenga-ukumbi-wa-nyota-tano.html' title='Al Yamin Kujenga Ukumbi wa Nyota Tano'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6398579211529458583</id><published>2012-02-10T22:23:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T22:23:05.455+03:00</updated><title type='text'>Maalim Seif Akutana na Balozi wa Sudan</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-0b7wNs5bIGM/TzVt_ZqSEzI/AAAAAAAALeQ/SdUdwcBK2CU/s1600/IMG_9758.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="520" src="http://1.bp.blogspot.com/-0b7wNs5bIGM/TzVt_ZqSEzI/AAAAAAAALeQ/SdUdwcBK2CU/s640/IMG_9758.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akifurahia jambo na Balozi wa Sudan nchini Tanzania Dk. Yassir Mohamed Ali baada ya kumaliza mazungumzo yao huko ofisini kwake migombani mjini Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-NGUoPNrDzuA/TzVuG5BoeaI/AAAAAAAALeY/iRgl-7Hx59U/s1600/IMG_9742.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" src="http://4.bp.blogspot.com/-NGUoPNrDzuA/TzVuG5BoeaI/AAAAAAAALeY/iRgl-7Hx59U/s640/IMG_9742.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Balozi wa Sudan nchini Tanzania Dk. Yassir Mohamed Ali akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad huko OMKR Migombani.(Picha; Salmin Said, OMKR)&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuna maeneo mengi muhimu ambayo Zanzibar na Sudan zinaweza kushirikiana kwa maslahi ya pande hizo mbili, ikiwemo uanzishaji na uendelezaji wa viwanda vidogo vidogo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema eneo hilo ni muhimu kwa maendeleo ya Zanzibar kwa vile litasaidia kutoa ajira kwa vijana wengi nchini na kuwawezesha kukabiliana na ukali wa maisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maalim Seif ameeleza hayo leo ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar alipokuwa na mazungumzo na balozi wa Sudan nchini Tanzania Dk. Yassir Mohamed Ali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amefahamisha kuwa Sudan inayo fursa nzuri ya kuwekeza viwanda vya nguo hapa Zanzibar ikizingatiwa kuwa nchi hiyo ni mzalishaji mzuri wa zao la pamba barani Afrika, hali ambayo pia itasaidia kuhimili ushindani wa kibiashara katika soko la Afrika Mashariki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamu wa Kwanza wa Rais pia ameelezea haja kwa nchi hiyo kutoa ushirikiano katika kilimo cha umwagiliaji, ili kuweza kusaidia sera za serikali za kuinua kilimo hicho ambacho ni muhimu katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia nchi.  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maalim Seif amesema Zanzibar imekuwa ikinufaika kwa kiasi kikubwa kutokana na uhusiano wa kihistoria uliopo baina yake na Sudan na kutaka uhusiano huo uendelezwe kwa maslahi ya pande hizo mbili.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema kwa muda mrefu Sudan imekuwa ikishirikiana na Zanzibar katika sekta mbali mbali za maendeleo zikiwemo elimu, Afya na kilimo, sambamba na kubadilishana wataalamu katika sekta hizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika sekta za elimu na afya, Makamu wa Kwanza wa Rais amesema Sudan imekuwa karibu na Zanzibar kwa kutoa fursa za elimu nchini humo sambamba na kuleta wataalamu wa afya ambao huisaidia Zanzibar katika kupambana na maradhi mbali mbali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ameiomba Sudan kuangalia uwezekano wa kuisaidia zaidi Zanzibar katika sekta ya elimu ili kuziba pengo la upungufu wa walimu wa sayansi katika skuli mbali mbali nchini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Vijana wetu wengi wanahitimu masomo ya sanaa yakiwemo yale ya dini ya kiislamu na lugha ya kiarabu, hali inayopelekea kuwa wengi na kusababisha hata kukosa ajira, na kwamba kwa sasa serikali inahitaji sana walimu wa sayansi mashuleni hasa wale wa somo la hisabati”, alifafanua Makamu wa Kwanza wa Rais.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ktika hatua nyengine, Makau wa Kwanza wa Rais ameipongeza Sudan kwa kuandaa kura ya maoni na hatimaye uchaguzi uliopelekea kuligawa taifa hilo kwa njia za amani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ameiomba Sudan kutafuta ufumbuzi wa kudumu katika jimbo la Darfur ili kuliweka taifa hilo katika hali ya amani ambayo itasaidia maendeleo na ustawi wa bara zima la Afrika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Zanzibar itafurahi kuona Sudan inaishi kwa amani kwa kuwa ni nchi kubwa ambapo amani hiyo itaweza kuzinufaisha nchi nyengine kiuchumi ikiwemo Zanzibar”, alisema Maalim Seif. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Balozi Yassir amemueleza Maalim Seif kuwa nchi yake iko tayari kuendeleza ushirikiano huo na kutafuta maeneo mengine ya ushirikiano ambayo yatasaidia kukuza maendeleo ya wananchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema  nchi yake ina uzoefu mzuri katika kilimo cha umwagiliaji na sekta ya elimu, na kuahidi kutoa ushirikiano zaidi katika nyanja hizo, sambamba na kuangalia uwezekano wa kuwekeza katika maeneo mbali mbali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hassan Hamad (OMKR).&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6398579211529458583?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6398579211529458583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maalim-seif-akutana-na-balozi-wa-sudan.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6398579211529458583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6398579211529458583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maalim-seif-akutana-na-balozi-wa-sudan.html' title='Maalim Seif Akutana na Balozi wa Sudan'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-0b7wNs5bIGM/TzVt_ZqSEzI/AAAAAAAALeQ/SdUdwcBK2CU/s72-c/IMG_9758.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5967808499718546655</id><published>2012-02-10T09:33:00.002+03:00</published><updated>2012-02-10T09:33:59.791+03:00</updated><title type='text'>BoT Yamtunuku Sarafu Maalum RC Abdalla Mwinyi</title><content type='html'>Na Halima Jumbe, Maelezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imemtunuku mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis sarafu maalum ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania bara kutokana na mchango wake wa kulitumikia taifa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akikabidhi sarafu hiyo Mkurugenzi wa Benki kuu ya Tawi la Zanzibar, Joseph Samwel Muhando alisema kuwa sarafu hiyo yenye thamani ya shilingi 50,000 iliyotolewa wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ni maalum kwa ajili ya kuwatunuku na kuwaenzi viongozi mbali mbali wa kitaifa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkurugenzi huyo alisema kuwa, Abdalla Mwinyi ni miongoni mwa viongozi  wanaostahiki kupewa tunzo hiyo kutokana na umahiri wake katika kutekeleza majukumu yake na mashirikiano mazuri aliyoyatoa kwa uongozi wa benki hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa sarafu hiyo ya medali ya fedha kwa kiwango cha asilimia 92.5 na uzito wa gramu 12 yenye nembo ya picha ya Mwalimu Nyerere na ramani ya Tanzania na kwa upande wa pili kuna nembo ya Jamuhuri ya Muungano.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema haitokuwa katika mzunguko wa matumizi ya kawaida na itakuwa ni kumbukumbu ya kuwaenzi viongozi katika kipindi cha uongozi wao na baada ya kustaafu utumishi wa umma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi aliushukuru uongozi wa benki hiyo kwa kuthamini mchango wake kwa taifa na kuweza kumtunuku tunzo hiyo yenye thamani kubwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha aliiomba benki hiyo kuwaelimisha wakulima wa karafuu juu ya umuhimu wa kuhifadhi fedha zao benki sambamba na kuanzisha ‘mobile bank’ katika maeneo mbali mbali ili kuwasogezea kwa ukaribu wananchi huduma za kibenki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema katika msimu wa karafuu wazalishaji wa zao hilo hasa katika kisiwa cha Pemba wamekuwa wakipata fedha nyingi lakini bado hawajawa na muamko wa kuweka fedha zao benki na badala yake wanazihifadhi majumbani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkuu huyo alisema kuwa jamii pia inahitaji kuelimishwa juu ya kupanda na kushuka kwa thamani ya sarafu hivyo kuiomba BoT kutoa taaluma kwa wananchi hasa vijijini na wafanyabiashara wadogo wadogo wakiwemo wajasiriamali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo alifahamisha kuwa haitoshi masuala ya kifedha na huduma nyengine za kibenki kufahamika na wafanyabiashara wakubwa pekee, na kwamba hali hiyo inawakosesha fursa kufaidika na huduma mbali mbali za kifedha kwa wananchi wa kipato cha chini.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5967808499718546655?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5967808499718546655/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/bot-yamtunuku-sarafu-maalum-rc-abdalla.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5967808499718546655'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5967808499718546655'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/bot-yamtunuku-sarafu-maalum-rc-abdalla.html' title='BoT Yamtunuku Sarafu Maalum RC Abdalla Mwinyi'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4187753746709753406</id><published>2012-02-10T09:32:00.002+03:00</published><updated>2012-02-10T09:32:55.077+03:00</updated><title type='text'>3,500 Kuajiriwa Kupitia Vyama vya Ushirika</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;47, 548 waajiriwa mwaka jana Zanzibar&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Mwashamba Juma&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WIZARA ya Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika inakusudia kutoa ajira 3,500 kupitia vyama vya ushirika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, Haroun Ali Suleiman aliyasema hayo wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango kazi wa wizara hiyo huko ofisini kwake Mwanakwerekwe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri Haroun alisema katika kuvipa uwezo wa kiuendeshaji vyama vya ushirika wizara yake inatarajia kuanzisha mfuko mpya wa uwezeshaji wananchi kiuchumi mwezi Aprili mwaka huu, ambao unatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuzinduliwa kwa mfuko huo kunakusudia kupunguza msururu mkubwa wa uhaba wa ajira kufuatia zaidi ya wazanzibari 17,000 wakiwa hawana ajira, hivyo kupitia mfuko huo ambao unakusudia kupunguza tatizo hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia sheria za kazi kwa wafanyakazi waziri Haroun alisema, wizara yake inasimamia kikamilifu sheria za kazi hasa kwa waajiri wanao wanyanyasa wajiriwa wao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema serikali kupitia wizara yake tayari imewafutia vibali vya kazi pamoja na mikataba yao, baadhi ya waajiri katika ngazi ya uongozi wa juu kwa baadhi ya mahoteli yakiwemo Neptune, Lagema ya Nungwi, Dolphin, African House na Dream of Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia ajira za nje waziri huyo alisema kuwa zitapatikana kwa utaratibu maalum wa serikali ambapo kupitia wizara yake kwa makubaliano ya serikali ya Oman Wazanzibari watapelekwa kihalali nchini humo pamoja na kuwapatia ajira zenye heshima na staha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wa ajira za ndani waziri alisema zaidi ya Wazanzibari 47,548 waliajiriwa mwaka jana kupitia sekta rasmi ambapo watumishi wa serikali 31433 waliajiriwa na wa sekta binafsi 13148 na watumishi 4871 sawa na asilimia mbili wameongezeka kwa mwaka huu. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo alifahamisha kuwa wizara yake inatoa fursa maalum kwa wajasiriamali ambapo imeanzisha soko la Jumapili ‘Sunday Market’ kwa ajili ya bidhaa za wajasiriamali wote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kwa mashirikiano mazuri baina ya wizara yake na manispaa pamoja na afisi ya mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi wamejipanga vizuri katika kusimamia uendelezwaji mzuri wa soko hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha aliwataka wafanyabiashara wadogo wadogo na wa juakali kuitumia fursa ya soko la Jumapili kwa kufanya biashara zao siku hiyo. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae mratibu Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa kwa Wazanzibari waishio nje ya nchi (diaspora) Hassan Khamis Hafidh, aliitaka wizara hiyo kwa kushirikiana na idara yake pamoja na umoja wa Wazanzibari waishio nje ya nchi, kuwatumia Wazanzibari hao katika kuchangia maendeleo ya nchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa wao ni rasilimali ya nchi pia ni mawakala wazuri watakaozishughulikia haki na sheria wa Wazanzibari wanaofanyishwa kazi za majumbani na kutotendewa haki wakiwa nje ya nchi.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4187753746709753406?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4187753746709753406/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/3500-kuajiriwa-kupitia-vyama-vya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4187753746709753406'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4187753746709753406'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/3500-kuajiriwa-kupitia-vyama-vya.html' title='3,500 Kuajiriwa Kupitia Vyama vya Ushirika'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3810568306284317638</id><published>2012-02-10T09:31:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T09:31:34.025+03:00</updated><title type='text'>ZAYEDESA Yaikabidhi Serikali Nyumba Kulelea Watoto Mazizini</title><content type='html'>&lt;b&gt;Mama Shadya apongezwa kwa mapenzi kwa watoto&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Mwashamba Juma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MWENYEKITI wa ZAYEDESA, Mama Shadiya Karume amekabidhi serikalini nyumba ya kulelea watoto iliyopo Mazizini wilaya ya Magharibi Unguja, iliyogharimu zaidi ya shilingi milioni 60 katika ujenzi wake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ofisi za ZAYEDESA, Mazizini kwenye hafla fupi ya utiaji saini wa mkataba wa makabidhiano ya jengo hilo kati ya katibu wa ZAYEDESA, Lucy Majaaliwa na Katibu Mkuu wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto, Fatma Gharib Bilal.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hafla hiyo Mama Shadya alisema kukabidhi jengo hilo kwa serikali kumetimiza haki ya kisheria, licha ya kupambana na changamoto za hapa na pale wakati wa kujengwa kwake hatimae kumalizika na kulikabidhi mikononi mwa serikali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kujengwa kwa nyumba hiyo kunafuatia kuchakaa kwa nyumba ya zamani iliyokuwa Forodhani, iliyotolewa baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964 chini ya uongozi wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Mzee Abeid Amani Karume.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kwamba watoto wanahitaji huduma zote za msingi za kijamii zikiwemo makaazi, malezi bora na huduma nyengine kama vile elimu, mavazi na chakula.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema ni imani na mapenzi aliyonayo kwa watoto hao, ndipo alipoona upo umuhimu wa kujengewa nyumba mpya na ya kisasa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha aliwaomba walezi wa watoto hao kuzidisha mapenzi na imani na kuwa na mashirikiano na wizara husika katika   kuwalea watoto hao ili wajihisi kama watoto wengine katika jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake waziri wa wizara hiyo, Zainab Omar Mohammed alisema kitendo cha utiaji saini wa mkataba huo kinaweka bayana majukumu ya kila upande kuendeleza nyumba hiyo kwa manufaa na faida ya watoto hao na taifa kwa ujumla.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema fikra za mama Shadya za kuwasaidia na kuwawekea mazingira mazuri ya kuishi watoto yatima zinakwenda sambamba na zile za Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Marehemu Mzee Abied Amani Karume.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wizara yake itaendeleza mashirikiano mazuri yaiyopo na ZAYEDESA, ambayo ndiyo iliyojenga nyumba hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Mama Shadya Karume.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nyumba hiyo ya kulelea watoto yatima ya Mazizi ilifunguliwa Agosti 28 mwaka 2010 ambayo inaendeleza majukumu yake ya kulelea watoto hao kufuatia kuhama nyumba kongwe iliyochakaa ya Forodhani.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3810568306284317638?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3810568306284317638/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zayedesa-yaikabidhi-serikali-nyumba.html#comment-form' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3810568306284317638'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3810568306284317638'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zayedesa-yaikabidhi-serikali-nyumba.html' title='ZAYEDESA Yaikabidhi Serikali Nyumba Kulelea Watoto Mazizini'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7165570133997427717</id><published>2012-02-10T09:29:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T09:29:04.987+03:00</updated><title type='text'>Mhadhiri SUZA: Tafiti Ufunguo wa Maendeleo</title><content type='html'>Na Haji Nassor, Pemba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Mohamed Ali Shehe amesema Zanzibar haiwezi kuendelea kama suala la tafiti zinazofanywa hazikupewa kipaumbele na kuzitumia ipasavyo kama mataifa mengine yaliyoendelea ulimwenguni yafanyavyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema nchi zote zilizoendelea kwanza huweka mbele suala la kuzifanyia kazi tafiti zinazofanywa ndani ya nchi zao kwa vile kupitia hizo ndio Serikali hugundua changamoto mbali mbali ambazo zinalikabili taifa na hatimae kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mhadhiri huyo alitoa tamko hilo jana huko ukumbi wa mikutano wa TASAF mjini Chake chake Pemba alipotoa maelezo mafupi juu ya uzinduzi wa tume hiyo ya utafiti kwa Zanzibar mbele ya watendaji wakuu wa Serikali na jumuia za kiraia Kisiwani Pemba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema Zanzibar zipo tafiti kadhaa zilizofanywa na wasomi wa visiwa hivyo, lakini bado hazijatumiwa kama ndio njia sahihi ya kujiletea maendeleo na badala yake haziangaliwi kwa kina na kupoteza rasilimali muhimu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Wakati umefika sasa kuziona tafiti zilizofanywa zinaibuliwa na kuyatafutia ufumbuzi wa kina yale yaliyoonekana wakati watafiti na wasomi walipokuwa katika kazi hiyo”, alieleza Mhadhiri huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetenga kiasi cha shilingi 19 bilioni kwa mwaka uliopita lakini hakuna kasi ya uombaji wa fedha hizo hasa kwa wasomi na watafiti kutoka Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akifungua mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa alisema zipo tafiti kadhaa zilizofanywa Zanzibar, lakini nyingi zao zimekuwa zikiishia kwenye makabati jambo ambalo haliwezi kusaidia kusukuma mbele maendeleo nchini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo alisema uhaba wa watafiti kwa baadhi ya wakati nao umekuwa ukichangia hata hizo tafiti chache zilizofanywa kutofanyiwa kazi ipasavyo na kutokuwepo mabadiliko kabla na baada ya tatifi zenyewe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha amewataka watendaji wakuu hao wa Serikali kuhakikisha wanatoa ushirikiano mkubwa wanapotokezea watafiti kupitia taasisi zao, ikiwa ni pamoja na kuwatoa wenye uwezo ili kuungana na wengine.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Suala la utafiti ni pana na linahitaji ushirikiano kwa pande zote mbili kwa maana mfanyaji na mfanyiwa ili zipatikane taarifa za kweli”, alieleza Tindwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hatua nyengine Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wanawake nao kujitokeza kwa wingi kufanya tafiti mbali mbali, kwa vile bado idadi yao ni kidogo hapa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tume hiyo ya utafiti Zanzibar inasimamiwa na SUZA, na iko chini ya ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7165570133997427717?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7165570133997427717/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mhadhiri-suza-tafiti-ufunguo-wa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7165570133997427717'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7165570133997427717'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mhadhiri-suza-tafiti-ufunguo-wa.html' title='Mhadhiri SUZA: Tafiti Ufunguo wa Maendeleo'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1073078285866732938</id><published>2012-02-09T22:14:00.001+03:00</published><updated>2012-02-09T22:15:17.513+03:00</updated><title type='text'>Meli ya Kitalii Yatia Nanga Pemba</title><content type='html'>&lt;b&gt;Yatoka Afrika Kusini moja kwa moja&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Haji Nassor, Pemba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;HATIMAE bandari ya Mkoani Pemba kwa mara ya kwanza tokea kujengwa kwake, jana ilianza kupokea meli kubwa ya kitalii ikitokea Afrika Kusini ikiwa na watalii 58 ambao wanatokea Marekani na Uingereza kwa ziara ya siku moja kisiwani humo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwandishi wetu aliekuwepo bandarini hapo alishuhudia meli hiyo Clipper Odyssey yenye namba za usajili IMO 8800195 ikiwasili bandarini hapo majira ya saa 12:50 asubuhi, ikiongozwa na kapteni wa shrika la bandari Zanzibar Makame Hassan ambapo baadae watalii hao wakaanza ziara yao katika maeneo mbali mbali ya kihistoria ya Kisiwani Pemba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza na mwandishi wa habari hizi bandarini hapo, Meneja wa Kampuni ya Sewe travel ya Chake chake ambayo ndioa waratibu wa ziara hiyo, Peter Molnar alisema kampuni yake ilifanya kazi kubwa hadi kufanikiwa kuwaleta watalii hao wakiwa na usafiri huo wa moja kwa moja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Peter alisema, azma ya kampuni yake ni kuhakikisha wanaleta zaidi watalii kwa kutumia usafiri huo hasa kwa vile bandari ya Mkoani ina uwezo wa kupokea meli kubwa jambo ambalo wengi hawakulifikiria.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Tutafanya tena juhudi za kuleta watalii hapa Pemba kwenye Kisiwa kizuri kwa shughuli za kitalii, kwa vile meli kubwa zinafunga bila ya tabu na gati ina uwezo wa kufunga”,alisema Meneja huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Kapteni Makame Hassan kutoka Makao makuu ya shirika la bandari Zanzibar, ambae alisaidiana na nahodha wa meli hiyo kuingiza bandarini hapo, alisema meli hiyo ya kitalii ni ya kwanza kufunga bandari ya Mkoani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alieleza kuwa gati ya Mkoani ina uwezo wa kufunga meli yenye uzito wa tani hadi 9000 ambapo meli hiyo ina uzito wa tani 5218, na gati hiyo ina urefu wa mita 117 na meli hiyo yenyewe ikiwa na urefu wa mita 103 ambapo ilikuja na mabaharia 78.   &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Mkurugenzi wa Shirika la Bandari Pemba, Hamad Salim alisema, wakati umefika kwa wafanyabiashara wakubwa kuitumia bandari ya Mkoani kwa kupakulia bidhaa zao mbali mbali, kwa vile hilo linawezekana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusua maghala alieleza yapo ya kutosha ya kuhifadhia bidhaa hizo na Shirika la Bandari litaendelea kuyaimarisha licha kwamba baadhi ya bidhaa zinapokuja huja kwenye makontena maalumu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Sisi kama shirika la bandari hatujakaa kimya juu ya kuimarisha maghala ya kuhifadhia bidhaa za wafanyabiahara wetu wanaotumia bandarai hii”,alieleza Mkurugenzi huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo amesema juhudi za kuifanyia matengenezo badari hiyo ili kuondoa tatizo la kutuama maji zimefikia pahala pazuri na wanatarajia kabla ya mvua za masika kuanza iwe zoezi hilo limekamilika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Watalii hao 58 mara watakapomaliza ziara yao kwa kutwa moja Kisiwani Pemba wanatarajiwa kurudi kwa kupitia Unguja na kisha kuendelea na ziara yao.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1073078285866732938?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1073078285866732938/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/meli-ya-kitalii-yatia-nanga-pemba.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1073078285866732938'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1073078285866732938'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/meli-ya-kitalii-yatia-nanga-pemba.html' title='Meli ya Kitalii Yatia Nanga Pemba'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7626797975979268719</id><published>2012-02-09T20:09:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T20:09:00.461+03:00</updated><title type='text'>Maandamano ya Ufunguzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-HqNC9UZ5mxQ/TzP6QIsX4HI/AAAAAAAALcE/gCXLyJPqtD4/s1600/IMG_7638.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-HqNC9UZ5mxQ/TzP6QIsX4HI/AAAAAAAALcE/gCXLyJPqtD4/s640/IMG_7638.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-wJHGnVWd-Cg/TzP6azfKuOI/AAAAAAAALcQ/0_3JvQgk_YM/s1600/IMG_7640.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-wJHGnVWd-Cg/TzP6azfKuOI/AAAAAAAALcQ/0_3JvQgk_YM/s640/IMG_7640.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-EzFKKYHcBC0/TzP6o26WNVI/AAAAAAAALcY/F0Nv8VfGkeM/s1600/IMG_7638.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-EzFKKYHcBC0/TzP6o26WNVI/AAAAAAAALcY/F0Nv8VfGkeM/s640/IMG_7638.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-PD6tc_3F2GI/TzP60lsbssI/AAAAAAAALcg/FoJKtgFJ76k/s1600/IMG_7641.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-PD6tc_3F2GI/TzP60lsbssI/AAAAAAAALcg/FoJKtgFJ76k/s640/IMG_7641.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-5mc6PuWET_M/TzP67qcdjhI/AAAAAAAALco/UJNcGd4Nox0/s1600/IMG_7643.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-5mc6PuWET_M/TzP67qcdjhI/AAAAAAAALco/UJNcGd4Nox0/s640/IMG_7643.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-_y1RdaJXQtc/TzP7Oy3RusI/AAAAAAAALcw/3HMKTx1QF9s/s1600/IMG_7644.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-_y1RdaJXQtc/TzP7Oy3RusI/AAAAAAAALcw/3HMKTx1QF9s/s640/IMG_7644.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-dcJTGcXEiw4/TzP7ayrMKuI/AAAAAAAALc4/HYfXyy7Qgv8/s1600/IMG_7645.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-dcJTGcXEiw4/TzP7ayrMKuI/AAAAAAAALc4/HYfXyy7Qgv8/s640/IMG_7645.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-HpC_6_rYYLc/TzP7mM7QqdI/AAAAAAAALdA/Y3QAEgpnF6g/s1600/IMG_7650.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-HpC_6_rYYLc/TzP7mM7QqdI/AAAAAAAALdA/Y3QAEgpnF6g/s640/IMG_7650.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-xkOVNt43pEg/TzP7z1AC8oI/AAAAAAAALdI/LCfkvJos7Cs/s1600/IMG_7652.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-xkOVNt43pEg/TzP7z1AC8oI/AAAAAAAALdI/LCfkvJos7Cs/s640/IMG_7652.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-WjZdFYLf2m4/TzP8AwGipYI/AAAAAAAALdQ/X7fqlLTq6XQ/s1600/IMG_7659.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-WjZdFYLf2m4/TzP8AwGipYI/AAAAAAAALdQ/X7fqlLTq6XQ/s640/IMG_7659.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-4j1cwsnGySY/TzP8Ms7UcvI/AAAAAAAALdY/OkVvIiouSyA/s1600/IMG_7656.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-4j1cwsnGySY/TzP8Ms7UcvI/AAAAAAAALdY/OkVvIiouSyA/s640/IMG_7656.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-mt9X99M5PZA/TzP8XohKJGI/AAAAAAAALdg/SSpOFw4roGs/s1600/IMG_7662.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-mt9X99M5PZA/TzP8XohKJGI/AAAAAAAALdg/SSpOFw4roGs/s640/IMG_7662.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-xPDH_ve0k3g/TzP8hXLv2sI/AAAAAAAALdo/deHUal9lRgk/s1600/IMG_7663.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-xPDH_ve0k3g/TzP8hXLv2sI/AAAAAAAALdo/deHUal9lRgk/s640/IMG_7663.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-INZ1HY-enS8/TzP8qy4650I/AAAAAAAALdw/uD-srZg0sdI/s1600/IMG_7665.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-INZ1HY-enS8/TzP8qy4650I/AAAAAAAALdw/uD-srZg0sdI/s640/IMG_7665.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-IPUib-rtjOU/TzP847GiohI/AAAAAAAALd4/EE8S10fL5Ro/s1600/IMG_7666.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-IPUib-rtjOU/TzP847GiohI/AAAAAAAALd4/EE8S10fL5Ro/s640/IMG_7666.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-npUOMufR0hA/TzP89HdHzAI/AAAAAAAALeA/FtdheI3O2ac/s1600/IMG_7672.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-npUOMufR0hA/TzP89HdHzAI/AAAAAAAALeA/FtdheI3O2ac/s640/IMG_7672.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7626797975979268719?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7626797975979268719/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maandamano-ya-ufunguzi-wa-tamasha-la.html#comment-form' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7626797975979268719'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7626797975979268719'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maandamano-ya-ufunguzi-wa-tamasha-la.html' title='Maandamano ya Ufunguzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-HqNC9UZ5mxQ/TzP6QIsX4HI/AAAAAAAALcE/gCXLyJPqtD4/s72-c/IMG_7638.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6818298997791765738</id><published>2012-02-09T19:47:00.001+03:00</published><updated>2012-02-09T19:53:04.182+03:00</updated><title type='text'>Meli ya Kitalii yatia Nanga Bandari ya Mkoani Pemba na Unguja.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-LJgzIuOn3HM/TzP362K_4QI/AAAAAAAALbs/SOs5rlHh9Wg/s1600/IMG_7634.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-LJgzIuOn3HM/TzP362K_4QI/AAAAAAAALbs/SOs5rlHh9Wg/s640/IMG_7634.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Meli ya Kitalii kutoka Nchini Afrika Kusini Clipper Odyssey.&amp;nbsp;&amp;nbsp;ikifanya Safari za Kitalii katika Visiwa vya Unguja na Pemba, kutembelea sehemu za historia,&amp;nbsp;ikiwa na Watalii 58, ikiondoka katika bandari ya Unguja kuendelea na safari yake.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-6fM3kOq0rLw/TzP4EA-HBwI/AAAAAAAALb0/c3lnxT22Wp8/s1600/IMG_7621.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-6fM3kOq0rLw/TzP4EA-HBwI/AAAAAAAALb0/c3lnxT22Wp8/s640/IMG_7621.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-iXDTxpkNmx0/TzP4H1KmShI/AAAAAAAALb8/hUd1z_vT5WI/s1600/IMG_7625.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-iXDTxpkNmx0/TzP4H1KmShI/AAAAAAAALb8/hUd1z_vT5WI/s640/IMG_7625.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6818298997791765738?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6818298997791765738/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/meli-ya-kitalii-yatia-nanga-bandari-ya.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6818298997791765738'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6818298997791765738'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/meli-ya-kitalii-yatia-nanga-bandari-ya.html' title='Meli ya Kitalii yatia Nanga Bandari ya Mkoani Pemba na Unguja.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-LJgzIuOn3HM/TzP362K_4QI/AAAAAAAALbs/SOs5rlHh9Wg/s72-c/IMG_7634.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6447866979316042943</id><published>2012-02-09T09:52:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T09:52:35.227+03:00</updated><title type='text'>U.S. Personnel Work to Restore Sight in Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;ZANZIBAR, Tanzania – Following years of being in the dark, Yassuf Mahid Haji opened his eyes to a new, illuminated world. Haji blinked several times and embraced the new gift that was bestowed unto him -- the gift of sight.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The day before, Haji was seen with his arms outstretched, completely dependent on nurses to lead him to the operating room. After a 20-minute surgery, Haji was given an eye patch, 24 hours to heal and a new outlook on life.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Haji, along with 150 citizens of Zanzibar, Tanzania, traveled to the Zanzibar Military Hospital in Bububu to receive free cataract surgery in support of the Medical Readiness and Training Exercise (MEDRETE), a joint exercise to improve working relationships with Tanzanian and U.S. Army medical providers and provide medical services to citizens in need of treatment.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Col. Darrel K. Carlton, a U.S. Army ophthalmologist and officer-in-charge of the Tanzanian MEDRETE, said the mission helps the Ministry of Health reduce cataract blindness in Tanzania because the number of patients far exceeds the number of ophthalmologists.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“The Ministry of Health here has at least four to five ophthalmologists that work here. They have some of the same types of technology that we have stateside; however, they don’t have enough of them,” Carlton said.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;According to U.S. ophthalmologists, Haji was a very special case -- he is a severe diabetic. Ultimately, Haji’s diabetes accelerated the growth of his cataracts which blinded him by at the age of 30. Now, after his surgery, Haji can see up to nine feet away.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Before the operation, I was not able to even see the perception of light, but now it has improved. Right now, I can see, I can count fingers. I am very happy,” Haji said, carefully observing his surroundings after his eye patch was removed.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dr. Fatma J. Omar, a cataract surgeon and national eye care coordinator for the Ministry of Health in Zanzibar, was extremely pleased with the progress of the surgeries, and said she is happy with the Americans helping to lighten their load and for the learning experience.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“It’s a special opportunity for them [Americans] and for us as well. It’s an exchanging of ideas and techniques, we learn from each other,” Omar said.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The announcement of free eye care in Zanzibar was advertised on the local television and radio stations. As a result, hundreds of people lined up at the military hospital hoping to receive free medical attention.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rajab Mohammed Hilal, an eye care technician at the Mnazi Mmoja Hospital in Zanzibar, said he screened more than 500 patients. Even though the days are long, both Omar and Hilal know the importance of this mission to the people of Zanzibar, and how much they benefit from free medical care.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“This location is very important because most of them are poor. They cannot afford to pay for surgery or for spectacles. [Those] who need operations, they get all services free of charge,” Hilal said.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Omar said she feels proud to help her people, knowing the surgery not only helps the patients, but their entire family. She explains the surgery helps the rest of the family perform their daily duties properly instead of paying attention to their blind family member’s needs.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Instead of going to the farm or going to work, they [family members] will be busy taking care of blind people at home, but now they [the patients] have regained their vision, so now they [family members] can do their work,” Omar said.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Source:&amp;nbsp;&lt;a href="http://www.usaraf.army.mil/NEWS/NEWS_120208_ZANZIBAR.html"&gt;http://www.usaraf.army.mil/NEWS/NEWS_120208_ZANZIBAR.html&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6447866979316042943?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6447866979316042943/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/us-personnel-work-to-restore-sight-in.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6447866979316042943'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6447866979316042943'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/us-personnel-work-to-restore-sight-in.html' title='U.S. Personnel Work to Restore Sight in Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2590316450656528908</id><published>2012-02-09T09:44:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T09:44:40.319+03:00</updated><title type='text'>You Lazy (Intellectual) African Scum! - Please Read!</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;They call the Third World the lazy man’s purview; the sluggishly slothful and languorous prefecture. In this realm people are sleepy, dreamy, torpid, lethargic, and therefore indigent—totally penniless, needy, destitute, poverty-stricken, disfavored, and impoverished. In this demesne, as they call it, there are hardly any discoveries, inventions, and innovations. Africa is the trailblazer. Some still call it “the dark continent” for the light that flickers under the tunnel is not that of hope, but an approaching train. And because countless keep waiting in the way of the train, millions die and many more remain decapitated by the day.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;It’s amazing how you all sit there and watch yourselves die,” the man next to me said. “Get up and do something about it.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Brawny, fully bald-headed, with intense, steely eyes, he was as cold as they come. When I first discovered I was going to spend my New Year’s Eve next to him on a non-stop JetBlue flight from Los Angeles to Boston I was angst-ridden. I associate marble-shaven Caucasians with iconoclastic skin-heads, most of who are racist.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“My name is Walter,” he extended his hand as soon as I settled in my seat.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I told him mine with a precautious smile.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Where are you from?” he asked.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Zambia.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Zambia!” he exclaimed, “Kaunda’s country.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Yes,” I said, “Now Sata’s.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“But of course,” he responded. “You just elected King Cobra as your president.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;My face lit up at the mention of Sata’s moniker. Walter smiled, and in those cold eyes I saw an amenable fellow, one of those American highbrows who shuttle between Africa and the U.S.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“I spent three years in Zambia in the 1980s,” he continued. “I wined and dined with Luke Mwananshiku, Willa Mungomba, Dr. Siteke Mwale, and many other highly intelligent Zambians.” He lowered his voice. “I was part of the IMF group that came to rip you guys off.” He smirked. “Your government put me in a million dollar mansion overlooking a shanty called Kalingalinga. From my patio I saw it all—the rich and the poor, the ailing, the dead, and the healthy.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Are you still with the IMF?” I asked.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“I have since moved to yet another group with similar intentions. In the next few months my colleagues and I will be in Lusaka to hypnotize the cobra. I work for the broker that has acquired a chunk of your debt. Your government owes not the World Bank, but us millions of dollars. We’ll be in Lusaka to offer your president a couple of millions and fly back with a check twenty times greater.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“No, you won’t,” I said. “King Cobra is incorruptible. He is …”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He was laughing. “Says who? Give me an African president, just one, who has not fallen for the carrot and stick.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Quett Masire’s name popped up.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Oh, him, well, we never got to him because he turned down the IMF and the World Bank. It was perhaps the smartest thing for him to do.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;At midnight we were airborne. The captain wished us a happy 2012 and urged us to watch the fireworks across Los Angeles.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Isn’t that beautiful,” Walter said looking down.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;From my middle seat, I took a glance and nodded admirably.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“That’s white man’s country,” he said. “We came here on Mayflower and turned Indian land into a paradise and now the most powerful nation on earth. We discovered the bulb, and built this aircraft to fly us to pleasure resorts like Lake Zambia.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I grinned. “There is no Lake Zambia.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He curled his lips into a smug smile. “That’s what we call your country. You guys are as stagnant as the water in the lake. We come in with our large boats and fish your minerals and your wildlife and leave morsels—crumbs. That’s your staple food, crumbs. That corn-meal you eat, that’s crumbs, the small Tilapia fish you call Kapenta is crumbs. We the Bwanas (whites) take the cat fish. I am the Bwana and you are the Muntu. I get what I want and you get what you deserve, crumbs. That’s what lazy people get—Zambians, Africans, the entire Third World.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The smile vanished from my face.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“I see you are getting pissed off,” Walter said and lowered his voice. “You are thinking this Bwana is a racist. That’s how most Zambians respond when I tell them the truth. They go ballistic. Okay. Let’s for a moment put our skin pigmentations, this black and white crap, aside. Tell me, my friend, what is the difference between you and me?”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“There’s no difference.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Absolutely none,” he exclaimed. “Scientists in the Human Genome Project have proved that. It took them thirteen years to determine the complete sequence of the three billion DNA subunits. After they&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;were all done it was clear that 99.9% nucleotide bases were exactly the same in you and me. We are the same people. All white, Asian, Latino, and black people on this aircraft are the same.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I gladly nodded.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“And yet I feel superior,” he smiled fatalistically. “Every white person on this plane feels superior to a black person. The white guy who picks up garbage, the homeless white trash on drugs, feels superior to you no matter his status or education. I can pick up a nincompoop from the New York streets, clean him up, and take him to Lusaka and you all be crowding around him chanting muzungu, muzungu and yet he’s a riffraff.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tell me why my angry friend.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;For a moment I was wordless.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Please don’t blame it on slavery like the African Americans do, or colonialism, or some psychological impact or some kind of stigmatization. And don’t give me the brainwash poppycock. Give me a better answer.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I was thinking.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He continued. “Excuse what I am about to say. Please do not take offense.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I felt a slap of blood rush to my head and prepared for the worst.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“You my friend flying with me and all your kind are lazy,” he said. “When you rest your head on the pillow you don’t dream big. You and other so-called African intellectuals are damn lazy, each one of you. It is you, and not those poor starving people, who is the reason Africa is in such a deplorable state.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“That’s not a nice thing to say,” I protested.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He was implacable. “Oh yes it is and I will say it again, you are lazy. Poor and uneducated Africans are the most hardworking people on earth. I saw them in the Lusaka markets and on the street selling merchandise. I saw them in villages toiling away. I saw women on Kafue Road crushing stones for sell and I wept. I said to myself where are the Zambian intellectuals? Are the Zambian engineers so imperceptive they cannot invent a simple stone crusher, or a simple water filter to purify well water for those poor villagers? Are you telling me that after thirty-seven years of independence your university school of engineering has not produced a scientist or an engineer who can make simple small machines for mass use? What is the school there for?”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I held my breath.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Do you know where I found your intellectuals? They were in bars quaffing. They were at the Lusaka Golf Club, Lusaka Central Club, Lusaka Playhouse, and Lusaka Flying Club. I saw with my own eyes a bunch of alcoholic graduates. Zambian intellectuals work from eight to five and spend the evening drinking. We don’t. We reserve the evening for brainstorming.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He looked me in the eye.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“And you flying to Boston and all of you Zambians in the Diaspora are just as lazy and apathetic to your country. You don’t care about your country and yet your very own parents, brothers and sisters are in Mtendere, Chawama, and in villages, all of them living in squalor. Many have died or are dying of neglect by you. They are dying of AIDS because you cannot come up with your own cure. You are here calling yourselves graduates, researchers and scientists and are fast at articulating your credentials once asked—oh, I have a PhD in this and that—PhD my foot!”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I was deflated.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Wake up you all!” he exclaimed, attracting the attention of nearby passengers. “You should be busy lifting ideas, formulae, recipes, and diagrams from American manufacturing factories and sending them to your own factories. All those research findings and dissertation papers you compile should be your country’s treasure.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Why do you think the Asians are a force to reckon with? They stole our ideas and turned them into their own. Look at Japan, China, India, just look at them.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He paused. “The Bwana has spoken,” he said and grinned. “As long as you are dependent on my plane, I shall feel superior and you my friend shall remain inferior, how about that? The Chinese, Japanese, Indians, even Latinos are a notch better. You Africans are at the bottom of the totem pole.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He tempered his voice. “Get over this white skin syndrome and begin to feel confident. Become innovative and make your own stuff for god’s sake.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;At 8 a.m. the plane touched down at Boston’s Logan International Airport. Walter reached for my hand.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“I know I was too strong, but I don’t give it a damn. I have been to Zambia and have seen too much poverty.” He pulled out a piece of paper and scribbled something. “Here, read this. It was written by a friend.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He had written only the title: “Lords of Poverty.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Thunderstruck, I had a sinking feeling. I watched Walter walk through the airport doors to a waiting car. He had left a huge dust devil twirling in my mind, stirring up sad memories of home. I could see Zambia’s literati—the cognoscente, intelligentsia, academics, highbrows, and scholars in the places he had mentioned guzzling and talking irrelevancies. I remembered some who have since passed—how they got the highest grades in mathematics and the sciences and attained the highest education on the planet. They had been to Harvard, Oxford, Yale, Massachusetts Institute of Technology (MIT), only to leave us with not a single invention or discovery. I knew some by name and drunk with them at the Lusaka Playhouse and Central Sports.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Walter is right. It is true that since independence we have failed to nurture creativity and collective orientations. We as a nation lack a workhorse mentality and behave like 13 million civil servants dependent on a government pay cheque. We believe that development is generated 8-to-5 behind a desk wearing a tie with our degrees hanging on the wall. Such a working environment does not offer the opportunity for fellowship, the excitement of competition, and the spectacle of innovative rituals.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;But the intelligentsia is not solely, or even mainly, to blame. The larger failure is due to political circumstances over which they have had little control. The past governments failed to create an environment of possibility that fosters camaraderie, rewards innovative ideas and encourages resilience. KK, Chiluba, Mwanawasa, and Banda embraced orthodox ideas and therefore failed to offer many opportunities for drawing outside the line.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;I believe King Cobra’s reset has been cast in the same faculties as those of his predecessors. If today I told him that we can build our own car, he would throw me out.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Naupena? Fuma apa.” (Are you mad? Get out of here)&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Knowing well that King Cobra will not embody innovation at Walter’s level let’s begin to look for a technologically active-positive leader who can succeed him after a term or two. That way we can make our own stone crushers, water filters, water pumps, razor blades, and harvesters. Let’s dream big and make tractors, cars, and planes, or, like Walter said, forever remain inferior.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;A fundamental transformation of our country from what is essentially non-innovative to a strategic superior African country requires a bold risk-taking educated leader with a triumphalist attitude and we have one in YOU. Don’t be highly strung and feel insulted by Walter. Take a moment and think about our country. Our journey from 1964 has been marked by tears. It has been an emotionally overwhelming experience. Each one of us has lost a loved one to poverty, hunger, and disease. The number of graves is catching up with the population. It’s time to change our political culture. It’s time for Zambian intellectuals to cultivate an active-positive progressive movement that will change our lives forever. Don’t be afraid or dispirited, rise to the challenge and salvage the remaining few of your beloved ones.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;Field Ruwe is a US-based Zambian media practitioner and author. He is a PhD candidate with a B.A. in Mass Communication and Journalism, and an M.A. in History.&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;a href="http://mindofmalaka.wordpress.com/2012/01/18/you-lazy-intellectual-african-scum/" id="yui_3_2_0_1_1328769467525150" rel="nofollow" style="background-color: white; color: #1e66ae; font-family: 'times new roman', 'new york', times, serif; font-size: 16px; line-height: 19px; outline-color: initial; outline-style: initial; outline-width: 0px; text-align: -webkit-auto;" target="_blank"&gt;http://mindofmalaka.wordpress.com/2012/01/18/you-lazy-intellectual-african-scum/&lt;/a&gt;&lt;span style="background-color: white; font-family: 'times new roman', 'new york', times, serif; font-size: 16px; line-height: 19px; text-align: -webkit-auto;"&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/span&gt; &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2590316450656528908?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2590316450656528908/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/you-lazy-intellectual-african-scum.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2590316450656528908'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2590316450656528908'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/you-lazy-intellectual-african-scum.html' title='You Lazy (Intellectual) African Scum! - Please Read!'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5166272085712262855</id><published>2012-02-09T09:35:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T09:35:55.751+03:00</updated><title type='text'>Peter Andre Visits Zanzibar on a Mission to Help Bring Better Health Care</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;After a chance meeting between Peter Andre and the chairman of Health Improvement Project Zanzibar, the Mysterious Girl singer agreed to get behind the charitable cause.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The two men have been visiting Zanzibar together so that Peter can see the project and the difference it makes to the 60,000 residents.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naturally, the tanned singer took along his TV crew to film his good work for his ITV2 show Peter Andre: My Life.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;img alt="Nice guy: Peter Andre is in Zanzibar to see the good work a charity is doing for the African nation" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/08/article-2098246-11A2A7A8000005DC-921_634x444.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;As well as writing about his experience in his New! magazine column, the 38-year-old has been busy tweeting about what he has been doing.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Not so unlucky in love after all! Inbetweeners stars Joe Thomas and Hannah Tointon live together in the City&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Peter flew out to the small island last Saturday and has been getting fully involved with all of the charity work as well as meeting the locals who have been benefiting from Health Improvement Project Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The first image that he posted was of him sitting with four children outside an orphanage.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;img alt="The ambassador: Peter has been visiting the island with Health Improvement Project Zanzibar" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/08/article-2098246-11A2A7CD000005DC-64_634x469.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;He said: 'Here I am in Zanzibar working with my friend Dr Ru. We WILL make a difference'.&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;His trip to the area was eye opening as he met many people there suffering from a variety of illnesses.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;He posted a picture of himself in a hospital and said: 'One of the many malaria infected children I have met in Zanzibar with @DrRuMac . Emotional but incredibly rewarding.'&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;img alt="Helping hand: The pop star visited many residents of the island that were suffering with illness " src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/08/article-2098246-11A2A7C5000005DC-696_634x710.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Whilst on the island Peter made time to stop at one of his idols homes as he stood outside the house that Freddie Mercury once lived in.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The former Queen front man was born in Zanzibar and raised in that house until his family moved to India.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Andre obviously enjoyed spending time in the area and was moved by his experience.&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;img alt="The hub: Peter tweeted: 'Here I am in Zanzibar working with my friend Dr Ru. We WILL make a difference'" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/08/article-2098246-11A2A7D8000005DC-855_634x441.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;e said: 'Loving Zanzibar. Visiting a school in makunduchi . One of best days ever today :))).'&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Along his trip, the father-of-two visited a school and local villages that have benefited from the charity.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The reality TV star told peterandre.com: 'It has been so emotional but incredibly rewarding. It has certainly put life into perspective. I really want to help make a difference here.'&lt;/div&gt;&lt;img alt="The legend: Mr Andre visited the house of one of his music idols, Freddie Mercury" src="http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2012/02/08/article-2098246-11A2A7B8000005DC-514_634x667.jpg" /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The legend: Mr Andre visited the house of one of his music idols, Freddie Mercury&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;b&gt;Comments from the Daily Mail&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;love zanzibar,its such a beautifull island,finnally at least some one decent has finally stepped out to hell out ;as most of the time all the charity money goes to tanzania main land.welldone pete ,we are all behind you.great job&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- lou, slough, 08/2/2012 22:56&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   3 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Disgusting. These kids have everything: good education, much better quality of life than the UK, tasty food and hot weather. You can tell by the smiles on their faces that they are enjoying themselves so let's leave them be and help the UK first. The UK is the poorest, most deprived and most disgraced country in the world and these kids have it lucky living the high life over in sunny Africa, compared to us miserable Brits with no morals, no money, nothing. Stop all charity unless it starts at home. - Jenny, The disgraceful UK, 8/2/2012 16:15 +++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++ Are you genuinely that uneducated or is this simply to provoke a reaction?&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Sunshine, England, 08/2/2012 22:07&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   12 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The only way Peter 'CAN Puppet' Andre can get any pres these days, is to moan about his ex-wife or bang on about his kids!&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Georgie Smith, London, 08/2/2012 21:22&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   12 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Such negativity!! Zanzibar is a wonderful place, the people that live there don't know any different and its only till you see it that you realise how unlucky it is that such an amazing place has such poverty. kids i met were fascinated by my empty water bottle which i ended up giving away.. Such a little thing. time will tell over his involvement but i hope its genuine because the people i met in Zanzibar were so lovely, they really deserve some help.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Kim, Norwich, 08/2/2012 20:57&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   9 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;It's a bit insensitive to go to Africa ostensibly to make a difference to African people's lives yet you're wearing a NY cap on your head as a British Australian celebrity. Or is is Australian Brit? Either way it just feels weird...&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Mike L. Cee, London, England, 08/2/2012 20:52&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   4 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Zanzibar..? Makes perfect sense. Its one of the top 5 island destinations for luxury holidays. No doubt an all expenses paid trip in the name of charity. What a sleazebucket!&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- lou, london.uk, 08/2/2012 19:38&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   8 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Just looking at the photo's ugggghhh. Dreadful!&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Vi, real world, 08/2/2012 19:36&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   4 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Well, I sure hope they have better luck with his support than his best pal Nicola McLean had - vile woman.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Shelley, Edinburgh, 08/2/2012 19:28&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   16 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;to Anita in Hull looks like they got enough problems sweetie without Jordan/Katie to increase the hassle!!!!!&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- ally in london, london uk, 08/2/2012 19:19&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Click to rate     Rating   7 Report abuse&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hmmm I hope he does better than he did with his support for his good friend Nicola McLean on Big Brother. They are brothers in arms at persistantly attacking Katie Price in the media. Well, if Nicola says so...it must be tru!!!! Lie down with dogs Pete and you wake up with fleas.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;- Cheryl, Southport, 08/2/2012 19:16&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Read more: http://www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/article-2098246/Peter-Andre-visits-Zanzibar-mission-help-bring-better-healthcare-island.html#ixzz1lrby6Jdh&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5166272085712262855?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5166272085712262855/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/peter-andre-visits-zanzibar-on-mission.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5166272085712262855'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5166272085712262855'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/peter-andre-visits-zanzibar-on-mission.html' title='Peter Andre Visits Zanzibar on a Mission to Help Bring Better Health Care'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3353310884041388256</id><published>2012-02-08T21:09:00.000+03:00</published><updated>2012-02-08T21:09:15.923+03:00</updated><title type='text'>Ufaulu Kidato cha Nne Waongezeka Asilimia 2.63</title><content type='html'>&lt;b&gt;&amp;nbsp;Waliojibu matusi wafutiwa matokeo&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Mwandishi Wetu&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WATAHINIWA 225,126 sawa na asilimia 53.37 wamefaulu mtihani wa kidato cha nne iliyofanywa mwaka 2011, ikiwa ni ongezeko la asilimia 2.63 la ufaulu ikilinganishwa na mwaka mwaka 2010 uliofaulisha wanafunzi 223,085.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akitoa matokeo ya mtihani wa kitado cha nne jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Baraza la Mitihani Tanzania, Dk. Joyce Ndalichako alisema ubora wa ufaulu kwa watahiniwa wa skuli umeonesha kuwa jumla ya watahaniwa 33,577 sawa na asilimia 9.98 wamefaulu katika madaraja ya I hadi la III.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wasichana waliofaulu katika madaraja I hadi la III ni 10,313 ambao ni sawa na asilimia 7.13 na wavulana 23,264 sawa na asilimia 12.13.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Ndalichako aliwataja watahiniwa 10 bora kitaifa katika mtihani huo ni pamoja na Moses Andrew Swai kutoka Feza (Dar es Salaam), Rosalyn A Tandau Marian Girls (Pwani), Mboni Maumba St. Francis Girls (Mbeya), Sepiso Mwamelo St. Francis (Mbeya) na Uwella Rugaba Marian Girls (Pwani).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wengine ni Hellen S. Mpanduji St. Mary Mazinde Juu Tanga, Daniel Wallance Maugo St. Joseph Dar es Salaam, Benjamin J.Tilubuzya Thomas More Machrina  Dar es Salaam, Simona William Mbangalukela St. Joseph Millennium Dar es Salaam na Nimrod Deocles Rutatora  Feza Boys Dar es Salaam.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wasichana 10 bora katika mitihani hiyo ni Rosalyn A. Tandau Marian Girls (Pwani), Mboni Maumba St. Francis Girls (Mbeya), Sepiso Mwamelo St. Francis (Mbeya), Uwella Rugaba Marian Girls (Pwani) na Hellen S. Mpanduji St. Mary Mazinde Juu (Tanga).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wengine ni Lisa Chille St. Francis (Mbeya), Elizabeth Ng’imba St. Francis (Mbeya), Doris Atieno Noah Kandoto Sayansi Girls (Kilimanjaro), Herieth Machunda St. Francis Girls (Mbeya) na Daisy Mugenyi Kifungilo Girls (Tanga).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wa wavulana 10 bora kwenye mitihani hiyo ni Moses Andrew Swai Feza Boys (Dar es Salaam), Daniel Wallace Maugo St. Joseph Millennium (Dar es Salaam), Benjamin J. Tilubuzya Thomas More Machrina (Dar es Salaam), Simon William Mbangalukela St. Joseph Millennium (Dar es Salaam) na Nimrod Deocles Rutadora Feza Boys (Dar es Salaam).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wengine ni Simon Gabriel Mnyele Feza Boys (Dar es Salaam), Paschal John Madukwa Nyegezi Seminari (Mwanza), Henry Justo Stanley Mzumbe (Morogoro) na Tumain Charles  Ilboru (Arusha).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu huyo alizitaja skuli 10 bora zilizokuwa na watahiniwa 40 na zaidi ni pamoja na St Francis ya Mbeya, Feza Boys Dar es Salaam, St. Joseph Millennium Dar es Salaam, Marian Girls Pwani na Don Bosco seminary Iringa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nyengine ni Kasita seminary Morogoro, St. Mary Mazinde Juu Tanga, Canossa Dar es Salaam, Mzumbe Morogoro na Kibaha Pwani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Ndalichako alisema kwa mujibu wa kifungu 52(b) cha kanuni za mitihani matokeo ya watahiniwa 3,303 walibainika kufanya udanyanifu wa aina mbali mbali kwenye mitihani hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Miongoni mwa udanyanyifu waliobainika kuufanya ni pamoja na kukamatwa katika vyumba vya mitihani wakiwa na ‘notes’, kukamatwa na simu ndani ya vyumba vya mitihani, kufanyiwa mitihani na watu wengine, kubainika kufanya mitihani kwa majina ya watu wengine ambao wameshafanya mitihani hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makosa mengine ni kubainika kuwa na mfanano wa majibu usio wa kawaida, kubainika kuwa script zenye maandiko, watahiniwa kubadilishana karatasi za masuali/vijitabu vya kujibia mitihani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema Baraza la Mitihani Tanzania limefuta matokeo ya watahiniwa wanane walioandika matusi katika script, kitendo ambacho ni kosa kwa mujibu wa kifungu 5(13) cha kanuni za mitihani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kitendo cha kuandika matusi kwenye karatasi za majibu kinaonesha utovu wa nidhamu ambapo baraza hilo halitaweza kuwavumilia watahiniwa hao hivyo watafuatiliwa ili kuchukulia hatua zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Tahiniwa wote waliofutiwa matokeo yao kutokana na udanganyifu au kuandika matusi kwenye karatasi za majibu hawataruhusiwa kufanya mitihani ya Baraza kwa kipindi kisichopungua miaka mitatu”,alisema Ndalichako.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika mitihani hiyo jumla ya vituo 4,795 vilitumika kufanyia mitihani hiyo, ambapo wanafunzi 450,324 walisajiliwa kufanya mitihani hiyo ambapo wasichana ni 201,799 na wavulana 248,525.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3353310884041388256?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3353310884041388256/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ufaulu-kidato-cha-nne-waongezeka.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3353310884041388256'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3353310884041388256'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ufaulu-kidato-cha-nne-waongezeka.html' title='Ufaulu Kidato cha Nne Waongezeka Asilimia 2.63'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7711984773697524584</id><published>2012-02-08T19:53:00.000+03:00</published><updated>2012-02-08T19:53:21.229+03:00</updated><title type='text'>Matokeo ya Kidato cha Nne Yatangazwa Rasmi Yawekwa Live</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA RASMI NA YAWEKWA LIVE&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;Kwanza tunapenda kuwasalimu wakubwa Shikamoo na vijana wenzetu wote mambo vipi? Kwa Heshima na Taadhima timu nzima ya Matukio na wanavyuo &lt;span style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: medium;"&gt;(&lt;/span&gt;&lt;a href="http://www.tzwanavyuo.blogspot.com/" style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #1155cc; font-family: arial, sans-serif; font-size: large;" target="_blank"&gt;www.tzwanavyuo.&lt;wbr&gt;&lt;/wbr&gt;blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;span style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: medium;"&gt;)&lt;/span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;tunapenda kuchukua nafasi hii ya Kipekee na kwa niaba ya Baraza la mitihani Tanzania kuweka hewani moja kwa moja matokeo ya kidato cha nne ambapo watahiniwa walifanya mitihani hiyo mwaka Jana 2011. Hongera sana kwa wote walio fanya vizuri na kwa wale walio Feli tunawapa pole na wafanye bidii kurudia tena mitihani hiyo.&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;TAZAMA HAPA&amp;nbsp;&lt;span style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: medium;"&gt;(&lt;/span&gt;&lt;a href="http://www.tzwanavyuo.blogspot.com/" style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #1155cc; font-family: arial, sans-serif; font-size: large;" target="_blank"&gt;www.tzwanavyuo.&lt;wbr&gt;&lt;/wbr&gt;blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;span style="background-color: rgba(255, 255, 255, 0.917969); color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: medium;"&gt;)&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;Imetolewa na Matukio na wanavyuo Crew&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;Website: www.tzwanavyuo.blogspot.com&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;E-mail: twanavyuo@live.com&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7711984773697524584?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7711984773697524584/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/matokeo-ya-kidato-cha-nne-yatangazwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7711984773697524584'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7711984773697524584'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/matokeo-ya-kidato-cha-nne-yatangazwa.html' title='Matokeo ya Kidato cha Nne Yatangazwa Rasmi Yawekwa Live'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3632071461818056433</id><published>2012-02-08T19:44:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T19:57:44.032+03:00</updated><title type='text'>Busara yatowa Ratiba ya Ufunguzi wa Tamasha Kesho.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-g3rIF569B9E/TzKkQ8rSpII/AAAAAAAALbI/vPL-Szl_X74/s1600/IMG_7614.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-g3rIF569B9E/TzKkQ8rSpII/AAAAAAAALbI/vPL-Szl_X74/s640/IMG_7614.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-pRNGu5TrZBE/TzKkckWpMgI/AAAAAAAALbQ/ew9qKhxE94A/s1600/Picture+1405.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-pRNGu5TrZBE/TzKkckWpMgI/AAAAAAAALbQ/ew9qKhxE94A/s640/Picture+1405.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Mkurugenzi wa Sauti za Busara Zanzibar DJ.&amp;nbsp;Yussuf akjizungumza na Waandishi wa habari.kuhusu uzinduzi wa Tamasha hilo hapo kesho kwa kuaza kwa maandamano ya Wasanii mbalimbali litakaloazia Viwanja vya Kisonge Michezani hadi viwanja vya Ngome Kongwe Forodhani.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-7wxQVXXS4kk/TzKksTkleHI/AAAAAAAALbY/j6FFVn5Mltc/s1600/Picture+1403.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-7wxQVXXS4kk/TzKksTkleHI/AAAAAAAALbY/j6FFVn5Mltc/s640/Picture+1403.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Tanzania wakimsikiliza Mkurugenzi wa Sauti za Busara Zanzibar DJ. Yussuf. &lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-o6jt0bhvlBM/TzKk0Uh9U-I/AAAAAAAALbg/_PPgP7pvtHI/s1600/Picture+1406.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-o6jt0bhvlBM/TzKk0Uh9U-I/AAAAAAAALbg/_PPgP7pvtHI/s640/Picture+1406.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waandishi wa Habari kutoka Nje ya Zanzibar wakimsikiliza Mkurugenzi wa Sauti ya Busara Zanzibar Dj. Yussuf, katika Mkutano na Waandishi kuhusu ufunguzi wa Tamasha hilo kesho litaazia Michezani Kisonge na Kumalizia Gome Kongwe Forodhani.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3632071461818056433?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3632071461818056433/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/busara-yatowa-ratiba-ya-ufunguzi-wa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3632071461818056433'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3632071461818056433'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/busara-yatowa-ratiba-ya-ufunguzi-wa.html' title='Busara yatowa Ratiba ya Ufunguzi wa Tamasha Kesho.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-g3rIF569B9E/TzKkQ8rSpII/AAAAAAAALbI/vPL-Szl_X74/s72-c/IMG_7614.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8515598725571307230</id><published>2012-02-08T19:32:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T21:06:01.302+03:00</updated><title type='text'>Benki ya NMB Yamwaga Madeski Wilaya ya Kaskazini B.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-5lFoiBeVfEE/TzKiYkXDqGI/AAAAAAAALa0/dDRG7yPp8Jg/s1600/DSC_1249.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="428" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-5lFoiBeVfEE/TzKiYkXDqGI/AAAAAAAALa0/dDRG7yPp8Jg/s640/DSC_1249.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Meneja wa benki ya NMB kanda ya Dar-es-Salaam Salie Mlay akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini’B’ Vuai Ali Vuai Viti na meza 50 kwa ajili ya skuli ya Mwangapwani na Bumbwini,kushoto Mwalimu Mkuu Skuli ya Bumbwini Kijakazi Hamis Amini,&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-eFD8ihNx4g0/TzKisTsE9jI/AAAAAAAALbA/7xIZiHSKDwo/s1600/DSC_1257.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="428" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-eFD8ihNx4g0/TzKisTsE9jI/AAAAAAAALbA/7xIZiHSKDwo/s640/DSC_1257.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="text-align: center;"&gt;(Picha na Yusuf Simai Idra ya Habari Maelezo).&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8515598725571307230?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8515598725571307230/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/benki-ya-nmb-yamwaga-madeski-wilaya-ya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8515598725571307230'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8515598725571307230'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/benki-ya-nmb-yamwaga-madeski-wilaya-ya.html' title='Benki ya NMB Yamwaga Madeski Wilaya ya Kaskazini B.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-5lFoiBeVfEE/TzKiYkXDqGI/AAAAAAAALa0/dDRG7yPp8Jg/s72-c/DSC_1249.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6882830271655563517</id><published>2012-02-08T19:24:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T19:57:04.883+03:00</updated><title type='text'>PBZ Yaipiga Tafu Timu ya Jamhuri</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-IFyigP0zP9U/TzKg9rxQZXI/AAAAAAAALas/5yS08eK_bZc/s1600/IMG_9873.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-IFyigP0zP9U/TzKg9rxQZXI/AAAAAAAALas/5yS08eK_bZc/s640/IMG_9873.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MENEJA Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Amour Juma Amour (katikati) akimkabidhi mfano wa hundi ya dola za kimarekeni Elfu Tano Katibu Mkuu wa timu ya&amp;nbsp; Jamhuri ya Pemba Omar Ahmed Awadh,kwa ajili ya kushiriki katika mashindano ya Kombe la&amp;nbsp;Shirikisho Barani Afrika,(Picha na Abdallah Masangu).&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6882830271655563517?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6882830271655563517/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/pbz-yaipa-tafu-timu-ya-jamuhuri.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6882830271655563517'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6882830271655563517'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/pbz-yaipa-tafu-timu-ya-jamuhuri.html' title='PBZ Yaipiga Tafu Timu ya Jamhuri'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-IFyigP0zP9U/TzKg9rxQZXI/AAAAAAAALas/5yS08eK_bZc/s72-c/IMG_9873.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7498562930744068910</id><published>2012-02-08T19:00:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T19:56:17.592+03:00</updated><title type='text'>Madaktari Bingwa wa Jeshi la Marekani Watoa Huduma ya Macho kwa Wananchi wa Zanzibar.Bubnubu Hopsp[itali ya Jeshi.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-tkUBpHx0EkQ/TzKTKs37VNI/AAAAAAAALZc/MWXStgga98M/s1600/IMG_7537.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-tkUBpHx0EkQ/TzKTKs37VNI/AAAAAAAALZc/MWXStgga98M/s640/IMG_7537.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Bububu, akitowa Maelezo kwa Meja Generali wa Jeshi la Marekani ambae na Mkuu wa Utendaji wa Kivita na Mahusiano wa Afrika, David Hogg, katikati na kushoto Mkuu wa Huduma za Tiba Jeshi la Wananchi Tanzania Meja Generali Adam Mwabulanga, wakiwasili katika Hospitali ya Bububu kuangalia zoezi la kutowa huduma kwa &amp;nbsp;Wananchi wenye matatizo ya Macho wa Zanzibar.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-ltCMDCad3Rg/TzKUpM8HAMI/AAAAAAAALZk/plTsFlfKrLI/s1600/IMG_7543.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-ltCMDCad3Rg/TzKUpM8HAMI/AAAAAAAALZk/plTsFlfKrLI/s640/IMG_7543.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Mkuu wa Huduma za Tiba Jeshi la Wananchi Tanzania Meja Generali Adam Mwabulanga, akitowa maelezo ya mafanikio ya zoezi la kutoiwa huduma kwa Wananchi wenye matatizo ya Macho Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-jhpi-Gw1W70/TzKU0w86yoI/AAAAAAAALZs/ZHfSWUxQfqw/s1600/IMG_7546.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-jhpi-Gw1W70/TzKU0w86yoI/AAAAAAAALZs/ZHfSWUxQfqw/s640/IMG_7546.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Meja Generali Devid Hogg, akizungumza na Mkuu wa Huduma za Tiba Jeshi, alipowasili katika Hospitali ya Bububu kuangalia maendeleo ya Zoezi la kuwafanyia uchunguzi wa Macho Wananchi mbalimbali waliofika hospitalinin hapo katika zoezi hilo.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-SsESyBCkN1U/TzKVMf0rXVI/AAAAAAAALZ0/l6Xn-pf8Aew/s1600/IMG_7570.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-SsESyBCkN1U/TzKVMf0rXVI/AAAAAAAALZ0/l6Xn-pf8Aew/s640/IMG_7570.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Madaktari Bingwa wa Jeshi la Marekani na Wazanzibar, wakiwafanyika Upasuaji baadhi ya Wananchi waliokutikana na matatizo ya macho katika zoezi hilo, linalosimamiwa na Madaktari wa Jeshi la Marekani.katika Hospitali ya Bububu.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-dnWxWnMUYWw/TzKVzBmLcLI/AAAAAAAALaE/fEGr4dMqn5o/s1600/IMG_7566.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-dnWxWnMUYWw/TzKVzBmLcLI/AAAAAAAALaE/fEGr4dMqn5o/s640/IMG_7566.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Kanali waJeshi la Marekani Dk. Carlton, akitowa maelezo jinsi ya mafanikio ya zoezi hilo kwa Wananchi wanaofika kupata huduma ya kufanyiwa uchunguzi wa macho.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-Er3H2KbP6Dk/TzKWIEDaOKI/AAAAAAAALaM/ylj58jpnlXQ/s1600/IMG_7590.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-Er3H2KbP6Dk/TzKWIEDaOKI/AAAAAAAALaM/ylj58jpnlXQ/s640/IMG_7590.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Madaktari Bingwa wa Jeshi la Marekani wakimfanyia upasuaji mmoja wa Mwananchi aliefika kufanyiwa uchunguzi wa macho na kugundulikana ana matatizo na kufanyiwa upasuaji.kuondolewa mtoto wa jicho.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-W70R9uX5Ujo/TzKWSOuiPbI/AAAAAAAALaU/g_RWV34Np9I/s1600/IMG_7519.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-W70R9uX5Ujo/TzKWSOuiPbI/AAAAAAAALaU/g_RWV34Np9I/s640/IMG_7519.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Mwananchi akifanyiwa kipimo kabla ya kufanyiwa upasuaji, katika zoezi hilo.linaloendelea katika Hospitali ya Bububu mpaka tarehe&amp;nbsp;17-2-2012&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-NdL7VlN6RQk/TzKWZx33C_I/AAAAAAAALac/L_fEp5mQU9A/s1600/IMG_7524.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-NdL7VlN6RQk/TzKWZx33C_I/AAAAAAAALac/L_fEp5mQU9A/s640/IMG_7524.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wananchi wakifanyiwa uchunguzi wa kusoma herufi kwa kutumia miwani maalum,katika zoezi ya kufanyiwa uchunguzi wa macho kwa wananchi wa Zanzibar katika hospitali ya Bububu linalosimamiwa na Jeshi la Marekani kushirikiana na Madakatri wa Jeshi la Tanzania na Hospitali ya Mnazi Mmoja. &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7498562930744068910?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7498562930744068910/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/madaktari-bingwa-wa-jeshi-la-marekani.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7498562930744068910'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7498562930744068910'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/madaktari-bingwa-wa-jeshi-la-marekani.html' title='Madaktari Bingwa wa Jeshi la Marekani Watoa Huduma ya Macho kwa Wananchi wa Zanzibar.Bubnubu Hopsp[itali ya Jeshi.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-tkUBpHx0EkQ/TzKTKs37VNI/AAAAAAAALZc/MWXStgga98M/s72-c/IMG_7537.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7069133785494111860</id><published>2012-02-08T09:27:00.000+03:00</published><updated>2012-02-08T09:27:35.111+03:00</updated><title type='text'>Mama Asha Atoa Dozi ya Uzazi wa Mpango Singida</title><content type='html'>Na Jumbe Ismailly, Singida&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MKE wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mama Asha Seif Iddi ametoa changamoto kwa wanawake nchini kujenga utamaduni wa kuzaa watoto kwa kuzingatia uzazi wa mpango hali itakayowasaidia kumudu kuwatunza watoto hao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alitoa changamoto hiyo alipokuwa akizungumza kwenye kituo cha Green Hill kinachowahudumia watoto wanaoishi katika mazingira magumu kilichopo mtaa wa Sabasaba wakati wa ziara yake ya maadhimisho ya sherehe za miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCM.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kwamba kuzaa kwa mpangilio unaotakiwa humuwezesha mzazi wa watoto kumudu gharama za maisha ndani ya familia yake, zikiwemo za masomo pamoja na makuzi mazuri ya mtoto.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema tabia ya baadhi ya wanawake kuzaa bila ya kanuni za uzazi wa mpango ni hatari kwa maisha yao na pia inasababisha kuwa na hali ngumu kimaisha kwa kuwapatia huduma watoto hao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Kwa kweli wanawake wenzangu mtu asiwadanganye katika suala hili la uzazi usiokuwa wa mpangilio, jaribuni kufuata ushauri wa wataalamu wa afya ili muweze kuwa na idadi ndogo ya watoto ambao mtaweza kuwatunza bila matatizo”, alisisitiza Mama Asha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema ni vyema kabla ya kuamua kupata watoto ni vyema pakawepo na matayarisho ya kuzaa watoto hao kwa madai kuwa watoto hupatikana kwa ushirikiano kati ya mume na mke na wala siyo vinginevyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Ningewaomba wanawake wenzangu hebu kuanzia sasa turudi kwa Mwenyezi Muungu kwa kuanza na kuwathamini watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kujenga utamaduni wa kuwajali na hata kuwasaidia”, alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alifahamisha kuwa wakati umefika kwa wanawake nchini kujenga utamaduni wa kuwajali pia watu wenye matatizo badala ya kuendelea kuweka mbele maslahi yao binafsi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika risala ya kikundi cha Mke mwema iliyosomwa kwa mgeni rasmi na katibu wa kikundi hicho, Asimwe Kalumanzila ilieleza matatizo yanayokikabili kikundi hicho kuwa ni pamoja na kutopatiwa usajili wa kudumu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kutokana na kuunga mkono jitihada za wanakikundi hao, mke wa makamu wa Rais huyo alichangia shilingi 300,000 kwa ajili ya kuwahudumia watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kuahidi shilingi 200,000 kwa ajili ya kwenda kusajili kikundi cha Mke mwema.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7069133785494111860?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7069133785494111860/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mama-asha-atoa-dozi-ya-uzazi-wa-mpango.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7069133785494111860'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7069133785494111860'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mama-asha-atoa-dozi-ya-uzazi-wa-mpango.html' title='Mama Asha Atoa Dozi ya Uzazi wa Mpango Singida'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4251200144242391232</id><published>2012-02-08T09:25:00.002+03:00</published><updated>2012-02-08T09:25:47.418+03:00</updated><title type='text'>Bilioni 6.6 Kujenga Barabara Arusha</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Joseph Ngilisho, Arusha&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MKOA wa Arusha utatumia zaidi ya shilingi bilioni 6.6 kugharamia utekelezaji wa miradi ya barabara   mwaka wa fedha 2011/12.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yamesemwa na Meneja wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Arusha, Deusdedit Kakoko, katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mhandisi Kakoko amesema kiasi cha shilingi  bilioni 2.9 zitatumika kugharamia utekelezaji wa miradi ya barabara kuu zenye urefu wa kilomita  402.51&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha amesema Tanroads itatekeleza miradi 72 ya  madaraja  katika barabara kuu   yenye thamani ya shilingi  milioni 357.97.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mbali na   kazi   hizo Mhandisi Kakoko, amesema Tanroads itatekeleza miradi ya barabara za mkoa zenye urefu wa kilomita 640.75  kwa gharama ya zaidi ya shilingi  bilioni 2.94.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema TANROADS inatarajia kufanyia ukarabati madaraja 36 yaliyoko katika barabara za Mkoa kwa gharama ya zaidi ya shilingi  milioni 359.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusu utekelezaji wa mpango wa Maendeleo,  Mhandisi  Kakoko amesema  zaidi ya shilingi  milioni 638 zitatumika kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa miradi 10 ya barabara zenye urefu wa kilomita  43.3&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amefafanua kuwa  mpaka  Septemba 2011  mikataba  ya kazi ipatayo 24 kati ya 40 imenunuliwa na makandarasi Mkoani Arusha yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4.4&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kati ya mikataba hiyo, 14 ni ya barabara kuu yenye thamani ya shilingi bilioni 1.8 na 13 yenye thamani ya shilingi bilioni 1.7 ni ya barabara za mkoa.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4251200144242391232?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4251200144242391232/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/bilioni-66-kujenga-barabara-arusha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4251200144242391232'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4251200144242391232'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/bilioni-66-kujenga-barabara-arusha.html' title='Bilioni 6.6 Kujenga Barabara Arusha'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2868412981690418990</id><published>2012-02-08T09:24:00.000+03:00</published><updated>2012-02-08T09:24:19.337+03:00</updated><title type='text'>SACCOS Zashauriwa Kufuata Taratibu za Usajili</title><content type='html'>Na  Mwanajuma Mmanga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WIZARA ya Kazi, Uwezeshaji wananchi kiuchumi na ushirika  imewataka wananchi kufuata taratibu za usajili wa SACOS ili waweze kupatiwa mikopo na kujikwamua na umasikini nchini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa  ushirika wa kuweka na kukopa, Khamis Simba alipozungumza na mwandishi wa habari ofisini kwake mwishoni mwa wiki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema  SACCOS katika wilaya zote za Unguja na Pemba hutoa fursa na taaluma kwa wananchi kuhakikisha wanapata mikopo nafuu itakayowawezesha kuimarisha miradi yao katika kujiendeleza kimaisha .&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Katibu wa kikundi cha kuweka na kukopa cha Kinduni wilaya ya Kaskazini B Unguja alisema."&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kikundi chetu kina uhaba wa fedha kutokana na wanachama kuchelewesha michango, Katibu wa kikundi cha kuweka na kukopa wilaya ya Kaskazini 'B', alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kikundi hicho kinahitaji kupatiwa mikopo kwa lengo la kukuza na kuendeleza shughuli zao ikiwemo chachu ya kuharakisha maendeleo ya kikundi hicho.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2868412981690418990?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2868412981690418990/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/saccos-zashauriwa-kufuata-taratibu-za.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2868412981690418990'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2868412981690418990'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/saccos-zashauriwa-kufuata-taratibu-za.html' title='SACCOS Zashauriwa Kufuata Taratibu za Usajili'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2468888391975383120</id><published>2012-02-07T20:35:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T20:35:06.360+03:00</updated><title type='text'>Hotuba ya Rais - Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: center;"&gt;HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA&amp;nbsp;MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;MHESHIMIWA DK. ALI MOHAMED SHEIN,&amp;nbsp;KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;ZANZIBAR, TAREHE 7 FEBRUARI, 2012&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Waziri wa Katiba na Sheria,&lt;br /&gt;Mheshimiwa Jaji Mkuu wa Zanzibar,&lt;br /&gt;Mheshimiwa Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar,&lt;br /&gt;Mheshimiwa Jaji Kiongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,&lt;br /&gt;Mheshimiwa Mwanasheria Mkuu,&lt;br /&gt;Waheshimiwa Majaji wa Mahakama Kuu Zanzibar,&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Mashtaka ya Jinai Zanzibar,&lt;br /&gt;Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS),&lt;br /&gt;Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),&lt;br /&gt;Viongozi wa Serikali na Dini,&lt;br /&gt;Ndugu Wanasheria,&lt;br /&gt;Ndugu Wageni Waalikwa,&lt;br /&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Assalamu Alaykum,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwanza kabisa, sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu (S.W) kwa kutujaalia kufika siku hii ya leo kuiadhimisha siku ya Sheria Zanzibar tukiwa wenye afya njema na furaha tele huku tunaendelea na joto la kiangazi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pili, napenda niwapongeze waandaaji wa maadhimisho haya kwa uamuzi wao wa kuandaa maadhimisho haya kwa mara ya kwanza hapa Zanzibar.  Hili ni jambo zuri na nawashukuru kwa dhati kwa kunialika ili niwe Mgeni Rasmi katika sherehe hii ya kihistoria nchini kwetu.  Naipongeza zaidi Mahakama kwa kuiandaa na kuiongoza shughuli hii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tatu, nimefarajika sana leo kupata bahati hii ya kusimama mbele ya hadhara hii ya Majaji, Mahakimu na Wanasheria wasomi (learned friends) kutoka katika Taasisi mbali mbali za Serikali na binafsi.  Katika maisha yangu ya kuitumikia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar niliwahi kuteuliwa na Rais Mstaafu Dk. Amani A. Karume kuwa Waziri wa Katiba na Utawala Bora katika Awamu ya Sita na kwa kipindi hicho ingawa kilikuwa kifupi nilipata bahati ya kufanya kazi    na     Wanasheria    wenye    ujuzi     mkubwa   akiwemo Mwanasheria Mkuu wa wakati huo Mheshimiwa Idi Pandu Hassan na Katibu Mkuu wa wakati huo Ndugu Othman Masoud ambae kwa sasa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.  Kutoka kwao nilijifunza mambo mengi ya thamani yanayoweza kuufanya umma au wananchi kuwa na imani na Mahakama na vyombo vya sheria na kwa pamoja tuliweza kuyatekeleza majukumu yetu katika kuendeleza utawala bora.  Hivi sasa nimepata fursa nyengine ya kufanya kazi na wataalamu na mabingwa wengine wa sheria na ninatarajia kwamba nitaendelea kujifunza kutoka kwao na kwa pamoja tutatekeleza wajibu wetu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Serikali imeamua kwa makusudi kuliimarisha jengo, viwanja na historia ya jengo hilo ambalo ndio Baraza la Kutunga Sheria la mwanzo hapa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waliotangulia kusema kabla yangu, ambao ni mabingwa wa sheria, wamezungumzia mambo kadhaa yanayohusu mada ya sheria nchini kwetu.  Nawapongeza kwa maarifa waliyotupa.  Mimi nataka kuchukua fursa hii leo ya siku ya sheria kuzungumzia zaidi uhusiano wa wananchi na sheria.  Kwa sababu sheria ni jambo linalomhusu kila mtu, ingependeza sana siku hii iwe ni ya maadhimisho ya sheria kwa programu mbali mbali za kijamii.  Jambo hili litawaleta wananchi kuwa karibu na wanasheria, wakiwemo majaji, mahakimu, waendeshaji mashtaka, mawakili na wengineo.  Hili ni muhimu katika kujenga uhusiano bora kati ya  watendaji  wa   sheria  na  wananchi.   Miongoni mwa mambo ambayo yatapaswa yawemo kwenye programu hio ni kama vile maonesho, kuzikaririr na kuzipitia hotuba za wanasiasa na vipeperushi zitasaidia kutoa elimu ya wananchi kuitumia sheria ipasavyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tunapozungumzia Utawala Bora, maana yake kubwa kwa jamii ni kuwepo utawala wa sheria ambao unampa kila mmoja wetu haki yake.  Hili ndilo lengo la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo imejenga misingi madhubuti ya masuala hayo.  Kwanza tumeweka Mahakama iliyo huru; pili, tumeanzisha Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka; tatu, tuna chombo huru cha kutunga sheria, yaani Baraza la Wawakilishi; nne, tunaendesha mfumo wa demokrasia wa kuwa na uchaguzi kila baada ya muda, uliowekwa na Katiba na vyama vya siasa vinaendesha shughuli zao kwa mujibu wa sheria bila ya kuviingilia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo ni baadhi ya maeneo ya utawala wa sheria ambao tunauenzi Zanzibar.  Lakini, pamoja na hayo ni muhimu kwa jamii yote kwa jumla ihusishwe ipasavyo na sheria ambayo ina upana mkubwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Yapo mambo ya msingi katika kutekeleza sheria ili turudishe imani ya wananchi kwa vyombo vya sheria ambavyo vinakuhusuni sana waheshimiwa mlliopo hapa.  Mara nyingi tumekuwa tukizungumzia utekelezaji wa sheria.  Jambi hili ni muhimu katika kuhakikisha nchi ina Utawala wa Sheria na Utawala Bora.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Utekelezaji wa sheria unatoa haki kwa watu na unaleta amani na utulivu ndani ya jamii na unajenga imani za watu kwa vyombo vya sheria na sheria zenyewe.  Lazima tukubalini sote kwamba utekelezaji wa sheria usioridhisha ndio hatimae unaoleta madhara ndani ya jamii.  Inapofikia hatua hio ndipo wananchi wanapoanza kutoa masikitiko yao dhidi ya vyombo vya sheria pale vinapokosa kutekeleza sheria.  Matatizo kama ya rushwa mara nyingi yanatokana na jambo hili.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Napenda kuchukua fursa hii leo kuzungumzia zaidi suala hili la utekelezaji wa sheria.  Hili ni jambo linaloanzia kutoka kwenye jamii.    Ni  ukosefu  wa  utekelezaji  sheria,  pale  ambapo  watu wanavunja sheria kwa kujenga katika vianzio vya maji, unapofanyika ukataji wa miti ovyo na uharibifu wa mazingira kwa jumla.  Vyombo vya sheria vinavyohusika na watendaji wake hawatilii mkazo utekelezaji wa sheria zinazohusu mambo hayo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mfano, sote tunaelewa kwamba rushwa isipodhibitiwa inapelekea vyombo vya kutekeleza sheria kama vile mahakama, polisi, wakusanyaji mapato na kadhalika kutotekeleza wajibu wao ipasavyo.  Mambo haya yanapotendeka mwananchi anaweza kunyimwa haki yake ya kisheria.  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kadhalika, ofisa aliyepewa dhamana ya kukusanya kodi asipotekeleza wajibu wake ipasavyo anapelekea kuikosesha Serikali mapato ambayo yangeiwezesha Serikali kutoa huduma bora za aina mbali mbali kwa wananchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ajali za barabarani zinaongezeka kutokana na wingi wa vipando kutokuwepo utekelezaji wa sheria kikamilifu.  Magari yasiyofaa kuwepo barabarani  yanaendeshwa  na  madereva  wasiokuwa  na  leseni wanaachiliwa, jambo ambalo husababisha matatizo makubwa na ongezeko la ajali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Haya ni baadhi ya mambo ambayo wengi wetu tunayajuwa na bila ya shaka yanatendeka katika jamii.  Ni vyema siku ya sheria kama hii leo, tukajadili bila ya woga matatizo yanayotokana na kutotekeleza sheria na kufanya mambo yanayopaswa ili kuyapatia ufumbuzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Bila ya shaka elimu kwa jamii kuhusu kuwepo kwa sheria fulani kama vile ya mazingira na kuelimisha madhara ya kutoitekeleza sheria hio ni jambo litalonufaisha jamii.  Naelewa kwamba Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaendesha vipindi juu ya sheria hasa zinazohusiana na siasa; na pia Idara ya Polisi inatoa baadhi vipindi.   Hayo ni mambo mazuri lakini wakati umefika kwa vyombo vyetu vyote vya sheria kutilia mkazo elimu kwa jamii ipasavyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nimefarajika kuwa maadhimisho haya ya siku ya sheria yamewekewa kauli mbiu maalum ya “Piga Vita Rushwa katika Utoaji Haki”.  Kauli mbiu hii ni muhimu sana na imekuja wakati mzuri.  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeridhia mikataba  mbali mbali ya kimataifa ya kupambana na rushwa kama vile Mkataba wa SADC wa mwaka 2001 (the SADC Protocol Against Corruption, 2001) ambao Tanzania umeuridhia mwaka 2003;  Mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya Rushwa wa mwaka 2003 “the United Nations Convention against Corrption 2003” ulioridhiwa na Tanzania mwaka 2004, na Mkataba wa Umoja wa Afrika dhidi ya Rushwa wa mwaka 2003 “the Africa Union Convention on Preventing and Combating Corruption of 2003” ulioridhiwa na Tanzania mwaka 2004.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya kuridhia mikataba yote hiyo Tanzania tulitakiwa tutunge sheria itayounda taasisi ya kupambana na rushwa.  Kwa bahati nzuri wenzetu wa Tanzania Bara walitekeleza mapema lengo la kutunga sheria hio kwa kuunda TAKUKURU, lakini Zanzibar tuliamua  kulifanyia  kazi  suala  hili  kwa kwenda nalo hatua kwa hatua.  Ninafuraha hapa kutamka kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hatimae iliwasilisha mswada wa sheria kwenye ya Baraza la Wawakilishi mwezi uliopita  kwa ajili ya kuanzishwa Mamlaka ya Kupambana na Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar.  Kama mlivyosikia mswada huo tayari umeshapitishwa na Baraza hilo na wakati wowote nikishairidhia itakuwa sheria kamili na nitafanya hivyo muda ukifika.  Ili kuimarisha vita dhidi ya rushwa Serikali imeamua kuanzisha chombo kinachojitegemea na chenye jukumu sio tu la kuchunguza makosa ya rushwa, bali pia kuelimisha wananchi kuhusu matatizo, madhara na athari za rushwa katika jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mategemeo yangu kuwa chombo tutakachokiunda kitakuwa madhubuti na kitafanyakazi zake kwa uwezo na uadilifu mkubwa, lakini ili chombo hiki kifanye kazi zake vizuri kinahitaji kupata ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi, kwani wao ndio waathirika wakubwa na tatizo hili la rushwa.  Kwa hivyo, natoa wito kwa wananchi wote kuisaidia Serikali katika dhamira yake hii njema ya kupambana na adui rushwa.  Kama wanavyosema Wahenga: ”Kidole kimoja hakivunji chawa”. Natarajia wananchi wote wa Zanzibar kutokana na kupenda nchi yao wataunga mkono na kutoa ushirikiano wao katika kulifanikisha jambo hili.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika kuhakikisha kuwa sheria zinafuatwa na haki inatendeka, ni lazima wahusika wote, wakiwa ni watendaji katika vyombo vya sheria, mahakama, taasisi za kodi na taasisi za kutoa huduma mbali mbali, wawe ni watendaji wakweli na waadilifu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wa mawakili na mahakimu naelewa fika kwamba kabla ya kuanza kazi mnakula kiapo ambacho kinatamka wazi kuwa mtafanya haki bila ya woga, chuki au upendeleo.  Viapo kama hivi vipo kwa watendaji wengine.   Nasisitiza kwamba ufuatiliaji wa muongozo huu wa kazi utasaidia kuhakikisha utoaji haki kwa watu.  Suala hili ni la maadili ambalo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inalitilia mkazo mkubwa kwa watendaji wote wa serikali.  Napenda kutahadharisha kwamba sasa baada ya kupitishwa kwa Sheria ya Utumishi wa Umma 2011 (Public Service Act) vitendo vya rushwa na vyengine vilivyo kinyume na maadili havitavumiliwa tena.  Wito wangu kwa watu wote ni kwamba sasa tuwe macho na tuache ile tabia ya kuachilia au kufumbia macho uvunjaji wa sheria na maadili kutokana na woga au kumuonea mtu muhali.  &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tumetakiwa tufanye kazi zetu kwa ukweli, uwazi na kwa uadilifu. Kuhusu uadilifu tujifunze kwenye Qur-an tukufu, Aya ya 135 ya Surat Annisaa isemayo:&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Enyi mlioamini kuweni wenye kusimamisha uadilifu mnapotoa ushahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu ijapokuwa ni juu ya nafsi zenu, au wazazi wawili na jamaa zenu.  Akiwa tajiri au masikini Mwenyezi Mungu anawastahikia zaidi.  Basi msifuate matamanio, mkaacha kufanya uadilifu.  Na mkiupotosha au mkajitenga nao basi Mwenyezi Mungu anayajua vyema mnayoyatenda.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hapa Mwenyezi Mungu anatueleza wazi kuwa matamanio ndiyo yanayompelekea mtu  kumiliki nafsi yake upande mmoja, basi msiyafuate matamanio au dharau mkaacha kufanya uadilifu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maneno haya ya Mwenyezi Mungu yametiliwa mkazo na Ibara ya II ya Maadili ya Pakistan (code of conduct) ambayo inasema na naomba ninukuu kama ilivyo kwa Kiingereza;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“A judge should be God-fearing, law abiding, abstemious, truthful in tongue, wise in opinion, cautious and forbearing, blameless, untouched by greed.  While dispensing justice, he should be strong without being rough, polite without being weak, awe-inspiring in his warnings and faithful to his work, always preserving calmness, balance and complete detachment, for the formation of correct conclusions in all matters coming before him.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Hakimu awe mtu mwenye kumuogopa Mungu, anayetii sheria, mwenye kujinyima nafsi, mkweli katika asemayo, mwenye busara katika maoni, ana hadhari na mstahamilivu, asiye na lawama, haongozwi na tamaa.  Wakati anaamua anatumia haki, awe thabiti bila ya kukasirisha, mpole bila ya kuwa dhaifu, mwenye kuogopwa na mwenye kutoa nadhari na mwaminifu katika kazi yake, siku zote anazingatia upole, anayejali usawa na asiekuwa na  upendeleo, kwa lengo la kutoa uamuzi sahihi kwa masuala yote anayoletewa.”&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Huu ni mwongozo mzuri kwa Mahakama na watendaji wote wa vyombo vya sheria.  Napenda kumalizia kwa kutilia mkazo juhudi za pamoja ili turudishe imani ya wananchi katika utekelezaji wa maadili ya wanasheria ili tuwe na Utawala Bora wenye kuheshimu haki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusu mahakama zetu za mwanzo jambo hili tunalijua kama tunavyoyajua majina yetu, suala hilo tutalimaliza na tutawalipa malimbikizo yao yote.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mabibi na Mabwana,&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Sisi Serikalini tumezingatia kupambana na rushwa, kazi hii tuifanye kwa pamoja bila ya woga na wala kutishika pale tutakapotishwa, tusibabaike, tushirikiane, tusipambane na wala tusitishane katika kupinga wajibu wetu na tusaidiane katika kuwatumikia wananchi wa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mara nyengine nawapongeza waandaaji wa shughuli hii na kuwataka waendelee na maadhimisho haya kila mwaka ikiwezekana Unguja na Pemba na kwa shughuli mbali mbali.  Serikali kwa upande wake itatoa kila msaada utakaohitajika ili kufanikisha maadhimisho  haya nijuulisheni mtakapokwama.  Pia, itaangalia suala la bajeti ya Mahakama na lile la kuanzishwa kwa mfuko wa Mahakama ili muhimili huu uweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo nalo tutalifanyia kazi na tutalifanyia kazi katika kipindi kijacho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ahsanteni kwa kunisikiliza.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2468888391975383120?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2468888391975383120/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/hotuba-ya-rais-maadhimisho-ya-siku-ya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2468888391975383120'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2468888391975383120'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/hotuba-ya-rais-maadhimisho-ya-siku-ya.html' title='Hotuba ya Rais - Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7873852892476473668</id><published>2012-02-07T20:34:00.001+03:00</published><updated>2012-02-07T21:32:52.058+03:00</updated><title type='text'>Wajasiriamali na Bidhaa zao Sunday Market Michenzani.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-drJHqbjJC9s/TzFfFeFl9ZI/AAAAAAAALYo/UBalqR_Gx6w/s1600/IMG_7302.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-drJHqbjJC9s/TzFfFeFl9ZI/AAAAAAAALYo/UBalqR_Gx6w/s640/IMG_7302.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-Qg0Ak-NAUc0/TzFfZLzvleI/AAAAAAAALYw/aC3xWMYGetg/s1600/IMG_7294.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-Qg0Ak-NAUc0/TzFfZLzvleI/AAAAAAAALYw/aC3xWMYGetg/s640/IMG_7294.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/--jKm4oWX6ko/TzFfmtpGcyI/AAAAAAAALY4/hiAJFrAOWf0/s1600/IMG_7296.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/--jKm4oWX6ko/TzFfmtpGcyI/AAAAAAAALY4/hiAJFrAOWf0/s640/IMG_7296.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-YUSeR7qy2ao/TzFf3kXwkLI/AAAAAAAALZE/CmAc-FWdAew/s1600/IMG_7297.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-YUSeR7qy2ao/TzFf3kXwkLI/AAAAAAAALZE/CmAc-FWdAew/s640/IMG_7297.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-0VkXdQ4g9eM/TzFgGLirG6I/AAAAAAAALZM/GlO2fYiJiPY/s1600/IMG_7300.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-0VkXdQ4g9eM/TzFgGLirG6I/AAAAAAAALZM/GlO2fYiJiPY/s640/IMG_7300.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-SL6utbREO2U/TzFgUFFh9tI/AAAAAAAALZU/pFwiaJw6b5M/s1600/IMG_7304.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-SL6utbREO2U/TzFgUFFh9tI/AAAAAAAALZU/pFwiaJw6b5M/s640/IMG_7304.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7873852892476473668?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7873852892476473668/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wajasiriamali-na-bidhaa-zao-sunday.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7873852892476473668'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7873852892476473668'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wajasiriamali-na-bidhaa-zao-sunday.html' title='Wajasiriamali na Bidhaa zao Sunday Market Michenzani.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-drJHqbjJC9s/TzFfFeFl9ZI/AAAAAAAALYo/UBalqR_Gx6w/s72-c/IMG_7302.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-739325487337797800</id><published>2012-02-07T19:37:00.002+03:00</published><updated>2012-02-07T20:27:15.408+03:00</updated><title type='text'>Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar Viwanja vya Victoria Vuga.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-qwyO9FzWCjY/TzFPejv1UOI/AAAAAAAALWQ/ILI0XK9H9d0/s1600/IMG_7386.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-qwyO9FzWCjY/TzFPejv1UOI/AAAAAAAALWQ/ILI0XK9H9d0/s640/IMG_7386.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-bt0vqLnmbHg/TzFP0Vh0_9I/AAAAAAAALWY/8J8vyHlGlP0/s1600/IMG_0702.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-bt0vqLnmbHg/TzFP0Vh0_9I/AAAAAAAALWY/8J8vyHlGlP0/s640/IMG_0702.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwasili katika viwanja vya Bustani ya Victoria, akiwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-NmxK6FzFHEc/TzFP38LeXeI/AAAAAAAALWg/99mAEU2rCyc/s1600/IMG_0720.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-NmxK6FzFHEc/TzFP38LeXeI/AAAAAAAALWg/99mAEU2rCyc/s640/IMG_0720.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiwa na Viongozi wakisimama wqakati ukupingwa wimbo wa Taifa katika&amp;nbsp;sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar ilioadhimishwa viwanja vya Victoria Vuga.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Ri3u36bw5sQ/TzFQA1Gg3ZI/AAAAAAAALWo/63C8KoeF1XE/s1600/IMG_0723.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Ri3u36bw5sQ/TzFQA1Gg3ZI/AAAAAAAALWo/63C8KoeF1XE/s640/IMG_0723.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wageni waalikwa wakisimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa katika sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-_bJUzT4QQtY/TzFQFfW-4iI/AAAAAAAALWw/wJNYvIoI2Jg/s1600/IMG_0805.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-_bJUzT4QQtY/TzFQFfW-4iI/AAAAAAAALWw/wJNYvIoI2Jg/s640/IMG_0805.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Waheshimiwa katika sherehe ya Siku ya Sheria Zanzibar katika viwanja vya Victoria Vuga.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-GNwsioGGuaI/TzFQILAVR1I/AAAAAAAALW4/Wfvy8uae9Ls/s1600/IMG_0793.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-GNwsioGGuaI/TzFQILAVR1I/AAAAAAAALW4/Wfvy8uae9Ls/s640/IMG_0793.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu, akisoma risala katika&amp;nbsp;sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika viwanja vya Victoria Vuga.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-fb-aRJcWC04/TzFQOj8v8-I/AAAAAAAALXE/pAS7nWX2vU4/s1600/IMG_0783.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-fb-aRJcWC04/TzFQOj8v8-I/AAAAAAAALXE/pAS7nWX2vU4/s640/IMG_0783.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mwanasheria Mkuu wa Serikali Othman Masoud Othman, akisoma risala katika sherehe hizo&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-JFE33xB24UM/TzFQWkztQCI/AAAAAAAALXM/_rfeULQ2Rag/s1600/IMG_0774.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-JFE33xB24UM/TzFQWkztQCI/AAAAAAAALXM/_rfeULQ2Rag/s640/IMG_0774.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Ibrahim Mzee,akisoma risala yake katika sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-btJ_Rkf9N5s/TzFQaa7AhrI/AAAAAAAALXU/S7G_tdam5Do/s1600/IMG_0751.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-btJ_Rkf9N5s/TzFQaa7AhrI/AAAAAAAALXU/S7G_tdam5Do/s640/IMG_0751.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar Mhe. Awadh Ali Said, akisoma risala katika sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-fhz-BSQyRVE/TzFQnNeR_pI/AAAAAAAALXc/NcDQoQC_EGE/s1600/IMG_0781.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-fhz-BSQyRVE/TzFQnNeR_pI/AAAAAAAALXc/NcDQoQC_EGE/s640/IMG_0781.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-TWMvdMoO-AE/TzFQ589S48I/AAAAAAAALXk/cs20n2y7nBo/s1600/IMG_7389.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-TWMvdMoO-AE/TzFQ589S48I/AAAAAAAALXk/cs20n2y7nBo/s640/IMG_7389.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-fPDbKv_P19A/TzFRQrT7RDI/AAAAAAAALXs/6FxcpnwA1Bc/s1600/IMG_7382.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-fPDbKv_P19A/TzFRQrT7RDI/AAAAAAAALXs/6FxcpnwA1Bc/s640/IMG_7382.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waheshimiwa wa Mahakama za Kadhi wakihudhuria sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar.wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia katika sherehe za Siku ya Sheria Zanzibar.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-pr8V7lkhotM/TzFRh7pMSfI/AAAAAAAALX0/rEcqbjUDgoQ/s1600/IMG_7384.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-pr8V7lkhotM/TzFRh7pMSfI/AAAAAAAALX0/rEcqbjUDgoQ/s640/IMG_7384.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-ESbzGpu5yDI/TzFR6-yjeqI/AAAAAAAALX8/mVi4HaP1ioM/s1600/IMG_7391.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-ESbzGpu5yDI/TzFR6-yjeqI/AAAAAAAALX8/mVi4HaP1ioM/s640/IMG_7391.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-Q1zKeqebU8Y/TzFSGOK5oyI/AAAAAAAALYE/3JshKJT9DTs/s1600/IMG_0778.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-Q1zKeqebU8Y/TzFSGOK5oyI/AAAAAAAALYE/3JshKJT9DTs/s640/IMG_0778.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-XC3FtFCH3Ho/TzFSVTiQ6hI/AAAAAAAALYM/l3ivSmaezpQ/s1600/IMG_0785.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-XC3FtFCH3Ho/TzFSVTiQ6hI/AAAAAAAALYM/l3ivSmaezpQ/s640/IMG_0785.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-MD5FgVgra6I/TzFShSTLM6I/AAAAAAAALYU/Q2hMrSAcJR8/s1600/IMG_0834.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-MD5FgVgra6I/TzFShSTLM6I/AAAAAAAALYU/Q2hMrSAcJR8/s640/IMG_0834.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Majaji na Viongozi wa Serikali.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-jqLE3n0ektY/TzFSocKzDNI/AAAAAAAALYc/CAjkkr2TjWs/s1600/IMG_0865.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-jqLE3n0ektY/TzFSocKzDNI/AAAAAAAALYc/CAjkkr2TjWs/s640/IMG_0865.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-739325487337797800?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/739325487337797800/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maadhimisho-ya-siku-ya-sheria-zanzibar.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/739325487337797800'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/739325487337797800'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maadhimisho-ya-siku-ya-sheria-zanzibar.html' title='Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar Viwanja vya Victoria Vuga.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-qwyO9FzWCjY/TzFPejv1UOI/AAAAAAAALWQ/ILI0XK9H9d0/s72-c/IMG_7386.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-843928341208064380</id><published>2012-02-07T09:44:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T09:44:29.213+03:00</updated><title type='text'>Hisa za Zanzibar BoT Zaendelea Kujadiliwa</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wanaendelea na mazungumzo kuhusu suala la hisa ya asilimia 11.5 ya Zanzibar ndani ya Benki Kuu (BoT). &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Fedha hizo zinadaiwa kuhamishwa katika benki hiyo baada ya kuvunjika kwa Bodi ya Sarafu ya Afrika Mashariki. Naibu Waziri wa Fedha, Pereira Ame Silima amesema kwamba suala hilo halipo wazi na linafanyiwa mazungumzo na kutaka wabunge na wananchi wa Zanzibar kuvuta subira. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kauli hiyo ya Naibu Waziri ililenga kujibu swali la nyongeza la Mbunge wa Magogoni, Hamad Ali Hamad (CUF) ambaye alitaka kufahamu hisa za Zanzibar kwenye benki hiyo ambazo katika swali la msingi halikuelezwa. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika swali la msingi, Mbunge wa Kojani, Rashid Ali Omar (CUF) alitaka kufahamu kama Tanzania Zanzibar imeshawahi kupata hisa zake kupitia BoT kwa kuwa kuna taarifa kwamba SMZ ni mteja wa mwanzo wa benki hiyo. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naibu Waziri alisema katika jibu lake la msingi kwamba Benki Kuu iliyoanzishwa mwaka 1965 chini ya Sheria ya Bunge ni chombo kinachomilikiwa na Jamhuri ya Muungano. Alisema chini ya sheria hiyo, hisa zote zinamilikiwa na Jamhuri ya Muungano ambayo inaundwa na Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alisema hali hiyo imeainishwa pia katika sheria ya sasa ya Benki Kuu ya mwaka 2006. Pia Naibu Waziri alisema mtaji ulioanzisha BoT ilipoanza shughuli zake mwaka 1966, ulitolewa na Hazina ya Jamhuri ya Muungano na mwenye dhamana ya hisa hizo kama ilivyo kwa mashirika yote ya umma ni Msajili wa Hazina. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pia alisema kwamba Kifungu cha 14(2) cha sheria hiyo iliyoanzisha Benki Kuu kinaeleza wazi kwamba ni Jamhuri ya Muungano pekee ndiyo inaweza kisheria kumiliki hisa (mtaji) za BoT.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Chanzo: Habari Leo&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-843928341208064380?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/843928341208064380/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/hisa-za-zanzibar-bot-zaendelea.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/843928341208064380'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/843928341208064380'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/hisa-za-zanzibar-bot-zaendelea.html' title='Hisa za Zanzibar BoT Zaendelea Kujadiliwa'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7367323307466082030</id><published>2012-02-07T09:33:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T09:33:49.467+03:00</updated><title type='text'>Waislamu Watakiwa Kuimarisha Umoja</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Rajab Mkasaba, Ikulu&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein juzi alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya sherehe ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) na kuungana na waislamu wote duniani katika kuadhimisha siku hiyo adhimu ambapo waislamu wametakiwa kuimarisha umoja na mshikamano miongoni mwao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maadhimisho hayo, ambayo kitaifa yalifanyika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar na  kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa serikali, vyama vya siasa na viongozi wa dini ya kiislamu akiwemo Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Saleh Qabih, Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji pamoja na viongozi wengine.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akisoma khutba, Ustadhi Hemed Ahmed Chum kutoka chuo cha kiislamu alieleza kuwa wajibu wa umma wa kiislamu ni kushirikiana ili kufanikisha maslahi yao ya kidunia na akhera pamoja na kuondosha matatizo yao kwa kushikamana na kamba ya Allah.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema haramu kwao kutengana, kufitiniana, kutokuwajibika katika dhamana zao na kughafilika kwa namna yoyote ile.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kila muislamu kwa kila dhamana aliyoibeba akiwa ni baba, mama, mke au mume, mwajiri au mwajiriwa, mwanachuoni au mwanafunzi, kiongozi au mfuasi ana wajibu wa kunasihi, kufanya islahi ya maendeleo ya umma na kuondosha kila jambo linalokwenda kinyume na uislamu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisisitiza kusaidiana, kushirikiana na kujenga umoja sambamba na kuwasidia viongozi na kuwaombea dua ili waweze kufanya mema na yenye maslahi zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Tutambue kuwa kwa miongozo mema ya viongpzi wa kijamii na kidini ndio hupatikana maslahi ya watu wote katika jamii,” alisema ustadhi Chum.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alieleza kuwa mshikamano wa waislamu hautodhuriwa na watakaoukhalifu, wala watakaouchukia, madhali waislamu wamefungamana na kamba ya Allah na huku wameshikamana na kitabu cha Allah na sunna za Mtume (S.A.W), wakisaidiwa na mafungamano yao, kusafiana nia na kuwatii viongozi wao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Sherehe hiyo ya Maulid yalianza kwa kusoma Qur-an tukufu suratul Aaraaf aya ya 156 hadi 158 iliyosomwa na Ustadhi Hamdan Juma kutoka Magogoni mjini Unguja.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7367323307466082030?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7367323307466082030/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/waislamu-watakiwa-kuimarisha-umoja.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7367323307466082030'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7367323307466082030'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/waislamu-watakiwa-kuimarisha-umoja.html' title='Waislamu Watakiwa Kuimarisha Umoja'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3681110882922566624</id><published>2012-02-07T09:32:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T09:32:04.194+03:00</updated><title type='text'>CCM Isirejee Makosa ya 2010 – Samia</title><content type='html'>Na Asya Hassan&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;CHAMA cha Mapinduzi kimesema kitahakikisha hakitorejea kufanya makosa ambayo yalifanyika katika uchaguzi uliopita katika taratibu za uendeshaji ili kisiweze kupoteza majimbo yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yameelezwa na Mjumbe wa kamati kuu ya CCM Taifa Samia Suluhu Hassan alipokuwa akizungumza na wananchi na wanachama wa chama hicho katika maadhimisho ya kutimiza miaka 35 ya chama hicho yaliofanyika uwanja wa Hamburu Nungwi Mkoa wa Kaskazini A.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema uchaguzi uliopita, chama hicho kilikosea na kupoteza baadhi ya majimbo, hivyo anaamini kuwa makosa kama hayo hayatofanyika tena kwa kufuata matakwa ya wananchi kwa kumchaguwa kiongozi wanaemuhitaji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Samia alitoa wito kwa wanachama wenye sifa wajitokeze kwa wingi katika uchukuwaji wa fomu ili waweze kugombea nafasi zilizopo katika chama ifikapo mwishoni mwa mwaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wanachama watakaochaguliwa katika uchaguzi huo ndio watakaoweza kushiriki katika uchaguzi mkuu ifikapo mwaka 2015 hivyo, wananchama wahakikishe wanamteua mtu mwenye uwezo na hekima katika kukifanyia kazi chama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mjumbe huyo aliwataka vijana kuwa na msimamo katika kusimamia maendeleo ya chama na kulijenga Taifa ili chama kiweze kusimama imara katika uongozi wake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo, aliwataka viongozi wa chama cha Mapinduzi wawe na msimamo wa pamoja katika kupambana na propaganda zinazoanzishwa na vyama vya upinzani na kujibu hoja na sio kukaa kimya kwani hali kama hiyo inaweza kusababisha vikwazo miongoni mwa wananchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Samia alisema viongozi wa majimbo akiwemo Mbunge na Mwakilishi wakae pamoja na wananchi ili waweze kutatua kero za wananchi ili katika chaguzi zijazo wananchi wawe wametatuliwa matatizo yao mbali mbali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hafla hiyo, Mjumbe huyo wa kamati kuu ya CCM alichangia shilingi 500,000 kwa vijana walioshiriki Sarakasi na kukabidhi pea 50 za viatu kwa vijana walioshiriki matembezi ya mshikamano. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Katibu wa CCM Mkoa wa Kaskazini, Katerina Pita akitoa ujumbe wa maadhimisho ya miaka 35 alisema una malengo ya kuhamasisha wanaCCM kugombea nafasi za uongozi,kupiga vita rushwa na kutetea na kusimamia Muungano.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa pia wanakabiliwa na changamoto kadhaa katika Mkoa wao kama vile migogoro ya ardhi,ubakaji na ulipaji wa ada kwa wanachama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maadhimisho hayo yaliyoshirikisha majimbo manane kutoka Mkoa huo pia yamepata fursa kwa kuchukua fomu wanachama wapya wa CCM waliojiunga 350 na wanachama wa Jumuiya za vijana na wazazi waliochukua fomu za kujiunga ni 250.  &lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3681110882922566624?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3681110882922566624/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ccm-isirejee-makosa-ya-2010-samia.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3681110882922566624'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3681110882922566624'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ccm-isirejee-makosa-ya-2010-samia.html' title='CCM Isirejee Makosa ya 2010 – Samia'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-9200451276166810711</id><published>2012-02-07T09:30:00.001+03:00</published><updated>2012-02-07T09:30:49.101+03:00</updated><title type='text'>Watoto 4750 Wanaishi Mazingira Magumu Wete</title><content type='html'>Na Juma Khamis&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WATOTO 4750 kutoka shehia 22 za wilaya ya Wete  wanaishi katika mazingira magumu mno, utafiti uliofanywa na kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, umebainisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Afisa kutoka kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, Raya Said aliliambia gazeti hili katika mahojiano maalum kwamba, watoto hao walibainika katika kaya zote zilizo ndani ya wilaya hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema hao ni wale wanaoishi katika mazingira magumu mno, ambao hawana msaada wala usaidizi wowote, ambapo miongoni mwao wapo pia wanafunzi wa kike.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Shehia zilizoandikisha rekodi ya juu ni Kojani ambapo watoto 186 wakiwemo wanawake 83 wanaishi katika mazingira ya kusikitisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Shehia nyengine ni Kigongoni yenye watoto 386 wakiwemo wanawake 201, Mtambwe kaskazini watoto 281 wakiwemo wanaume 117, Pembeni watoto 121, Gando (126), Junguni (100) na Kisiwani watoto 115.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Raya alisema tatizo kubwa linalowakabili watoto hawa ni huduma muhimu za kijamii ikiwemo chakula cha uhakika, mavazi, malazi na matunzo kutoka kwa familia zao, hali iliyowafanya wengi kuishi katika maisha ya kukata tamaa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema baadhi ya watoto hawana sare za skuli na wale walionazo zimechakaa mno.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hali hiyo imewafanya watoto wengi kukatisha masomo na kujishughulisha na ajira mbadala ambazo ni hatari kwa afya zao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Afisa huyo alisema baadhi ya familia zimekuwa zikiwatumia watoto hao kama mtaji; kwa kwenda kufanya kazi ili waendeshe familia zao ikiwemo kupara samaki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aliziomba asasi za kiraia za kitaifa na kimataifa kushirikiana na kitengo chake kusaidia kumkomboa mtoto na kumuweka katika mazingira bora kielimu na kiafya.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-9200451276166810711?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/9200451276166810711/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/watoto-4750-wanaishi-mazingira-magumu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/9200451276166810711'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/9200451276166810711'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/watoto-4750-wanaishi-mazingira-magumu.html' title='Watoto 4750 Wanaishi Mazingira Magumu Wete'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8408735230556640206</id><published>2012-02-07T09:25:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T09:25:56.997+03:00</updated><title type='text'>Wanafunzi 19 Waozeshwa Waume, Wapewa Mimba Chake</title><content type='html'>Na Juma Khamis&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WANAFUNZI 19 walipewa mimba na kuozeshwa waume katika skuli 9 za wilaya ya Chake kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka uliopita, wakiwemo wanafunzi wawili wa  darasa la tano na saba  kutoka skuli za Vitongoji na Pujini  ambao wote walipewa mimba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, wanafunzi sita walipewa mimba au kuolewa katika skuli ya Ndagoni mwaka 2008 pekee.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha wanafunzi wengine watatu wa kidato cha tatu kutoka skuli ya Kilindi na mmoja wa kidato cha kwanza kutoka skuli ya Pujini walikutwa na masaibu kama hayo mwaka 2009.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hali kama hiyo ilitokea mwaka 2010 katika skuli za Vikunguni, Chanjamjawiri, Shamiani, Uwandani na Birikau, ambapo jumla ya wanafunzi watano wa kuanzia darasa la saba hadi kidato cha pili walipewa ujauzito au kuozeshwa waume.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mwaka uliopita jumla ya kesi nne zimeripotiwa katika skuli za Vikunguni, Pujini, Shamiani na Vitongoji ambapo wanafunzi watatu wa darasa la tano, saba na kidato cha pili walipewa ujauzito na mmoja wa kidato cha tatu kupewa mume.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha kesi 113  zinazohusisha ubakaji, mimba, kuozeshwa waume na ukatili mwengine wa kijinsia ziliripotiwa  katika wizara ya Ustawi wa Jamii Pemba katika kipindi cha Julai 2010 hadi Juni 2011.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkoa wa Kusini Pemba uliandikisha kesi 67 zikiwemo sita za ubakaji na  32 za utelekezaji watoto.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Afisa Mipango Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Wanawake na Watoto Pemba, Salama Mbarouk Khatib , alisema tatizo hilo zaidi limechangiwa na ushawishi wa kundi rika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema baadhi ya wanafunzi wa kike wamekuwa wakiwashawishi wenzao kuanzisha uhusiano wa kimapenzi ili waweze kufaidika na fursa walizonazo wao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema changamoto nyengine ni kukosekana huduma muhimu katika skuli zenye dakhalia, ambapo mtoto wa kike hulazimika kutafuta chakula kwa gharama zake, akiwa mbali ya wazazi wake, ambao hata hivyo wengi hushindwa kuwakamilishia mahitaji kwa sababu ya umaskini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Salama alisema baadhi ya wazazi wamekuwa ving'ang'anizi kwa kulazimisha watoto wao kuolewa hata kama wao hawako tayari.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;"Tumeshuhudia wazazi wakimsusa mtoto wao na kufikia hatua ya kumfichia sare zake na mabuku kuyachoma moto kwa sababu tu amekataa kuolewa," alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkuu wa wilaya ya Chake Chake, Mwanajuma Majid Abdalla kwa upande wake, alisema katika miaka ya nyuma tatizo hilo pia lilikuwa linachangiwa na walimu  ambao walikuwa wakiwadhalilisha wanafunzi wa kike kingono.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo, alisema wilaya kwa kushirikiana na taasisi nyengine wamekabiliana na walimu hao kwa kuwakumbusha kuzingatia maadili yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wilaya kwa ushirikiano na  maafisa wa elimu na kutoka wizara ya jinsia wamefanikiwa kuzivunja ndoa nyingi, ambazo ziliwahusisha wanafunzi wa kike.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Afisa Mipango, Sera na Utafiti kutoka wizara ya Elimu Pemba,  Khamis Ali alisema tatizo la mimba, ndoa za kushurutishwa zimekuwa zikipungua kutokana na mwamko walionao wanafunzi pamoja na wazee wengi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema kukosekana huduma za dakhalia pia inaweza kuwa moja ya vyanzo vya matukio hayo, ambayo yanaathiri maendeleo ya elimu ya mtoto wa kike.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8408735230556640206?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8408735230556640206/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wanafunzi-19-waozeshwa-waume-wapewa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8408735230556640206'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8408735230556640206'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wanafunzi-19-waozeshwa-waume-wapewa.html' title='Wanafunzi 19 Waozeshwa Waume, Wapewa Mimba Chake'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-948151889243918817</id><published>2012-02-06T21:31:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T21:31:03.617+03:00</updated><title type='text'>Madrasatul Noor Leicester  UK Inahitaji Msaada Wako Kuweza Kununua Jengo</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-SIH3nJHqdOQ/TzAWFPjy7JI/AAAAAAAALU4/qlo06hicP0E/s1600/101_1954.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://2.bp.blogspot.com/-SIH3nJHqdOQ/TzAWFPjy7JI/AAAAAAAALU4/qlo06hicP0E/s640/101_1954.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Madrasatul Noor is an Islamic school established in 1999 with few Swahili speakers parents from East Africa living in Leicester in England.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;At the beginning, we started with few students and we used &amp;nbsp;one of our teacher's residential house as our Madrasah.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;But because of the increased number of the students, in 2003 our community has decided to rent a building for the purpose of providing high quality of education.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Thanks Allaah, our Madrasah has been developing and progressing in very high pace. So now the space on our current building has become very limited.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;In 2010 we have decided to find our own premises. Alhamdulillah we have manage to find one building which is going to be very perfect for our needs.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;The building has got enough spaces for the mosque, classes, Library and conference room.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;As we committed ourselves to have our own premises &amp;nbsp;to provide high quality of Islam education for the Muslims in Leicester, Madrasatul Noor Leicester would like to take this opportunity to inform every one who wish to contribute and to support our project to use our account below:&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;Madrasatul Noor Leicester&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;Lloyds TSB Bank&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;Account number: 45127768&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;Sort Code: 30-94-97&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;International Bank account:&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;LOYDGB21029&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;b&gt;GB27LOYD30949745127768&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;If you would like to have more information, please contact us through these emails:&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;madrasatulnoor.01@gmail.com&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;or&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;fcalwattan@gmail.com&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;JazaakumuLlaahu khayraa&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-948151889243918817?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/948151889243918817/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/madrasatul-noor-leicester-uk-inahitaji.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/948151889243918817'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/948151889243918817'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/madrasatul-noor-leicester-uk-inahitaji.html' title='Madrasatul Noor Leicester  UK Inahitaji Msaada Wako Kuweza Kununua Jengo'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-SIH3nJHqdOQ/TzAWFPjy7JI/AAAAAAAALU4/qlo06hicP0E/s72-c/101_1954.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2183866093642773100</id><published>2012-02-06T21:02:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T21:02:03.736+03:00</updated><title type='text'>Msivunje Muungano :  Dk. Bilal</title><content type='html'>Na John Gagarini, Kibaha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania wasikubali kuvunja Muungano kwa kupitia marekebisho ya katiba mpya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aliyasema hayo jana Mlandizi Kibaha Vijijini wakati wa sherehe za kutimiza miaka 35 za kuzaliwa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Pwani na kusema kuwa Watanzania wanapaswa kudumisha Muungano na wasikubali kurubuniwa na wanasiasa wasioitakia mema nchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuna baadhi ya wanasiasa wanataka kutumia marekebisho hayo kutaka kuvunja Muungano na kuleta Usultani jambo ambalo si zuri kwani Muungano umeleta mambo mazuri mengi na kikubwa kikiwa ni amani iliyopo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;"Kama mtu anakuja kuwaambia kuwa mvunje Muungano kwa kupitia marekebisho ya katiba msikubaliane naye, kwani haitakii mema nchi yetu kwani amani na upendo vimedumu kwa kupitia Muungano hivyo tusikubali kudanganywa," alisema Dk. Bilal.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Bilal ambaye ni mlezi wa CCM mkoa wa Pwani alisema kuwa watanzania wanatakiwa kutumia uhuru wao vizuri kwani ni kama kisu endapo utatumiwa vibaya unaweza kuleta matatizo lakini ukitumiwa vizuri utaleta mafanikio.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;"Pia viongozi wawe makini na kuachana na tabia za kufanya biashara za magendo  bali wafanye shughuli halali kwani itaondoa rushwa," alisema Dk. Bilal.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aliwataka WanaCCM kila mmoja kuwa mwenezi wa habari za mambo mazuri yaliyofanywa na chama katika kipindi chote tangu chama kuanzishwa kwake kwani mengi mazuri yamefanyika katika kipindi hicho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naye Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini,Abuu Jumaa alisema  katika kukienzi chama yeye kama Mbunge kwa kushirikiana na wananchi wake watahakikisha wanatekeleza yale yote ambayo yako kwenye ilani ya chama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka alisema chama kiko kwenye changamoto kubwa lakini hiyo ndiyo itakayosababisha kupatikana kwa maendeleo kwani bila ya changamoto mambo hayawezi kwenda.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2183866093642773100?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2183866093642773100/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/msivunje-muungano-dk-bilal.html#comment-form' title='15 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2183866093642773100'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2183866093642773100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/msivunje-muungano-dk-bilal.html' title='Msivunje Muungano :  Dk. Bilal'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>15</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1533383793702830006</id><published>2012-02-06T20:13:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T20:13:11.291+03:00</updated><title type='text'>Matembezi ya Kuadhimisha Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW)</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-oruzE0j-JwU/TzAIdrth0II/AAAAAAAALUU/hSfXFzujIxI/s1600/shk+kabi.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://4.bp.blogspot.com/-oruzE0j-JwU/TzAIdrth0II/AAAAAAAALUU/hSfXFzujIxI/s640/shk+kabi.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi akipokea matembezi ya wanavyou na waislamu wa Zanzibar yaliyoanzia msikiti wa Salaam Mlandege Zanzibar na kumalizia viwanja wa Mnazimmoja. Zaidi ya madrasa 20 zilishiriki katika matembelezi hayo ya maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW).&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-pKyqHe3iG0Q/TzAIihQB4uI/AAAAAAAALUc/mblHBxRP_xo/s1600/ngamia+2.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://1.bp.blogspot.com/-pKyqHe3iG0Q/TzAIihQB4uI/AAAAAAAALUc/mblHBxRP_xo/s640/ngamia+2.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ngamia na Farasi wakiwa mbele kuongoza matembezi ya waislamu wa Zanzibar katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW). Matembezi hayo yalianzia msikiti wa Salaam, Mlandege na kumalizia viwanja vya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-iMqcXOcUoEc/TzAIoO1IqMI/AAAAAAAALUk/8LpfMb-JOW0/s1600/ngamia.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://3.bp.blogspot.com/-iMqcXOcUoEc/TzAIoO1IqMI/AAAAAAAALUk/8LpfMb-JOW0/s640/ngamia.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ngamia na Farasi wakiwa mbele kuongoza matembezi ya waislamu wa Zanzibar katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW). Matembezi hayo yalianzia msikiti wa Salaam, Mlandege na kumalizia viwanja vya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-lDrg-RywMOg/TzAIuLn4L1I/AAAAAAAALUs/ygaqx8dHwl4/s1600/soraga.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="480" src="http://1.bp.blogspot.com/-lDrg-RywMOg/TzAIuLn4L1I/AAAAAAAALUs/ygaqx8dHwl4/s640/soraga.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga (aliyevaa koti jeusi), akiwa mstari wa mbele katika matembezi maalum ya maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW).  Matembezi hayo yalianzia msikiti wa Salaam, Mlandege na kumalizia viwanja vya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;Picha: Hassan Hamad, OMKR&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1533383793702830006?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1533383793702830006/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/matembezi-ya-kuadhimisha-kuzaliwa-mtume.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1533383793702830006'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1533383793702830006'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/matembezi-ya-kuadhimisha-kuzaliwa-mtume.html' title='Matembezi ya Kuadhimisha Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW)'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-oruzE0j-JwU/TzAIdrth0II/AAAAAAAALUU/hSfXFzujIxI/s72-c/shk+kabi.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5037874413554127294</id><published>2012-02-06T20:02:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T20:02:29.820+03:00</updated><title type='text'>Inspekta alalamikiwa kutumia vibaya magwanda</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;b&gt;&amp;nbsp;Kamishna akiri kupokea malalamiko&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Mwandishi wetu&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;KAMISHNA wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa amesema jamii inapaswa kufahamu kuwa maofisa wa polisi ni binadamu kama watu wengine, hivyo nao inatokezea kufanya makosa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kamishna huyo alieleza hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na gazeti hili, kufuatia mwananchi mmoja kumlalamikia ofisa wa polisi mwenye cheo cha Inspeta kutumia vibaya cheo na magwanda yake vibaya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kutokana na ubinadamu walionao polisi nao hufanya makosa iwe kwa makusudi, kutojua au kwa bahati mbaya, lakini hiyo haizuii jeshi kumchukulia hatua kwa kumchunguza na kumchukulia hatua pale anapobainika kufanya kosa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kutokana na hali hiyo inapotokezea ofisa wa polisi kufanya makosa abebeshwe lawama kama binadamu wengine na sio kulilaumu jeshi zima kwani halina dhamira hiyo kwa wananchi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika malalamiko yake, Hassan Mtwana aliwataka maofisa wa polisi kuacha kutumia vibaya fursa walizonazo za kimamlaka kwa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha wananchi kwa kutumia vyeo na magwanda yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwananchi huyo alisema wapo baadhi ya maofisa wa jeshi hilo wanatumia vibaya magwanda na vyeo vyao, jambo linalosababisha raia kukosa imani na jeshi hilo na kunyimwa haki zao kwa makusudi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema endapo jeshi hilo litaendelea kuwalea na kuwalinda maofisa wa namna hiyo, raia wengi watakosa imani na hiyo dhana ya polisi jamii itakosa muelekeo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kadhia hiyo ya Hassan, ambaye malalamiko yake ameyafikishwa kwa Kamishna wa Polisi alisema, amefanyiwa kitendo alichokiita kuwa si cha kiungwa na Inspekta wa polisi aliyemtaja kwa jina, kutumia vibaya madaraka yake na kumvunjia nyumba na kuisambaratisha familia yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza kwa masikitiko alisema Inspekta huyo alitumia mwanya wa mzozo wa wake zake, hatimae mmoja kati ya wake hao kufika kituo cha polisi kupata muongozo na msaada wa kisheria kufuatia mzozo uliosababisha mapigano na mke mwenziwe.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema baada ya Inspekta huyo kupata mwanya wa kumpatia  msaada wa kisheria mke wa Hassan, mambo yalianza kugeuka na kuanza kudaiwa talaka, huko polisi huyo akichochea moto wa kudai talaka ulioanzishwa na mke huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Inspekta huyo kinyume na utaratibu alikuwa akifika nyumbani kwangu mara kwa mara ambapo baada ya muda mama watoto wangu alikuwa akinidai talaka hatua ambayo sikuona mantiki yake hatimae aliiomba mahakama ya kadhi isimamie talaka yake, lakini nilipopata waraka wa mahakama nikaamua kumruhusu aende”, alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Kama hiyo haitoshi Inspekta huyo kabla na baada ya kufunga ndoa na mama watoto wangu aliendelea kuishi katika nyumba yangu kwa zaidi ya miezi mitano mbali ya juhudi za kisheria nilizozichukuwa kutaka waondoke nyumbani kwangu kukwamishwa na Ispekta Jaku”, alibainisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema alifika kwa  sheha wa shehia ya Pangawe kuomba msaada na kumtaka kwenda kituo cha Polisi Fuoni kupeleka lalamiko lake ambako lilitoka agizo la kutakiwa kuhamishwa Ispekta huyo lakini siku ya utekelezwaji kwa mkono wa bosi huyo ilishindikana kutokana na amri aliyoitoa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Nilishtuka nilipopata wito wa Polisi nilipofika kituo cha Polisi Fuoni niliambiwa nisijaribu kabisa kutekeleza azma yangu ya kuwahamisha katika nyumba yangu, nilipodadisi nimeambia agizo hilo limetoka juu na wao wanachopaswa kufanya ni kutekeleza na sio vyenginevyo”, alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Kauli hiyo imefuatiwa na maneno machafu na ya kejeli kutoka kwa wanandoa hao kuwa wao hawawezi kuhama kwa shinikizo langu bali watahama watakapojisikia kuhama, nami sina chochote cha kufanya wala kwa kwenda, kauli hiyo imenichoma na kuongeza chuki dhidi ya jeshi la Polisi”, Hassan alilalamika akieleza hisia zake mbele ya Kamishna.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake Kamishna Mussa alithibitisha kufikishwa tuhuma na mwananchi huyo na kwamba ameshaamuru Inspekta huyo kuhama kwenye nyumba ya mlalamikaji na kwamba kama anahisi amevunjiwa sheria anayo haki ya kumshitaki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo alieleza kuwa Inspekta huyo alikuwa akiishi nyumba hiyo kutokana na mke mpya kuwa na makubaliano na Hassan ya kuishi katika nyumba hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kamishna Mussa alimshauri mwananchi huyo apelekea malalamiko yake kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Kusini kama anahisi kuna sheria zimekiukwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Taarifa zaidi zinaeleza kuwa mwananchi huyo amewasilisha malalamiko hayo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini akidai kodi ya nyumba yake kwa miezi mitano ambayo Inspekta huyo alikuwa akiishi na mkewe mpya pamoja na kuungiwa umeme ambao ulikuwa umekatwa.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5037874413554127294?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5037874413554127294/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/inspekta-alalamikiwa-kutumia-vibaya.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5037874413554127294'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5037874413554127294'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/inspekta-alalamikiwa-kutumia-vibaya.html' title='Inspekta alalamikiwa kutumia vibaya magwanda'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5873739001416581420</id><published>2012-02-06T16:16:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T18:37:51.619+03:00</updated><title type='text'>Mafunzo ya Siku Tano ya Kuulinda Utamaduni wa Tanzania na Zanzibar.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-WGS15VmGA4g/Ty_TN0rjFMI/AAAAAAAALT0/rq5pmKG7fyE/s1600/IMG_7366.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-WGS15VmGA4g/Ty_TN0rjFMI/AAAAAAAALT0/rq5pmKG7fyE/s640/IMG_7366.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Kamishna wa Utamaduni Zanzibar Hamad Bakari Mshindo akizindua mafunzo ya siku tano ya kuimarisha utamaduni wa Tanzania kwa Maofisa wa Utamaduni wa Tanzania Bara na Zanzibar katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani.Zanzibar.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-tHvkmPdSLl0/Ty_Ti13T0QI/AAAAAAAALT8/t_aSPeAsJNg/s1600/IMG_7369.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-tHvkmPdSLl0/Ty_Ti13T0QI/AAAAAAAALT8/t_aSPeAsJNg/s640/IMG_7369.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Maofisa wa Utamaduni wakimsikiliza Kamishna wa Utamaduni Zanzibar akifunguwa mafunzo hayo.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-5c0FKVn7bkE/Ty_T24ZEPwI/AAAAAAAALUI/GBzRUupZX-Q/s1600/IMG_7352.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-5c0FKVn7bkE/Ty_T24ZEPwI/AAAAAAAALUI/GBzRUupZX-Q/s640/IMG_7352.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;Mkuu wa kitengo cha UNESCO Dar-es-Salaam Program Specialist Culture Sector. Adele Nibona akitowa maelezo jinsi ya Kuimarisha utamaduni wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano kusimamia utamaduni wa Tanzania.na kuimarisha maadili. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-XnMMSLpW4gc/Ty_QH4CCw_I/AAAAAAAALTg/Dqs1pdeiWGk/s1600/IMG_7357.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-XnMMSLpW4gc/Ty_QH4CCw_I/AAAAAAAALTg/Dqs1pdeiWGk/s640/IMG_7357.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Baadhi ya Washiriki wa mafunzo hayo wakimsikiliza Kamishna wa Utamaduni Zanzibar Hassan Mshindo. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-KowLPIo8UYk/Ty_HDcJ1f4I/AAAAAAAALS8/PgTiW30270g/s1600/IMG_7372.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-KowLPIo8UYk/Ty_HDcJ1f4I/AAAAAAAALS8/PgTiW30270g/s640/IMG_7372.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Culture Expert UNESCO Silverse Lisamula Anami, akitowa maelezo jinsi ya kuimarisha utamaduni na jinsi gani mtu anaweza kuuhishimu utamaduni wa mwezake.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-wB0p2J0xY5g/Ty_GtfhZ_qI/AAAAAAAALS0/0ImIBK5Vne8/s1600/IMG_7368.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-wB0p2J0xY5g/Ty_GtfhZ_qI/AAAAAAAALS0/0ImIBK5Vne8/s640/IMG_7368.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5873739001416581420?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5873739001416581420/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mafunzo-ya-siku-tano-ya-kuulinda.html#comment-form' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5873739001416581420'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5873739001416581420'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mafunzo-ya-siku-tano-ya-kuulinda.html' title='Mafunzo ya Siku Tano ya Kuulinda Utamaduni wa Tanzania na Zanzibar.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-WGS15VmGA4g/Ty_TN0rjFMI/AAAAAAAALT0/rq5pmKG7fyE/s72-c/IMG_7366.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3392763312032554635</id><published>2012-02-06T09:36:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T09:36:43.055+03:00</updated><title type='text'>Kidongochekundu Dispensary Yafungiwa</title><content type='html'>Na Fatma Kassim, Maelezo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;BODI ya Ushauri wa hospitali Binafsi imeifungia hospitali moja na kutoa onyo kwa hospitali nne kutokana matatizo ya mbali mbali ikiwemo ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha pamoja na mazingira yasiyo salama ya utoji huduma za afya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Msaidizi Mrajis wa Bodi ya Ushauri wa Hospitali Binafsi, Dk. Shaaban Seif Mohammed aliitaja hospitali iliyofungiwa ni Kidongoochekundu Dispensary na zilizopewa onyo kali ni Hassan Clinic, SDA Dispensary, Jang’ombe Dispensary pamoja na Kwamchina Dispensary.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alitaja miongoni mwa makosa yaliyobainika ni pamoja na kutowasilisha vielelezo vya wafanyakazi wao pamoja  na uchafu wa takataka za mabomba ya sindano ambayo yametumika kwa muda mrefu bila kutupwa sehemu husika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumzia kwa hospitali iliyofungwa na pamoja na kukuta mfanyakzi mmoja anaefanya kazi zote za kiuguzi pamoja na kidaktari jambo ambalo linaweza kuhatarisha zaidi utoaji wa huduma bora za matibabu kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha pia  kuwa hospitali ya kwa Mchina na DSA Dispensary Jang’ombe  ndio zilizobainika kuwa na kasoro nyingi ikiwemo uchakavu wa majengo hasa kuta za ndani pamoja na sehemu ya kufungia vidonda kuwa sakafu yake  imechimbika jambo ambalo linaweza kupelekea maambukizi ya maradhi zaidi kwa wagonjwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema Bodi hiyo imetoa   muda wa mwezi mmoja kwa wamiliki wa hospitali hizo kurekebisha kasoro hizo kwa lengo la kutoa huduma zenye ubora wa hali ya juu kwa mujibu wa taratibu za kisheria.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema vitendo vinavyofanywa na baadhi ya hospitali Binafsi si vizuri na vinaenda kinyume na maadili ya utoji wa huduma za Afya hali inayoweza kurudisha nyuma maendeleo ya serikali katika kuimarisha huduma za afya kwa jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ametoa tahadhari kwa wananchi kuwa waangalifu wanapokwenda   hospitali hizo kuwa na kuacha mara moja kutumia hospitali ambazo zina kasoro za utoaji huduma za afya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha bodi inazifanyia ukaguzi wa mara kwa mara hospitali hizo ili kuhakikisha zinafanya marekebisho ya kasoro walizonazo na iwapo watakaidi bodi haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuzifungia moja kwa moja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema serikali imekuwa ikichukua juhudi kadhaa katika kuhakikisha hospitali binafsi zinatoa huduma zenye ubora kwa wananchi kwani zinasaidia sana katika kupunguza misongamano kwenye hospitali za serikali.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3392763312032554635?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3392763312032554635/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kidongochekundu-dispensary-yafungiwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3392763312032554635'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3392763312032554635'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/kidongochekundu-dispensary-yafungiwa.html' title='Kidongochekundu Dispensary Yafungiwa'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1890576627709301938</id><published>2012-02-06T09:35:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T09:35:49.065+03:00</updated><title type='text'>Wapinzani Acheni Kumbagua Raza – Gavu</title><content type='html'>Na Antar Sangali&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;CHAMA cha Mapinduzi kisema kwamba hakina sera za ubaguzi wa rangi, ukabila, udini wala ujimbo kama vilivyo baadhi ya vyama vya siasa hapa nchini.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu wa Kamati maalum ya NEC wa Itikadi na Uenezi, Issa Haji Gavu alibainisha hayo wakati akimnadi mgombea wa CCM jimbo la Uzini, Mohamed Raza Hassanal Dharamsi, katika kiwanja skuli ya msingi Miwani.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Gavu alisema CCM imerithi sera hizo kutoka vyama vya TANU na ASP ambavyo vilipingana na kuikataa mitazamo hiyo kabla ya uhuru na Mapinduzi ya Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa vyama hivyo viwili vya  ukombozi vyote vilikuwa na wananchama wenye mchanganyiko wa rangi, dini tofauti bila ya kujali kabila na maeneo wanayotoka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Zanzibar, aliwataka wananchi wa Uzini kupuuza  maneno yanayoenezwa na vyama vya upinzani kwamba mgombea wa CCM si mzaliwa wa Uzini na kwamba ni mtanzania mwenye asili ya Asia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Gavu alisema hakutegemea matamshi hayo kuyasikmia toka kwa viongozi wa vyama vya siasa vilivyo makini ila kwa kufanya hivyo vimetambulika kuwa ni vua kibaguzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akitoa mfano alisema  viongozi kama Amir  Jamal , Al Noor Kassam, Mohamed Mugheiry, Othman Sharif, Derick Bryson, Dk. Leacky Stearing hawakuwa na asili ya kiafrika ila wamekuwa viongozi kwenye serikali za TANU na ASP.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Gavu aliwataka wananchi wa Uzini kuyapuuza maneno ya vyama hivyo vya upinzani vyenye kupandikiza chuki na ubaguzi na badala yake wavinyime kura kama adhabu kisha wakinyime kura na kuichagua CCM kwa kumpigia kura nyingi Raza kutokana na dhambi za kibaguzi wanazoziendeleza.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wake mgombea wa jimbo la Uzini kwa tiketi ya CCM Mohamed Raza, aliwataka wananchi wa Zanzibar kufanya tafakuri ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha yao kwa kuikomboa Zanzibar Januari 12, 1964.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Raza amesema kabla ya Mapinduzi ya 1964 Zanzibar iligawanywa kwenye makundi ya ubwana,ubwanyenye,ubepari na utwana na kwamba ni sera pekee za ASP ndizo zolizoondosha matabaka hayo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha mgombea huyo wa CCM amewataka wafanyabiashara walioko nje na ndani wenye asili ya Zanzibar kuendelea kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi huku akisema ndicho kilichotoa fursa na kujenga Umoja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akihutubia kwenye mkutano huo, Raza amewaimbisha nyimbo ya ukombozi wa Zanzibar wananchi waliokuwepo mkutanoni kuwakumbuka waliojitoa muhanga na kupoteza maisha yao ili kuikomboa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Raza aliwasihi wananchi hao kupingana na sera za chama chochote chenye mwelekeo wa kuleta ubaguzi, uhasama na chuki katika visiwa vya Unguja na Pemba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika mkutano huo, wanachama watano wa CHADEMA kwa hiari zao wamerudisha kadi za chama hicho na kujiunga upya na CCM katika mkutano huo wa hadhara wa kampeni.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1890576627709301938?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1890576627709301938/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wapinzani-acheni-kumbagua-raza-gavu.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1890576627709301938'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1890576627709301938'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wapinzani-acheni-kumbagua-raza-gavu.html' title='Wapinzani Acheni Kumbagua Raza – Gavu'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-7285700377648389663</id><published>2012-02-06T09:34:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T09:34:40.929+03:00</updated><title type='text'>Mama Shadya Aitaka FAWE Kujidhatiti Kusaidia Mtoto wa Kike Kielimu</title><content type='html'>Na Kauthar Abdalla&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;JUMUIYA ya wasomi wanawake inayosaidia watoto kielimu Tawi la Zanzibar (FAWE Zanzibar), imetakiwa kuhakikisha inawasaidia watoto wa kike kupata msingi mazuri wa kielimu ili wawe wataalamu bora wa baadae.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akifungua mkutano wa  maadhimisho ya kutimia kwa  miaka 10 ya kuanzishwa kwa FAWE Zanzibar, Mwenyekiti wa Jumuiya ya ZAYEDESA, Mama Shadya Karume, alisema endapo watasaidiwa watoto wa kike katika suala la elimu wataweza kupunguza majanga mengi ambayo huwakumba yakiwemo mimba za utotoni pamoja na kushiriki katika utumiaji wa dawa za kulevya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alifahamisha kuwa wanawake ni nguzo muhimu sana katika kuleta maendeleo, hivyo ni wajibu wa kila mtu kushiriki ipasavyo katika kuhakikisha wanawake wote wanapata elimu iliyo bora ambayo itaweza kumkomboa katika maisha yake na taifa kwa ujumla.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Vile vile ameiomba jumuiya hiyo kuwashajiisha, kuwatunza na kuwashauri vizuri watoto wa kike ili wafanikiwe katika masomo ya sayansi ambayo wengi wao huwa wanashindwa kukosa uelewa mzuri wa faida za masomo hayo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Mratibu wa FAWE Zanzibar, Asma Ismail, alisema kuwa pamoja na kushajiisha watoto wa kike wanapata elimu bora  lakini pia wanafanya kazi ya kuokota watoto wa mitaani  waliotoroka na kuwarejesha skuli kuendelea na masomo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pia alisema Jumuiya ya FAWE inatoa mafunzo ya ukaguzi kwa wanachama pamoja na utekelezaji wa majukumu yao mbali mbali ya kazi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;FAWE pia ilitoa zawadi kwa washindi wa mashindano ya masomo ya sayansi na wahitimu wa masomo  mbali mbali waliofanikiwa kwenda vyuo vikuu kupitia msaada wa Jumuiya ya FAWE.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha Mwenyekiti wa ZAYEDESA, mama Shadya Karume ametoa Shilingi 1,014,000, kukamilisha fedha ambazo zilibakia kukamilisha bajeti ya Mradi wa kuendeleza kimasomo watoto wa kike maskulini Zanzibar unaoendeshwa na FAWE.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika maadhimisho hayo pia kulifanyika maonesho ya kimasomo ya kazi mbali mbali za masomo ya sayansi zilizofanywa na wanafunzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hafla hiyo iliyofanyika jana ukumbi wa EACROTANAL Mjini Zanzibar, ilishirikisha wanachama wote wa FAWE Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-7285700377648389663?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/7285700377648389663/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mama-shadya-aitaka-fawe-kujidhatiti.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7285700377648389663'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/7285700377648389663'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mama-shadya-aitaka-fawe-kujidhatiti.html' title='Mama Shadya Aitaka FAWE Kujidhatiti Kusaidia Mtoto wa Kike Kielimu'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4879472717627591352</id><published>2012-02-05T21:51:00.004+03:00</published><updated>2012-02-06T15:13:03.790+03:00</updated><title type='text'>Mkutano wa Kampeni Jimbo la Uzini CUF</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-r1w6lytUEhY/Ty7OBGpD1-I/AAAAAAAALRY/bg4o5VqbUG4/s1600/IMG_7324.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-r1w6lytUEhY/Ty7OBGpD1-I/AAAAAAAALRY/bg4o5VqbUG4/s640/IMG_7324.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Naibu Katibu Mkuu wa CUF&amp;nbsp;Tanzania Bara Julius Mtatiro,akimtambulisha Mgombea wa Chama cha CUF kwa Wananchi wa Jimbo la Uzini, katika mkutano wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya Skuli ya Bambi.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-vqcy18SnGg4/Ty7OHZEp1YI/AAAAAAAALRg/CD4wFTTsAuI/s1600/IMG_7332.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-vqcy18SnGg4/Ty7OHZEp1YI/AAAAAAAALRg/CD4wFTTsAuI/s640/IMG_7332.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Uzini kwa Tiketi ya CUF Salama Hussein Zaral, akitowa sera za Chama chake kwa Wananchi wa Bambi ikiwa ni moja ya Mkutano wake wa Kampeni jimboni humo.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-XfauKV7u4G0/Ty7OOCbMhcI/AAAAAAAALRo/MJAQef6Ye9E/s1600/IMG_7307.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-XfauKV7u4G0/Ty7OOCbMhcI/AAAAAAAALRo/MJAQef6Ye9E/s640/IMG_7307.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Naibu Katibu Mkuu CUF Zanzibar Ismail Jussa, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Uzini, wakati wa mkutano wa kampeni ya Uchaguzi mdogo wa Uzini uliofanyika katika viwanja vya skuli ya bambi.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-t29Lnlo7aAU/Ty7OU5Ice-I/AAAAAAAALRw/wVuHM3WfnEI/s1600/IMG_7311.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-t29Lnlo7aAU/Ty7OU5Ice-I/AAAAAAAALRw/wVuHM3WfnEI/s640/IMG_7311.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mjiumbe wa Baraza Kuu la CUF Juma Duni, akitowa nasaha zake katika mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa jimbo la Uzini katika viwanja vya skuli ya bambi.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-EUTsPdsQsIQ/Ty7OeuTiVTI/AAAAAAAALR4/GBvP_-J73m4/s1600/IMG_7320.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-EUTsPdsQsIQ/Ty7OeuTiVTI/AAAAAAAALR4/GBvP_-J73m4/s640/IMG_7320.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-gGzw8XAQIOo/Ty7Olx4NPmI/AAAAAAAALSA/2_THeKzPURU/s1600/IMG_7310.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-gGzw8XAQIOo/Ty7Olx4NPmI/AAAAAAAALSA/2_THeKzPURU/s640/IMG_7310.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Wanachama wa Chama cha CUF wakishangilia katika mkutano wa kampeni ya jimbo la Uzini.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-iqZhewg9hDc/Ty7OuKeWpbI/AAAAAAAALSM/LvMSM1-oIrA/s1600/IMG_7316.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-iqZhewg9hDc/Ty7OuKeWpbI/AAAAAAAALSM/LvMSM1-oIrA/s640/IMG_7316.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Wananchi wa Kijiji cha Bambi wakisikiliza sera za Chama cha CUF katika mkutano wa kampeni katika viwanbja vya skuli ya Bambi.&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-RKpVMkkfY18/Ty7PdFiySbI/AAAAAAAALSU/va9flMryewc/s1600/IMG_7305.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-RKpVMkkfY18/Ty7PdFiySbI/AAAAAAAALSU/va9flMryewc/s640/IMG_7305.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;Wanachama wa CUF wakimsikilizxa Mgombea wao akitowa sera za Chama chake.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4879472717627591352?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4879472717627591352/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mkutano-wa-kampeni-jimbo-la-uzini-cuf.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4879472717627591352'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4879472717627591352'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mkutano-wa-kampeni-jimbo-la-uzini-cuf.html' title='Mkutano wa Kampeni Jimbo la Uzini CUF'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-r1w6lytUEhY/Ty7OBGpD1-I/AAAAAAAALRY/bg4o5VqbUG4/s72-c/IMG_7324.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8016969825687757156</id><published>2012-02-05T21:42:00.001+03:00</published><updated>2012-02-05T23:36:58.200+03:00</updated><title type='text'>Maulidi ya Mfunguo Sita Viwanja vya Maisara Zanzibar</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-tnjumCfAec4/Ty6_Sq4TMhI/AAAAAAAALOk/49TAEQslGls/s1600/IMG_7203.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-tnjumCfAec4/Ty6_Sq4TMhI/AAAAAAAALOk/49TAEQslGls/s640/IMG_7203.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-c5JJApvwqhA/Ty6_ozRGw8I/AAAAAAAALOs/NOrQGobtQhA/s1600/IMG_7208.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-c5JJApvwqhA/Ty6_ozRGw8I/AAAAAAAALOs/NOrQGobtQhA/s640/IMG_7208.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-IBv1aXcK3jU/Ty6_6h-pJ1I/AAAAAAAALO0/z3Tx4SR1oTI/s1600/IMG_7217.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-IBv1aXcK3jU/Ty6_6h-pJ1I/AAAAAAAALO0/z3Tx4SR1oTI/s640/IMG_7217.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-fpk1NqW3-TQ/Ty7ATa057iI/AAAAAAAALO8/mkn1II93K5U/s1600/IMG_7218.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-fpk1NqW3-TQ/Ty7ATa057iI/AAAAAAAALO8/mkn1II93K5U/s640/IMG_7218.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-mNSEKnlHplA/Ty7BPYP_JfI/AAAAAAAALPE/wqANPLKVB3g/s1600/IMG_7202.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-mNSEKnlHplA/Ty7BPYP_JfI/AAAAAAAALPE/wqANPLKVB3g/s640/IMG_7202.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-X7Bv7Zc-hoA/Ty7Gm9RofBI/AAAAAAAALPM/DbbbLIiW6Fs/s1600/IMG_7147.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-X7Bv7Zc-hoA/Ty7Gm9RofBI/AAAAAAAALPM/DbbbLIiW6Fs/s640/IMG_7147.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-n6-UZWV_Y6Q/Ty7G8GWIKfI/AAAAAAAALPU/4CUviz9ECWE/s1600/IMG_7165.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-n6-UZWV_Y6Q/Ty7G8GWIKfI/AAAAAAAALPU/4CUviz9ECWE/s640/IMG_7165.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-ViJhFKUrhxE/Ty7HMVeIK1I/AAAAAAAALPc/fMmhchBUcuI/s1600/IMG_7181.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-ViJhFKUrhxE/Ty7HMVeIK1I/AAAAAAAALPc/fMmhchBUcuI/s640/IMG_7181.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-FnJZ9uipB5E/Ty7HfTsgXaI/AAAAAAAALPk/ncNkfXIDaoA/s1600/IMG_7189.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-FnJZ9uipB5E/Ty7HfTsgXaI/AAAAAAAALPk/ncNkfXIDaoA/s640/IMG_7189.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-eFwfs6g65eo/Ty7H5LnqCaI/AAAAAAAALPs/_QSdCFdwsnI/s1600/IMG_7200.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-eFwfs6g65eo/Ty7H5LnqCaI/AAAAAAAALPs/_QSdCFdwsnI/s640/IMG_7200.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-rwNPSy8vJu0/Ty7IW8Q6vKI/AAAAAAAALP4/HBBuai3dVt8/s1600/IMG_7227.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-rwNPSy8vJu0/Ty7IW8Q6vKI/AAAAAAAALP4/HBBuai3dVt8/s640/IMG_7227.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-9E1i1fpwEiE/Ty7JH1Dt3uI/AAAAAAAALQI/9QR48kLM9Ok/s1600/IMG_7242.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-9E1i1fpwEiE/Ty7JH1Dt3uI/AAAAAAAALQI/9QR48kLM9Ok/s640/IMG_7242.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-wlR2cIvTsnE/Ty7Ja6FcTyI/AAAAAAAALQQ/21FQrsPZA7s/s1600/IMG_7244.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-wlR2cIvTsnE/Ty7Ja6FcTyI/AAAAAAAALQQ/21FQrsPZA7s/s640/IMG_7244.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-MRzq1Z8eU9Y/Ty7JnydR_BI/AAAAAAAALQY/aklfbijkDyI/s1600/IMG_7243.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-MRzq1Z8eU9Y/Ty7JnydR_BI/AAAAAAAALQY/aklfbijkDyI/s640/IMG_7243.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-05Ryxlj-HVU/Ty7J7J8BEBI/AAAAAAAALQg/-VJ7CW7LmV0/s1600/IMG_7249.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-05Ryxlj-HVU/Ty7J7J8BEBI/AAAAAAAALQg/-VJ7CW7LmV0/s640/IMG_7249.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-7Yy_yw75g-4/Ty7KKqcTN2I/AAAAAAAALQo/PYUTTchGL_Y/s1600/IMG_7251.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-7Yy_yw75g-4/Ty7KKqcTN2I/AAAAAAAALQo/PYUTTchGL_Y/s640/IMG_7251.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-JUctziIPhnw/Ty7KZG9jm0I/AAAAAAAALQw/5t5JEJQn9fs/s1600/IMG_7253.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-JUctziIPhnw/Ty7KZG9jm0I/AAAAAAAALQw/5t5JEJQn9fs/s640/IMG_7253.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-mCq-zLhyJWc/Ty7KtaIQE6I/AAAAAAAALQ4/pvgOgqn62Xk/s1600/IMG_7264.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-mCq-zLhyJWc/Ty7KtaIQE6I/AAAAAAAALQ4/pvgOgqn62Xk/s640/IMG_7264.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-bL2VlKGn8Ls/Ty7LBjraCDI/AAAAAAAALRA/bv5EJjfW6B4/s1600/IMG_7273.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-bL2VlKGn8Ls/Ty7LBjraCDI/AAAAAAAALRA/bv5EJjfW6B4/s640/IMG_7273.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-KKMn8EIjSI8/Ty7LS0DbIKI/AAAAAAAALRI/EVhwf-YeTA8/s1600/IMG_7278.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-KKMn8EIjSI8/Ty7LS0DbIKI/AAAAAAAALRI/EVhwf-YeTA8/s640/IMG_7278.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-3ylgluecmlo/Ty7M3XqybCI/AAAAAAAALRQ/DiSdyday5Vw/s1600/IMG_7283.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-3ylgluecmlo/Ty7M3XqybCI/AAAAAAAALRQ/DiSdyday5Vw/s640/IMG_7283.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8016969825687757156?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8016969825687757156/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maulidi-ya-mfungo-sita-viwanja-vya.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8016969825687757156'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8016969825687757156'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maulidi-ya-mfungo-sita-viwanja-vya.html' title='Maulidi ya Mfunguo Sita Viwanja vya Maisara Zanzibar'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-tnjumCfAec4/Ty6_Sq4TMhI/AAAAAAAALOk/49TAEQslGls/s72-c/IMG_7203.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3679721421896327391</id><published>2012-02-05T20:28:00.002+03:00</published><updated>2012-02-05T23:34:21.678+03:00</updated><title type='text'>Uzinduzi wa Visima vya Maji Jimbo la Rahaleo kusherehekea miaka 35 ya CCM</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-v49qewzE410/Ty63CZIuZLI/AAAAAAAALNU/JQZUj5giybE/s1600/IMG_7108.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-v49qewzE410/Ty63CZIuZLI/AAAAAAAALNU/JQZUj5giybE/s640/IMG_7108.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Katibu&amp;nbsp;wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj M.R.Kundyu, akisalimiana na Wananchi wa Jimbo la Rahaleo, alipowasili kuzindua mradi wa Maji Jimboni humo.moja ya Kisima cha Maji safi kilichoko Muembeshauri.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-bUYOUYGNKEw/Ty63KAyKvLI/AAAAAAAALNc/uyd7slqLWsw/s1600/IMG_7107.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-bUYOUYGNKEw/Ty63KAyKvLI/AAAAAAAALNc/uyd7slqLWsw/s640/IMG_7107.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Wananchi wa Muembeshauri Jimbo la Rahaleo wakishangilia uzinduzi wa Kisima cha Maji Safi katika Shehia yao Jimbo la Muembeshauri.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-hD-0JC0wA04/Ty63YkWDG4I/AAAAAAAALNk/wsSW6VQq3Ew/s1600/IMG_7110.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="640" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-hD-0JC0wA04/Ty63YkWDG4I/AAAAAAAALNk/wsSW6VQq3Ew/s640/IMG_7110.JPG" width="426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj. M.R.Kundya, akizinduwa maji safi ya kisima katika Mtaa wa Muembeshauri.&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-OG3cwFwhIrE/Ty63n7yZtMI/AAAAAAAALNs/6G6KGlWC4zo/s1600/IMG_7112.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-OG3cwFwhIrE/Ty63n7yZtMI/AAAAAAAALNs/6G6KGlWC4zo/s640/IMG_7112.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim Jazira, akitowa maelezo ya Mradi wa kuchimba kisima katika Shehia za Jimbo hilo kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj. MR. Kundya.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-FnBYwiF6MOE/Ty630NNCdcI/AAAAAAAALN0/6iYXqamUbK4/s1600/IMG_7113.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-FnBYwiF6MOE/Ty630NNCdcI/AAAAAAAALN0/6iYXqamUbK4/s640/IMG_7113.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Wananchi wa Jimbo la Rahaleo Shehia ya Muembeshauri, wakimsikiliza Mwakilishi wao akitowa maelezo ya mradi huo wa uchimbaji wa Visima katika Jimbo hilo.kuondowa matatizo ya maji kwa wananchi wao.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-erh_wQatV_s/Ty64X_573FI/AAAAAAAALN8/Hhvke-Tynrc/s1600/PICT1168.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="472" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-erh_wQatV_s/Ty64X_573FI/AAAAAAAALN8/Hhvke-Tynrc/s640/PICT1168.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mjini Alhajj. M.R.Kundya, akinywa maji baada ya kuzinduwa kimoja ya Kisima cha maji baada ya kuzinduwa mradi huo katika m taa wa Muembeshauri.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-B91k38o-guE/Ty64kKbGIjI/AAAAAAAALOE/plpxvaAoBsY/s1600/PICT1173.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="472" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-B91k38o-guE/Ty64kKbGIjI/AAAAAAAALOE/plpxvaAoBsY/s640/PICT1173.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj. M.R.Kundya akizinduwa kisima cha maji Jimbo la Rahaleo, mtaa wa Makadara, ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCM.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-DG9h1RXo9Do/Ty64o2e4SCI/AAAAAAAALOM/vCzdeVvi23g/s1600/PICT1175.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="472" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-DG9h1RXo9Do/Ty64o2e4SCI/AAAAAAAALOM/vCzdeVvi23g/s640/PICT1175.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Mkaazi wa mtaa wa Makadara akikinga maji baada ya kuzinduliwa mradi huo. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-AFpoi_fLPPw/Ty65B7RAOBI/AAAAAAAALOU/CIiMFu7SvZo/s1600/IMG_7122.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-AFpoi_fLPPw/Ty65B7RAOBI/AAAAAAAALOU/CIiMFu7SvZo/s640/IMG_7122.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj. M.R.Kundya, akiwahutubia wananchi wa Wadi ya Mlandege shehia ya Makadara baada ya kuwazinduliwa mradi wao wa maji safi na salama. &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-KEn7LsgFyKo/Ty65Xbqp0PI/AAAAAAAALOc/6hfLpCjhgKc/s1600/IMG_7127.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-KEn7LsgFyKo/Ty65Xbqp0PI/AAAAAAAALOc/6hfLpCjhgKc/s640/IMG_7127.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"&gt;Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Alhajj. M.R.Kundya akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Maendeleo ya Jimbo la Rahaleo baada ya kuzinduwa miradi ya maji ya jimbo hilo.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3679721421896327391?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3679721421896327391/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/uzinduzi-wa-visima-vya-maji-jimbo-la.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3679721421896327391'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3679721421896327391'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/uzinduzi-wa-visima-vya-maji-jimbo-la.html' title='Uzinduzi wa Visima vya Maji Jimbo la Rahaleo kusherehekea miaka 35 ya CCM'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-v49qewzE410/Ty63CZIuZLI/AAAAAAAALNU/JQZUj5giybE/s72-c/IMG_7108.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3209487090976443632</id><published>2012-02-05T11:38:00.001+03:00</published><updated>2012-02-06T15:15:10.883+03:00</updated><title type='text'>Ali Mbarouk Mshimba - Mgombea Uwakilishi Uzini</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MWISHONI mwa wiki Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilizindua kampeni zake za uchuguzi katika Jimbo la Uzini ikiwa ni maandalizi ya kumpata mwakilishi katika jimbo hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Uchaguzi huo unakuja ikiwa ni baada yakiti hicho kuwa wazi kutokana na aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Musa Khamis Silima (CCM), kufariki dunia kutokana majeraha aliyoyapata kwenye ajali iliyotokea Agosti mwaka jana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Tanzania Daima Jumapili, imeafanya mahojiano na mgombea uwakilishi kupitia CHADEMA, Ali Mbarouk Mshimba, ili kujua historia yake ikiwamo alipotokea kisiasa, changamoto mbalimbali ambazo anaona zinalikabili jimbo hilo na nini matarajio yake endapo atafanikiwa kuchaguliwa kuwa mbunge katika kuliendeleza jimbo hilo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema amezaliwa kijijini Uzini Aprili 10, mwaka 1966 na kusoma katika Shule ya Msingi Uzini darasa la kwanza na kumaliza la saba mwaka 1983, baadaye alijiunga na Shule ya Sekondari ya Fidel Castro iliyopo visiwani Pemba ambayo ina mchepuo wa kilimo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya hapo alijiunga na Jeshi la Kujenga Uchumi mwaka 1988 hadi 1989 na alipotoka hapo akapata kazi ya ualimu mwaka 1990 katika Shule ya Sekondai Mchangani ambayo ndio anaendelea nayo hadi leo ambapo amechukua likizo ya miezi mitatu bila malipo kwa ajili ya kufanya kampeni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwenye siasa&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema ameanza kuingia kwenye siasa tangu mwaka 1990 ambapo alikuwa Katibu wa vijana Tawi la Uzini na wakati huohuo alikuwa akikaimu nafasi hiyo ya ukatibu katika Jimbo la Tunduni (CCM).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ilipofika mwaka 1995 aligombea kiti cha uwakilishi Jimbo la Uzini kupitia CCM ambapo katika kura za maoni hakufanikiwa na badala yake alipitishwa Tafan Kassim Mzee.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na kushindwa katika kinyang’anyiro hicho aliendelea na harakati zake za siasa ambapo kwa mara nyingine aligombea nafasi ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) akachuana na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi ambapo hata hivyo hakufanikiwa kuipata nafasi hiyo iliyokwenda kwa mpinzani wake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anasema baada ya kushindwa kwenye uchaguzi huo aliendelea kuwa mjumbe kwenye kamati za mikakati na kutokana ukali wake dhidi ya wale waliokuwa wakienda kinyume na maadili ya chama alianza kuchukiwa na kupigwa vita.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anaongeza kuwa alipoona mambo yanamwendea kombo kutokana na msimamo wake aliamua kujiondoa ndani ya chama hicho ambapo mwaka 2010 alijiunga na CHADEMA kilichompa fursa ya kuwania nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka huo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mgombea huyu anasema historia ya jimbo hilo kwa muda mrefu lipo mikononi mwa CCM hivyo hata alipoingia kwenye kinyang’anyiro cha ubunge mwaka 2010 hakuweza kufurukuta mbele ya mgombea wa chama hicho tawala.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema CCM ilijikuta ikifanya ufisadi wa kidemokrasia katika jimbo hilo ambapo iliwajengea wananchi kwamba hakuna chama chochote zaidi kitakachoweza kuwaletea maendeleo zaidi ya CCM.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hivyo katika kipindi hiki anasema harakati za kulichukua Jimbo hilo zinaendelea na kwamba tayari wananchi wameanza kuzinduka na kuona kwamba hata vyama vingine vinaweza kuwaletea maendeleo baada ya muda mrefu tangu kutokea mapinduzi jimbo hilo halijapiga hatua za maendeleo kama ilivyotarajiwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema jimbo hilo ni la pili kutambuliwa katika vuguvugu la kuleta mapinduzi ya Zanzibar likitanguliwa na lile la Donge ambapo kwa matarajio ndio lingetakiwa kuongoza kimaendeleo kutokana na mchango ambao limeweza kuutoa katika kuwafanya Wazanzibari kuwa huru.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anasema hapo ndipo iliamriwa Wazanzibari kupata huduma kama za afya na elimu bure lakini hivi sasa hali haipo hivyo na badala yake huduma hizo zimekuwa ni gharama kwao jambo ambalo wengine wameshindwa kabisa kuzimudu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Ahadi zake&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anasema endapo atachaguliwa kuwa mbunge ataendeleza malengo ya uanzishwaji wa Chama cha Afro Shirazi ikiwemo kuwapatia wananchi makazi bora jambo ambalo hayati Aman Abeid Karume alianza kulitekeleza kwa kuwajengea wananchi waliokuwa na hali duni kimaisha nyumba za magorofa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema zoezi hilo la ujenzi wa nyumba za maghorofa Marehemu Karume amekufa nalo kwani hakuna aliyeliendeleza licha ya kuwa na manufaa makubwa kwa wakazi wa kisiwa hicho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anasema atapambana kuhakikisha gharama za vifaa vya ujenzi zinashushwa ikiwemo kuziondolea kodi ili wananchi wamudu kununua mabati, simenti na vifaa vinginevyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anaongeza kuwa atalishughulikia suala la kutoa elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi chuo kikuu. anasema hivi sasa gharama za kuwasomesha wanafunzi zimepanda sana na matokeo yake watoto wengi wanaomaliza elimu ya msingi hukosa nafasi ya kuendelea mbele pamoja kukosa fursa ya kupata kazi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema atatetea katika Baraza la Uwakilishi mitaaala iliyopo ibadilishwe ili kumjengea mhitimu uwezo wa kujiajiri mwenyewe pindi amalizapo masomo yake badala ya kusubiri kuajiriwa kwenye sekta ya umma au binafsi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kuhusu sekta ya afya, anasema atashughulikia suala la upatikanaji wa madaktari katika jimbo hilo ambalo kwa sasa lina vituo vingi vya afya lakini halina madaktari zaidi wanahudumia na manesi na wauguzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kutokana na hali hii anasema wagonjwa wamejikuta wakiandikiwa dawa bila kuchukuliwa vipimo jambo ambalo ni hatari kwa afya zao, kwani wanaweza wakajikuta wanatibiwa magonjwa ambayo si ynayowasumbua&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kutatua matatizo ya Uzini&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mshimba anasema tatizo kubwa kwa sasa lililopo Uzini ni la upatikanaji wa maji safi na salama, ambapo wakazi hao amekuwa wakitembea umbali mrefu kuyafuata na maji yenyewe ni ya kisima na kuongeza kwamba siku mbili kabla ya kuanza kampeni ndiyo yameanza kutoka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hilo anasema atahakikisha maji yanapatikana wakati wote na kwa yale ya visima atahakikisha yanawekwa katika hali ya usafi badala ya sasa hivi vipo wazi na hivyo kujikuta yakiingia uchafu na wakati mwingine kunywewa na wanyama kama ng’ombe, jambo ambalo ni hatari kwa afya zao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika Kilimo ambacho amedai ndio shughuli kubwa ambayo inaweza kuwaletea maendeleo wananchi wa Uzini, anasema atahakikisha pembejeo zinapatikana kiurahisi na kuwapatia masoko kirahisi tofauti na sasa hivi mkulima analazimika kusafiri hadi Unguja mjini kupeleka mazao yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Anasema atatengeneza mfumo wa masoko wa namna ya kuuza mazao hayo jimboni humo ikiwemo kuwa na kituo cha kuyakusanya kabla ya kupelekwa katika masoko makubwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Chanzo : Tanzania Daima&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3209487090976443632?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3209487090976443632/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ali-mbarouk-mshimba-mgombea-mbunge.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3209487090976443632'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3209487090976443632'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ali-mbarouk-mshimba-mgombea-mbunge.html' title='Ali Mbarouk Mshimba - Mgombea Uwakilishi Uzini'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8996645417841843981</id><published>2012-02-05T10:20:00.000+03:00</published><updated>2012-02-05T10:20:22.109+03:00</updated><title type='text'>Mtendaji Kizimbani kwa Rushwa</title><content type='html'>Na Jumbe Ismailly, Singida&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida imepandisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, ofisa mtendaji wa kijiji cha Misake, kata ya Minyughe, wilayani hapa, Omari Bakari Mandi (49) kwa tuhuma ya kuomba na kupokea rushwa ya jumla ya shilingi 115,000.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mwendesha mashitaka, Mwanasheria wa TAKUKURU Mkoa wa Singida,Wilsoni Ntiro alidai kwamba Novemba 17,mwaka jana, majira yasiyofahamika mshitakiwa huyo alimwomba Mwenyekiti wa Kitongoji cha Makilawa, Joseph Ipunze Dwash rushwa ya shilingi 40,000/=ili aweze kumbakisha  kwenye nafasi yake.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mujibu wa mwanasheria huyo akiwa mtumishi wa umma, Mandi alitenda kosa hilo huku akijua wazi kwamba ni kinyume na kifungu cha sheria ya makosa ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo ofisa mtendaji huyo wa Kijiji licha ya kuomba kiasi hicho chja fedha, lakini aliambulia kuomba tu, na hakufanikiwa kupokea kiasi hicho cha fedha alichokuwa akikiomba.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha mshitakiwa Mandi hata hivyo alikana shitaka hilo na yupo mahabusu baada ya kukosa watu wa kumdhamini hadi Februari 14, mwaka huu kesi hiyo itakaposikilizwa hoja za awali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika shitaka la pili, Mwendesha mashitaka wa TAKUKURU alidai mbele ya hakimu wa Mahakama hiyo, Ruth Massamu kuwa Disemba 10 mwaka jana majira yasiyofahamika mshitakiwa alimwomba tena mwenyekiti wa kitongoji cha Makilawa Dwash rushwa ya shilingi 75,000 ili asimwondoe kwenye nafasi yake hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo ofisa huyo wa serikali ya kijiji hakuweza kupokea kiasi hicho cha rushwa kutokana na kuzungushwa na mtu aliyemwomba kufanya hivyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo mshitakiwa huyo alikana pia shitaka hilo na yupo mahabusu baada ya kukosa wadhamini hadi Februari 14, mwaka huu kesi hiyo itakaposomewa hoja za awali.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8996645417841843981?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8996645417841843981/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mtendaji-kizimbani-kwa-rushwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8996645417841843981'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8996645417841843981'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mtendaji-kizimbani-kwa-rushwa.html' title='Mtendaji Kizimbani kwa Rushwa'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8430393313479183904</id><published>2012-02-04T09:38:00.000+03:00</published><updated>2012-02-04T09:38:08.237+03:00</updated><title type='text'>Mawakili Wataka Kesi ya Mv Spice Kupelekwa Mahakama Kuu</title><content type='html'>&lt;b&gt;Malumbano ya sheria yatawala mahakamani&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na Khamis Amani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;UPANDE wa utetezi unaoisimamia kesi ya washitakiwa wa kuzama kwa meli ya Mv. Spice Islanders, imemshauri Kaimu Mrajis wa Mahakama Kuu Zanzibar, Essaya Kayange, kuihamishia kesi hiyo Mahakama Kuu ili maamuzi ya kisheria yaweze kupatikana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Upande huo wa utetezi ulidai kuwa, katika kesi hiyo kuna baadhi ya mambo ya msingi ambayo mahakama hiyo haina uwezo wa kuyatoa kwa mujibu wa sheria, badala yake lazima yatolewe na Mahakama Kuu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hayo yameelezwa na wakili wa kujitegemea Masumbuko Lamwai, mbele ya Kaimu Mrajis huyo wakati kesi hiyo inayowakabili watuhumiwa 11 akiwemo Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Jaku Hashim Ayoub, kufikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Watuhumiwa hao ni Said Abdallah Kinyanyite, Abdallah Mohammed Ali, Yussuf Suleiman Issa (Kassu), Simai Nyange Simai, Haji Vuai Ussi, Abdallah Mohammed Abdallah, Juma Seif Juma, Hassan Mussa Mwinyi, Salim Said Mohammed Battashy, Mohammed Hasnuu Makame pamoja na Jaku Hashim Ayoub.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Lamwai alisema kuwa, kuna mambo mengi yanahitajika kuzungumzwa katika kesi hiyo, lakini inashindikana kutokana na uwezo ulionao mahakama hiyo ambayo haitaweza kuyatolea maamuzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa, kwa mujibu wa sheria kesi hiyo ilikuwa ifikishwe Mahakama Kuu ambayo ndiyo yenye mamlaka ya kuisikiliza na sio Mrajis wa mahakama, na kama suala ni mahakama tu basi ilikuwa isikilizwe na mahakama ya mkoa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande mwengine akiungana na hoja za wakili Hamid Mbwezelani juu ya suala zima la kutokamilika kwa upelelezi wa kesi hiyo wakili Lamwai alisema kuwa hoja hizo hazina msingi mahakamani hapo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alidai kuwa Tume ya Uchunguzi iliyofanya uchunguzi wake ilikuwa na Jaji wa Mahakama Kuu pamoja na Mwendesha Mashitaka wa serikali, ambao wao ndio wanaowashuku watuhumiwa wa kesi hiyo, lakini Mwendesha Mashitaka huyo huyo anadai kuwa upelelezi wake bado haujamilika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Mheshimiwa kesi hii haikuletwa mahakamani kwa misingi ya kisiasa ya kuwapoza wananchi waliofikwa na maafa, bali imekuja kwa misingi ya kisheria, na kama ipo kwa misingi ya kisiasa basi haipaswi kuwepo hapa”, alisema Lamwai.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa, kimsingi upelelezi wake tayari umeshafanywa na Tume hiyo, na pendekezo lake linaheshimika kwa ushahidi wao na hakuna wa chini yake akatoa hoja zake za kupingana na hizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kuwa, suala hilo la kutokamilika kwa upelelezi ni sawa na kuwatia hatiani watuhumiwa hao kabla ya kutiwa hatiani na mahakama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mapema wakili Hamid Mbwezeleni aliiambia mahakama hiyo kwa kudai kuwa wanashindwa kuelewa ni uchunguzi gani unaofanywa juu ya kesi hiyo wakati ripoti yake tayari imeshatolewa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Sizushi kama uchunguzi umefanywa na ripoti yake kutolewa na miongoni mwa wachunguzi ni Jaji Mkuu na kuamua watuhumiwa wafikishwe mahakamani, kwani hawakuwa na shaka kwa tuhuma walizokuwa nazo ndiyo maana wakaamua kuwaleta mahakamani”, alisema wakili Mbwezeleni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hivyo alisema kuwa suala la kutokamilika kwa upelelezi halina mashiko, na kuiomba mahakama hiyo ilikatae ombi lao hilo na kama kuna ulazima wa kukubaliwa, basi watuhumiwa hao waondolewe udhia wa kwenda na kurudi mahakamani, hadi watakapokamilisha upelelezi wao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akijibu hoja hizo, Mwendesha Mashitaka wa kesi hiyo Mohammed Khamis, Mwanasheria wa serikali kutoka Ofisi ya DPP, alisema kuwa suala la uchunguzi uliofanywa na Tume hauhusiani kabisa na upelelezi wa upande wa mashitaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa, Tume iliyoundwa kutafuta chanzo cha ajali imetoa mapendekezo mengi ya kisheria na ya kiutendaji na si lazima yafuatwe, na kwa msingi huo mapendekezo yote hayo jukumu la kuamua nani ashitakiwe na nani asishitakiwe lipo kwa Mkurugenzi wa Mashitaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema kuwa, ijapokuwa Mwendesha Mashitaka wa serikali alikuwemo katika Tume hiyo, lakini uwepo wake huo hauhusiani kabisa na utendaji wake huo bali alikuwa ni Katibu wa Tume hiyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Tume imetoa maoni yake na Ofisi imetimiza wajibu wake, sisi tunajenga upelelezi ambao utaishawishi mahakama na si kufuata maoni ya Tume ni vitu viwili tofauti visivyoingiliana kiutendaji, na mahakama inafahamu hilo”, alisema Mwanasheria huyo wa serikali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Baada ya hoja za pande mbili hizo, hakimu Essaya Kayange ambaye pia ni hakimu wa mahakama ya mkoa Vuga aliiahirisha kesi hiyo hadi Machi 7 mwaka huu kwa maamuzi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mbali ya mawakili hao upande wa utetezi pia ulikuwa ukisimamiwa na wakili Abdallah Juma pamoja na Kepteni Bendera.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika kesi hiyo, watuhumiwa wote hao wanakabiliwa na mashitaka ya uzembe na kushindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo hali iliyosababisha kuzama kwa meli ya Mv. Spice Islanders na kuua watu 203, Septemba 10 mwaka jana.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8430393313479183904?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8430393313479183904/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mawakili-wataka-kesi-ya-mv-spice.html#comment-form' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8430393313479183904'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8430393313479183904'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mawakili-wataka-kesi-ya-mv-spice.html' title='Mawakili Wataka Kesi ya Mv Spice Kupelekwa Mahakama Kuu'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-8953431277976183800</id><published>2012-02-03T21:12:00.000+03:00</published><updated>2012-02-03T21:12:56.240+03:00</updated><title type='text'>Ofisi ya Rais Yatakiwa Kuwa Kioo cha Ubora Kiutekelezaji</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-6Nc89WqLJ9g/TywjaDlOCGI/AAAAAAAALLo/gI90x1kGs6w/s1600/IMG_0379.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" src="http://2.bp.blogspot.com/-6Nc89WqLJ9g/TywjaDlOCGI/AAAAAAAALLo/gI90x1kGs6w/s640/IMG_0379.jpg" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Na Rajab Mkasaba, Ikulu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;OFISI ya Rais  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi imezipongeza juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein katika kuwaletea maendeleo wananchi wote  wa Unguja na Pemba na kueleza kuendelea kumuunga mkono ili Zanzibar iendelee kupata mafanikio makubwa ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi chini ya Waziri wake, Dk. Mwinyihaji Makame, ulieleza hayo jana ulipokutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, Ikulu mjini Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mkutano huo ni muendelezo wa  Dk.Shein kukutana na Wizara za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuangalia Mpango Kazi wa utekelezaji wa Bajeti  ya mwaka 2011/2012 kwa kipindi cha robo ya kwanza na ya pili ya mwaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Uongozi wa Ofisi hiyo ulieleza kuwa  juhudi anazozichukua Dk. Shein, katika uongozi wake ni za kupigiwa mfano katika kuwaletea maendeleo endelevu wananchi wote ikiwa ni pamoja na kuangalia maslahi ya wafanyakazi wote wa sekta ya umma, wakulima na wananchi wote kwa jumla.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, uongozi huo ulieleza kuwa wananchi wa Zanzibar wamekuwa na matumaini na matarajio makubwa ya maendeleo kutokana na juhudi za uongozi wa Dk. Shein huku uongozi huo ukieleza kufarajika kwao na muendelezo wa vikao hivyo ambavyo vimeweza kuleta faida kubwa kwa viongozi, watendaji na wafanyakazi wote wa Serikali na kuweza kufanya kazi kwa kujituma.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akisoma utangulizi juu ya taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi hiyo, Waziri Mwinyihaji  alisema mkazo zaidi umewekwa na ofisi hiyo katika utekelezaji wa shughuli ambazo zinalenga kuinua hali za wananchi kiuchumi na kupunguza kero zao za kijamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alisema Ofisi imeweza kuratibu na kusimamia utekelezaji wa malengo ya MKUZA, Dira 2020 na malengo ya Milenia pamoja na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri huyo pia, alieleza kuwa vipaumbele vimewekwa katika kuendeleza Umoja wa Kitaifa na mshikamano, kuimarisha uwezo, utoaji wa huduma ikiwemo usafishaji wa miji na uendeshaji wa Serikali za Mitaa, Mikoa na Wilaya.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na hayo Waziri Mwinyihaji alieleza kuwa Ofisi hiyo imeweka kipaumbele katika kuimarisha na kuongeza uwezo wa Idara Maalum za SMZ, Kuimarisha huduma bora katika vyuo vya Mafunzo pamoja na kupunguza msongamano.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alisema kipaumbele chengine ni kuimarisha mfungamano wa Kikanda ili Wazanzibari waweze kutumia fursa za kiuchumi zinazotokana na Jumuiya za Afrika Mashariki, Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika na Jumuiya nyengine za Kikanda.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pamoja na hayo uongozi huo ulieleza kuwa kipaumbele chengine ni kuwashajiisha Wazanzibari wanaoishi nchi za nje katika kushirikiana na kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi pamoja na kutoa elimu ya kujikinga na Maambukizi ya Ukimwi na VVU.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akieleza miradi ya maendeleo ambayo Ofisi hiyo inaendelea na utekelezaji ambayo miongoni mwao ni pamoja na ujenzi wa chuo kipya cha Mafunzo Hanyegwa Mchana, ujenzi wa Hospitali Mpya ya Kikosi cha KMKM, Ujenzi wa Makao Makuu ya Valantia, mradi wa shamba la mboga mboga Bambi na ujenzi wa Ofisi za Wakuu wa Mikoa ya Kaskazini Unguja na Kusini Unguja.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Dk. Shein kwa upande wake alitoa pongezi kwa Wafanyakazi, viongozi na watedaji wote wa afisi hiyo kwa kushirikiana pamoja na kufanya kazi hiyo nzuri waliyoiwasilisha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Dk. Shein alisema miongoni mwa mambo muhimu aliyowahakikishia wananchi wakati wa hotuba yake ya tarehe 9 Novemba huko katika Baraza la Wawakilishi ilikuwa ni pamoja na kuangalia maslahi ya ya wafanyakazi wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kuwasaidia wakulima kwa kuwapunguzia ruzuku za mbegu, mbolea, dawa za kuulia magugu, kuwaajiri Mabibi Shamba na Mabwana Shamba pamoja na kuwasaidia huduma nyengine za ugani kwa asilimia 50 hadi 75.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha, alieleza kuwa hatua nyengine ni pamoja na kuliimarisha zao la karafuu ambalo hivi sasa limeweza kuleta tija kubwa kwa wakulima pamoja na kuimarisha sekta nyengine za maendeleo zikiwemo huduma za afya na nyenginezo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakati huo huo, Dk. Shein alikutana na Uongozi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ulio chini ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia Waziri wake Dk. Mwinyihaji Makame ambaye akisoma utangulizi wa taarifa juu ya utekelezaji  wa malengo ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa alieleza vipaumbele ilivyoviweka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizitaja Taasisi zilizo chini ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambazo ni Ofisi za Mikoa yote ya Zanzibar, Wilaya, Halmashauri, baraza la Manispaa, Dk. Mwinyihaji alieleza vipaumbele ilivyoweka pamoja na Mkakati wake wa MKUZA II, Dira ya 2020 na Utekelezaji wake wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa upande wa Baraza la Manispaa, uongozi huo ulieleza mikakati yake iliyojiwekea katika uzoaji taka na uondoaji mifugo ndani ya eneo la Manispaa ya Zanzibar kwa mashirikiano ya vikosi vya SMZ.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Licha ya mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa shughuli za Ofisi hiyo Dk. Mwinyihaji alieleza kuwa zipo baadhi ya changamoto inazozikabili ikiwa ni pamoja na uelewa mdogo wa wananchi juu ya kuuweka mji katika hali ya usafi, uvamizi wa ardhi, mizozo ya kupewa vibali bila ya kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa, elimu juu ya ulipaji kodi na changamoto nyenginezo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Nae Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee ambaye amekuwa akishiriki kikamilifu katika vikao hivyo tokea kuanza kwake alieleza haja ya kuendelea kufanyakazi kwa kushirikiana na kuwataka wafanyakazi wa Ofisi hiyo kuwa kioo kwa jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza na uongozi huo Dk. Shein alitoa pongezi kwa juhudi za uongozi huo kwa utendaji wao wa kazi na kueleza haja ya kuiimarisha miji  ili iweze kuvutia ikiwemo manispaa ya mji wa Zanzibar pamoja na kuendelea kuzitafutia ufumbuzi kwa mashirikiano ya pamoja changamoto mbali mbali zilizopo katika Mikoa, Wilaya na Halmashauri zake.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-8953431277976183800?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/8953431277976183800/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ofisi-ya-rais-yatakiwa-kuwa-kioo-cha.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8953431277976183800'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/8953431277976183800'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ofisi-ya-rais-yatakiwa-kuwa-kioo-cha.html' title='Ofisi ya Rais Yatakiwa Kuwa Kioo cha Ubora Kiutekelezaji'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-6Nc89WqLJ9g/TywjaDlOCGI/AAAAAAAALLo/gI90x1kGs6w/s72-c/IMG_0379.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-2088471488603410709</id><published>2012-02-03T17:15:00.001+03:00</published><updated>2012-02-03T21:10:49.537+03:00</updated><title type='text'>Uhaba wa Petrol Katika Vituo Zanzibar Walanguzi Huuza kwa bei ya Juu.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-mx-GSUw2raE/TyvolsaPOTI/AAAAAAAALLQ/5WMQQvIwdaU/s1600/IMG_7105.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-mx-GSUw2raE/TyvolsaPOTI/AAAAAAAALLQ/5WMQQvIwdaU/s640/IMG_7105.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Baadhgi ya Magari yakiwa katika foleni kusubiri kupatiwa Mafuta katika Kituo cha Mafuta Kijangwani, bei ya mafuta lita moja shilingi 2000/=, walanguzi huuza shilingi 3500/= kwa lita moja. &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-87E6a9IPpMQ/TyvpGhc_q3I/AAAAAAAALLY/1uz26s87Mw8/s1600/IMG_7101.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-87E6a9IPpMQ/TyvpGhc_q3I/AAAAAAAALLY/1uz26s87Mw8/s640/IMG_7101.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&amp;nbsp;Watumiaji wa vyombo vya moto wakiwa katika foleni wakisubiri kununua Mafuta katika kituo hicho cha Zanzibar Petroleum Kijangwani, uhaba wa mafuta katika vituo inasababisha walanguzi kuchukuwa nafasi ya kuyauza kwa bei ya juu.&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-BsGSBE0vulI/TyvpdeHWBfI/AAAAAAAALLg/DsmkT-GLRu0/s1600/IMG_7097.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-BsGSBE0vulI/TyvpdeHWBfI/AAAAAAAALLg/DsmkT-GLRu0/s640/IMG_7097.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Walanguzi wa Mafuta ya Petrol wakiwalangua watumiaji wa vyombo vya moto baada ya kununua katika vituo na kuyalanguwa kwa bei ya shilingi 3500/= na 4000/=.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-2088471488603410709?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/2088471488603410709/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/uhaba-wa-petrol-katika-vituo-zanzibar.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2088471488603410709'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/2088471488603410709'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/uhaba-wa-petrol-katika-vituo-zanzibar.html' title='Uhaba wa Petrol Katika Vituo Zanzibar Walanguzi Huuza kwa bei ya Juu.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-mx-GSUw2raE/TyvolsaPOTI/AAAAAAAALLQ/5WMQQvIwdaU/s72-c/IMG_7105.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6992385484704038862</id><published>2012-02-03T10:07:00.001+03:00</published><updated>2012-02-03T21:09:29.965+03:00</updated><title type='text'>Ajali ya Gari Rahaleo</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-LMmBE41Xcdg/TyuF_ZuAwLI/AAAAAAAALK8/mAynll6kMYM/s1600/IMG_7076.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-LMmBE41Xcdg/TyuF_ZuAwLI/AAAAAAAALK8/mAynll6kMYM/s640/IMG_7076.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-EBwSRJMXiZo/TyuGVUrkcAI/AAAAAAAALLE/b8bOCNuinPo/s1600/IMG_7072.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-EBwSRJMXiZo/TyuGVUrkcAI/AAAAAAAALLE/b8bOCNuinPo/s640/IMG_7072.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wananchi wakiagali magari yaliogongana katika barabara ya Michenzani eneo la Rahaleo mkabala na Grevu, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.&lt;/div&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6992385484704038862?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6992385484704038862/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ajali-ya-gari-rahaleo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6992385484704038862'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6992385484704038862'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ajali-ya-gari-rahaleo.html' title='Ajali ya Gari Rahaleo'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-LMmBE41Xcdg/TyuF_ZuAwLI/AAAAAAAALK8/mAynll6kMYM/s72-c/IMG_7076.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1368910251249343196</id><published>2012-02-03T09:57:00.000+03:00</published><updated>2012-02-03T09:57:58.651+03:00</updated><title type='text'>Ligi Kuu ya Zanzibar Mafunzo 1 vs Miembeni Asili.0</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-joDZOGHDNC4/TyuEhPDtl3I/AAAAAAAALKk/btHX832G8yQ/s1600/IMG_7088.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-joDZOGHDNC4/TyuEhPDtl3I/AAAAAAAALKk/btHX832G8yQ/s640/IMG_7088.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-GsEZsJ_z-MY/TyuEslu7IuI/AAAAAAAALKs/VJKJaG4etLw/s1600/IMG_7087.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-GsEZsJ_z-MY/TyuEslu7IuI/AAAAAAAALKs/VJKJaG4etLw/s640/IMG_7087.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-8764pqawSQU/TyuE6T6EWcI/AAAAAAAALK0/vO4SX6Bt-b4/s1600/IMG_7085.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-8764pqawSQU/TyuE6T6EWcI/AAAAAAAALK0/vO4SX6Bt-b4/s640/IMG_7085.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1368910251249343196?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1368910251249343196/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ligi-kuu-ya-zanzibar-mafunzo-1-vs.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1368910251249343196'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1368910251249343196'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/ligi-kuu-ya-zanzibar-mafunzo-1-vs.html' title='Ligi Kuu ya Zanzibar Mafunzo 1 vs Miembeni Asili.0'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-joDZOGHDNC4/TyuEhPDtl3I/AAAAAAAALKk/btHX832G8yQ/s72-c/IMG_7088.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-1298134333208964923</id><published>2012-02-03T09:46:00.002+03:00</published><updated>2012-02-03T09:46:51.856+03:00</updated><title type='text'>Wizara ya Wanawake Yasisitiza Matunzo ya Watoto.</title><content type='html'>Na Khatib Suleiman&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya vijana Wanawake na Watoto Zainab Omar Mohamed alisisitiza suala la matunzo ya watoto pamoja na kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsi kwamba vimepewa kipaumbele katika utekelezaji wa Wizara hiyo kwa mwaka huu 2012-2013.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Zainab alisema hayo wakati ujumbe wa Wizara hiyo ulipokutana na rais wa Zanzibar dk.Ali Mohamed Shein Ikulu katika utaratibu wa kukutana na watendaji wa wizara mbali mbali za Serikali kujuwa utekelezaji na mipango kazi waliyojipangia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema suala la vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji vimepewa kipaumbele,ambapo Elimu kwa jamii inahitaji ili kuona watu wanaachana na ukatili huo kwa watoto.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Tumejipanga kuona kwamba kasi ya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia dhidi ya watoto chini ya umri wa miaka 15 vinaondoka moja kwa moja'alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema lipo tatizo kubwa katika jamii kwa watoto kufanya kazi ngumu bila ya ridhaa yao kwa ajili ya kupata Fedha.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema tatizo hilo kwa kiasi kikubwa limewafanya watoto kukosa moja ya haki yao ya msingi ambayo ni Elimu kwa maendeleo ya taifa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mapema dk.Sheni alisema amefurahishwa na mikakati hiyo ya kazi kwa Wizara ya wanawake na watoto kwa mwaka 2012 ambayo inakwenda sambamba na malengo ya mikataba ya kimataifa ya kukomesha ajira kwa watoto.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Ni mipango mizuri na nimeridhika nayo moja kwa moja...ipo haja kubwa ya kupambana na ajira za watoto ambazo zinarudisha nyuma juhudi za taifa la kuwapatia watoto Elimu ya msingi;'alisema Sheni.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-1298134333208964923?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/1298134333208964923/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wizara-ya-wanawake-yasisitiza-matunzo.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1298134333208964923'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/1298134333208964923'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/wizara-ya-wanawake-yasisitiza-matunzo.html' title='Wizara ya Wanawake Yasisitiza Matunzo ya Watoto.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6053200740140854476</id><published>2012-02-03T09:30:00.000+03:00</published><updated>2012-02-03T09:30:13.309+03:00</updated><title type='text'>Mahakama Haipo Kufunga Watu tu – Mrajis</title><content type='html'>Na Madina Issa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;UELEWA mdogo walionao wananchi juu ya mfumo wa mahakama na jinsi inavyotekeleza majukumu yake, ni moja ya sababu zinazochangia jamii kunyimwa haki zao na kushindwa namna ya kuzitafuta haki hizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mrajisi wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, George Kazi aliyasema hayo jana mjini Zanzibar alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari akielezea maadhimisho ya siku ya sheria Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema kutoeleweka kwa mfumo wa mahakama na ni miongoni mwa kikwazo kinachochangia jamii kukosa haki zao mahakamani na kutojua fursa ya kutafuta haki kwa muda na mahali muafaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa mbali na changamoto hiyo, pia jamii imejenga dhana kuwa mahakama ni sehemu iliyowekwa maalum kwa watu maalum na yeyote anayekwenda mahakamani basi huishia jela.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Wananchi wengi Zanzibar bado hawaelewi vyema kazi za mahakama na hivyo kuwa na dhana kwamba mahakamani ni sehemu ya watu wa aina fulani tu, na yeyote anayekwenda mahakamani basi ataishia jela”,alisema Mrajis huyo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa dhana hizo potofu ambazo wananchi wanazo ndani ya vichwa vyao, zinatokana na kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya kazi na majukumu ya mahakama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha alisema matatizo hayo yaliyopo katika jamii ya  ufahamu mdogo wa mahakama kwa kiasi kikubwa yanachangia wananchi kujichukulia sheria mikononi mwao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mrajis huyo alisema suala la kujichukulia sheria mikononi ndilo linalochangia kutendeka kwa makosa zaidi ama ya jinai au madai kwa watu kuwapiga hadi kuwaua wezi au kuharibu mali na kusababisha kuibuka kwa migogoro katika jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Hata hivyo alifahamisha kuwa siku ya sheria wataitumia kutoa elimu kwa jamii juu ya uwepo wa mahakama na kazi zake mbali mbali katika utoaji wa haki kwa jamii.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kazi alisema kuwa vyombo vya Habari vina nafasi kubwa ya kuelimisha jamii katika zoezi zima la kutoa elimu kwa jamii kuhusu mahakama inavyofanya kazi zake na jinsi itakavyoweza kuwapatia haki wananchi kwenye matatizo yao mbali mbali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alitoa wito kwa mahakimu mbalimbali kuwa makini juu ya hukumu zao wanazozitoa zikiwa na ukweli na zenye uchunguzi zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Pia aliwataka waepukane na rushwa kwani kumekuwa na tabia ya mahakimu kuwa wanapokea rushwa na ndio maana hawafanyi haki za kutoa hukumu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Maadhimisho hayo ya siku ya sheria Zanzibar inatarajiwa kufanyika Februari 7 mwaka huu, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6053200740140854476?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6053200740140854476/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mahakama-haipo-kufunga-watu-tu-mrajis.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6053200740140854476'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6053200740140854476'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mahakama-haipo-kufunga-watu-tu-mrajis.html' title='Mahakama Haipo Kufunga Watu tu – Mrajis'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-5793987699202156506</id><published>2012-02-03T09:29:00.000+03:00</published><updated>2012-02-03T09:29:09.682+03:00</updated><title type='text'>Mfumo wa Uombaji Uraia TZ Kubadilishwa</title><content type='html'>Na Kunze Mswanyama, Dodoma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WIZARA ya Mambo ya Ndani, ipo kwenye harakati za   kuboresha mfumo wa uombaji uraia pamoja na vyeti vya uraia ili viwe kwenye mfumo wa kielekroniki hali itakayozidisha usalama.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Naibu waziri wa Mambo ya Ndani, Khamis Kagasheki, alieleza hayo jana Bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu suali la Dk. Festus Limbu (Magu), aliyetaka kujua sababu za kuondolewa pasi kwa Watanzania wanaoingia Afrika Kusini, ambapo zaidi ya 100 wamerejeshwa kutokana na kufoji hati za ukaazi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kagasheki alisema mfumo wa kielektroniki utazifanya hati hizo kuwa zenye usalama zaidi na kuepuka kughushiwa pamoja na kuwa imara zaidi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika suali lake hilo Dk. Limbu alisema zipo taarifa kuwa baadhi ya vijana hughushi vyeti vya uraia ili kupata viza hiyo, ambapo Naibu huyo alisema Idara Uhamiaji inaendesha ukaguzi maalumu ili kubaini uhalali wa tuhuma hizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifahamisha kuwa kwa mujibu wa sheria ya uhamiaji namba 6 ya mwaka 1995 na kanuni zake za mwaka 1997, serikali inatakiwa kuendesha misako ili kuwabaini wahamiaji haramu wote na kuwachukulia hatua kali.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Balozi Kagasheki aliwataka watanzania kufahamu kuwa tatizo hilo ni la dunia nzima na hivyo kila mwananchi anatakiwa awe mzalendo kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya dola ili kuwakamata na kuwafikisha mahakamani ili mkondo wa sheria ufuate.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisisitiza kuwa mfumo wa usajili wa vitambulisho vya taifa ulioanza hivi karibuni na kuhusisha awamu ya kwanza kwa watumishi wa umma ambapo itasaida zaidi kuwafahamu wasiokuwa wananchi halali za Tanzania.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakati huo huo, Balozi Kagasheki amesikitishwa na taarifa za kuwepo na udhalilishaji mkubwa Magerezani na Vyuo vya Mafunzo ambapo aliwataka askari wote kutowadhalilisha wafungwa na mahabusu kwa kuwa bado wana haki za binadamu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika suali lililoulizwa na Mhonga Luhanywa (Viti Maalum) aliyetaka kujua kuwa matendo ya ukatili na ukiukwaji wa haki za binadamu zinazovunjwa na baadhi ya askari Magereza ambapo huvuliwa nguo zote na kisha kurukishwa kichura ikiwa ni vitendo vya ukaguzi ambapo misingi ya haki za binadamu haziruhusu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika swali hilo Luhanywa alitoa mfano wa gereza la Bangwe mkoani Kigoma ambapo wanawake wanaoingia huvuliwa nguo zote hali ambayo ni udhalilishaji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;“Ndio mara ya kwanza kusikia taarifa hizo za kushtua kuhusu gereza hilo. tumefuatilia bila kupata ushahidi huo, namuomba Mbunge kama anao ushahidi wa jambo hilo anipatie mara moja, bila kuwabaini askari hao ni vigumu kuwaadhibu kama aelezavyo Mbunge”,alisema Balozi Kagasheki.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema wahalifu wanapoingia na wawapo gerezani zipo kanuni zinazolinda na kuthamini haki za utu wao  chini ya kanuni za kudumu za uendeshaji Jeshi la Magereza za mwaka 1986 ambazo hazimruhusu askari kudharau au kutothamini na kumdhalilisha au kumtesa mfungwa, hatua kali za kisheria huchukuliwa mara moja dhidi ya askari atakayebainika kuwa amekiuka sheria hizo.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-5793987699202156506?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/5793987699202156506/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mfumo-wa-uombaji-uraia-tz-kubadilishwa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5793987699202156506'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/5793987699202156506'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mfumo-wa-uombaji-uraia-tz-kubadilishwa.html' title='Mfumo wa Uombaji Uraia TZ Kubadilishwa'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-4819110210938182494</id><published>2012-02-03T09:27:00.000+03:00</published><updated>2012-02-03T09:27:29.659+03:00</updated><title type='text'>ZBC Yapata Wajumbe wa Bodi</title><content type='html'>Na Mwashamba Juma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Abdillahi Jihad Hassan amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Uteuzi huo aliufanya kwa mujibu wa hati ya sheria namba 111 ya mwaka 2011 ambayo inaruhusu kuundwa kwa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari, ilisema walioteuliwa ni pamoja na Ahmed Hussein Chwaya kwa nafasi ya mtaalamu na mshauri wa mambo ya dijital na Ahmed Makame Haji.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha wengine walioteuliwa na waziri huyo ni pamoja na Hamida Ahmed Muhammed kutoka Chuo Kikuu cha Zanzibar kilichopo Tunguu na Said Hassan Said kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aidha taarifa zilisema kwamba uteuzi huo umefanyika  kufuatia uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi hiyo,  Tatu Ali Abdalla alieteuliwa na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, hivi karibuni&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-4819110210938182494?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/4819110210938182494/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zbc-yapata-wajumbe-wa-bodi.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4819110210938182494'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/4819110210938182494'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/zbc-yapata-wajumbe-wa-bodi.html' title='ZBC Yapata Wajumbe wa Bodi'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-6840753350003420931</id><published>2012-02-02T20:06:00.000+03:00</published><updated>2012-02-02T20:06:49.720+03:00</updated><title type='text'>Maofisa Wizara ya Habari Wapewa Changamoto Kuwa na Malengo Kwenye Semina Elekezi</title><content type='html'>&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Na Abdi Shamnah&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;MAOFISA Mipango kutoka Idara na Taaasisi zilizomo katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar, wametakiwa kuandaa malengo machache yalio bora, yenye uhalisia na kutekelezeka pale wanapoandaa taarifa za kila kipindi. &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Changamoto hiyo imetolewa leo na Ofisa mkuu wa Mipango, Sera na Utafiti wa Wizara hiyo, Thabit Ali wakati alipokuwa akiendesha mafunzo elekezi kwa Maofisa Mipango kutoka taasisi na Idara ziliomo katika Wizara hiyo, iliofanyika katika ukumbi wa Eacrotanal mjini hapa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mafunzo hayo ya siku moja, yameandaliwa na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, kwa lengo la kuwaandaa vyema watendaji hao katika utekelezaji wa kazi zao, ikiwemo uandaaji wa malengo katika MTEF na Bajeti za kila mwaka.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Amesema maofisa hao ni wasaidizi muhimu katika Serikali, hivyo wana wajibu mkubwa wa kuandaa malengo machache yalio bora, yenye uhalisia  na kutekelezeka na kuainisha aina ya shughuli zinazopasa kufanyika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;‘Sio vyema kuwa na malengo mengi kwa wakati mmoja kwani ni vigumu kutekelezeka’, alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aliwakumbusha umuhimu wa kuwa na malengo yenye shabaha maalum ili hatimae waweze kuyafanyia tathmin na kufahamu mafanikio yaliofikiwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alifafanua kuwa malengo hayo yanapaswa kuwagusa moja kwa moja wananchi wote Unguja na Pemba, walio Mjini na vijijini ili waweze kufahamu  uwepo wa taasisi hizo na juhudi zinazofanyika katika kuwaletea maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Thabit alitoa wito kwa idara na taasisi hizo kuvitumia kikamilifu vyombo vya habari vya Redio TV na magazeti ili kutangaza malengo yao ili hatimae wananchi walio mjini na vijijini waelewe kinachofanywa na Serikali yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Katika hatua nyingine mkufunzi huyo alizishauri idara na taasisi zenye miradi kuwashajiisha wafadhili kusaidia, pale inapowezekana badala ya kuisubiri Serikali ambayo ina mambo mengi inayoshughulikia.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakichangia katika mafunzo hayo, baadhi ya washiriki walishauri kuwepo vitengo vya Uhusiano vitakavyokuwa na Bajeti ndani ya Idara na taasisi za Wizara hiyo, ili sekta ya habari iweze kutumika ipasavyo kutangaza sera mbali mbali na kushajiisha malengo yaliowekwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wamesema ufinyu wa bajeti umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuzorotesha utekelezaji wa malengo yanayowekwa, sambamba na fedha chache zinazopatikana kutumika kwa shughuli za kiutawala badala ya zile za kimaendeleo.   &lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mapema akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi Mipango, sera na Utafiti wa Wizara ya Habari, Utamaduni, utalii na Michezo, Mwita Mashaka,  aliwataka watendaji hao kuitumia vyema fuersa hiyo kujenga uwezo ili waweze kutekeleza vyema majukumu yao.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mafunzo hayo ni ukumbusho muhimu kwao ili kuondokana na kasoro mbali mbali ambazo zimekuwa zikijitokeza kila baada ya kipindi wakati wa kuandaa taarifa hizo.&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-6840753350003420931?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/6840753350003420931/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maofisa-wizara-ya-habari-wapewa.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6840753350003420931'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/6840753350003420931'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/maofisa-wizara-ya-habari-wapewa.html' title='Maofisa Wizara ya Habari Wapewa Changamoto Kuwa na Malengo Kwenye Semina Elekezi'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-3480413722921796698</id><published>2012-02-02T20:00:00.000+03:00</published><updated>2012-02-02T20:00:15.154+03:00</updated><title type='text'>Mfuko wa Karafuu Ndiyo Mkombozi kwa Mkulima.</title><content type='html'>Na Khatib Suleiman&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="text-align: justify;"&gt;Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ipo katika hatua za mwisho kutayarisha mswada wa kuanzishwa kwa mfuko wa maendeleo ya Karafauu ambao utakuwa ndiyo mkombozi kwa wakulima wa zao hilo.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akizungumza na gazeti hili,Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui alisema utafiti umefanywa na kuonesha kwamba kazi za mfuko hizo zitakuwa ndiyo suluhisho la wakulima wa Karafuu kupiga hatua kubwa ya maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Tumefanya utafiti wa kutisha na kubaini kwamba mfuko wa Karafuu ni muhumu sana kwa maendeleo ya kilimo cha zao hilo ikiwemo kuwanufaisha wakulima wa Karafuu na kuachana na tatizo la omba omba'alisema Mazrui.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Kwa mfano alisema hivi sasa wakulima hawawezi kukopeshwa na taasisi za fedha ikiwemo mabenki kutokana na kutokuwa na mtaji wa fedha za uhakika.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Lakini watakapokuwa na mfuko wa maendeleo wa Karafuu utakuwa ukiratibu shunguli hizo ambao utakuwa ukitoa mikopo kwa wakulima wa Karafuu bila ya matatizo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Mfuko huu utakuwa ukiratibu shunguli za kutoa mikopo kwa wakulima wa Karafuu baada ya kujisajili....utasaidia wakulima kujitayarisha kuweka kambi kuchuma Karafuu kwa kuajiri vibarua'alisema Mazrui.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema mswada huo kwa sasa upo kwa wadau wakiwemo wakulima wa zao la Karafuu kwa ajili ya kutoa maoni yao kabla ya kwenda katika vyombo vya juu ikiwemo ngazi za Makatibu Wakuu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakulima wa Karafuu katika kisiwa cha Pemba katika kipindi cha msimu wa mavuno ya Karafuu tayari wametia kibindoni zaidi ya sh.Bilioni 62 zinazotokana na mavuno ya Karafuu.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Wakulima hao wameingiza fedha hizo baada ya kuuza karafuu zao katika shirika la taifa la biashara (ZSTC) tani 4213,768 na kupata zaidi ya sh.62,971,983,250.00&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-3480413722921796698?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/3480413722921796698/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mfuko-wa-karafuu-ndiyo-mkombozi-kwa.html#comment-form' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3480413722921796698'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/3480413722921796698'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/mfuko-wa-karafuu-ndiyo-mkombozi-kwa.html' title='Mfuko wa Karafuu Ndiyo Mkombozi kwa Mkulima.'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-9219964556400937752</id><published>2012-02-02T19:57:00.000+03:00</published><updated>2012-02-02T19:57:52.973+03:00</updated><title type='text'>Msekwa Awakumbusha Wanachama Maadili</title><content type='html'>Na Khatib Suleiman&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Makamo Mwenyeketi wa chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Pius Msekwa amewakumbusha wanachama wa chama cha Mapinduzi kuzingatia maadili ambayo ndiyo muongozo wa kuimarisha chama hicho.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Msekwa alisema hayo huko UZINI wakati wa uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi kwa mgombeya wake Mohamed Raza,na kusema maadili katika chama yameshuka sana.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;/div&gt;&lt;a name='more'&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Napenda kuwakumbusha wanachama wa chama cha Mapinduzi suala zima la maadili.....zipo ahadi tatu za mwanachama wa chama cha Mapinduzi ikiwemo kuzingatia maadili ya chama'alisema Msekwa.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alisema chama cha Mapinduzi hivi karibuni kinatazamiwa kutoa muongozo utakaozingatia suala zima la maadili ya chama kwa wanachama pamoja na viongozi.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Mapema akizinduwa kampeni hizo Makamo Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Zanzibar Amani Abeid Karume alisema CCM ndiyo chama kinachotekeleza ahadi zake kwa wapiga kura.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Alitoa mfano katika mwaka 2005 wakati alipokwenda jimo la Uzini kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi wa rais,aliahidi kujenga barabara kwa kiwango cha lami pamoja na shule ya sekondari ya kisasa ,ahadi ambayo imetekelezwa kwa vitendo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Hiyo ndiyo CCM ambapo wakati inapoahidi jambo kwa wapiga kura basi hutekeleza kwa vitendo bila ya matatizo'alisema.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Aliwaomba wanachama wa chama cha Mapinduzi pamoja na wananchi kwa ujumla kumchaguwa Raza kwa sababu  ndiyo chaguo la wapiga kura baada ya kupata ushindi mkubwa katika kura za maoni.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;Akijitambulisha kwa wananchi pamoja na kuomba kura,Raza aliahidi kushirikiana na wananchi wa jimbo la UZINI kwa ajili ya kuwaletea maendeleo.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;'Nimeomba kazi ya Uwakilishi kwa ajili ya kuwaleteeni maendeleo katika sekta mbali mbali....mkinichaguwa kamwe sitawaangusha na nitatimiza matakwa yenu'alisema Raza.&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: justify;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/7325006544405952039-9219964556400937752?l=othmanmapara.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://othmanmapara.blogspot.com/feeds/9219964556400937752/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/msekwa-awakumbusha-wanachama-maadili.html#comment-form' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/9219964556400937752'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/7325006544405952039/posts/default/9219964556400937752'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://othmanmapara.blogspot.com/2012/02/msekwa-awakumbusha-wanachama-maadili.html' title='Msekwa Awakumbusha Wanachama Maadili'/><author><name>MAPARA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01377285583706843106</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='21' height='32' src='http://4.bp.blogspot.com/_VoTYch4E9p0/TNBOuJZN2uI/AAAAAAAADkU/jT1sA-_eh50/S220/IMG_1541.JPG'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-7325006544405952039.post-334160500180283227</id><published>2012-02-02T11:14:00.000+03:00</published><updated>2012-02-02T11:14:15.740+03:00</updated><title type='text'>Uzinduzi wa Kampeni ya CCM Jimbo la Uzini Wilaya ya Kati Unguja.</title><content type='html'>&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-zsOzL6v-8Gs/TyltAUg9CKI/AAAAAAAALFU/KBHZsZHAMEk/s1600/IMG_6916.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-zsOzL6v-8Gs/TyltAUg9CKI/AAAAAAAALFU/KBHZsZHAMEk/s640/IMG_6916.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume, akiwasili katika viwanja vya Skuli ya Uzini na&amp;nbsp;kufungwa kiskafu na Vijana wa Chipukizi.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Xs5fQYnSvcQ/TyltSS3aJUI/AAAAAAAALFc/TVV8sv2Y9S8/s1600/IMG_6920.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Xs5fQYnSvcQ/TyltSS3aJUI/AAAAAAAALFc/TVV8sv2Y9S8/s640/IMG_6920.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Makamu Mwenyekiti wa CCM&amp;nbsp;Zanzibar Dk.Amani Baeid Karume, akizungumza na Mgombea wa CCM Jimbo la&amp;nbsp;Uzini Mohammed Raza, alipowasili katika viwanja vya Uzinduzi wa Kampeni Skuli ya Uzini.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-sMz-5BFhtso/Tylte1QQp9I/AAAAAAAALFk/wdPaGlcxE30/s1600/IMG_6923.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-sMz-5BFhtso/Tylte1QQp9I/AAAAAAAALFk/wdPaGlcxE30/s640/IMG_6923.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Jamal Kassim Ali.wakati akiwasili viwanja vya Kampeni ya Jimbo la Uzini.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-iZIp3AqoIII/Tyo4bGXfF5I/AAAAAAAALIU/i0j-JrxxRYA/s1600/IMG_7062.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-iZIp3AqoIII/Tyo4bGXfF5I/AAAAAAAALIU/i0j-JrxxRYA/s640/IMG_7062.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume, akimtambulisha Mgombea wa CCM Jimbo la&amp;nbsp;Uzini, Mohammed Raza, katika uzinduzi&amp;nbsp; uliofanyika katika Viwanja vya Skuli ya Uzini Wilaya ya Kati Unguja.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-F9fbs_kVNT0/Tyo4pAutklI/AAAAAAAALIc/LcPx4oKu4PM/s1600/IMG_7054.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-F9fbs_kVNT0/Tyo4pAutklI/AAAAAAAALIc/LcPx4oKu4PM/s640/IMG_7054.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-Au8y8yl5xXQ/Tyo41r-AArI/AAAAAAAALIk/zzWpAkIY-Hc/s1600/IMG_7049.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-Au8y8yl5xXQ/Tyo41r-AArI/AAAAAAAALIk/zzWpAkIY-Hc/s640/IMG_7049.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Mgombea wa CCM Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akitowa sera za Chama chake katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Jimbo hilo uliozinduliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-dGIPxsrSDdc/Tyo5SPzgn5I/AAAAAAAALIs/G3T6Fh_oNt8/s1600/IMG_6970.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://1.bp.blogspot.com/-dGIPxsrSDdc/Tyo5SPzgn5I/AAAAAAAALIs/G3T6Fh_oNt8/s640/IMG_6970.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Wananchi na Wanachama wa CCM wakimshangilia Mgombea wao alipokuwa jukwaani akitowa sera zake kwa Wananchi wa Jimbo hilo na kuomba Kura.katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni. &amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-p4ZM7QEJhqg/Tyo5uaBo0cI/AAAAAAAALI0/N3tnyGFWQhk/s1600/IMG_7022.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-p4ZM7QEJhqg/Tyo5uaBo0cI/AAAAAAAALI0/N3tnyGFWQhk/s640/IMG_7022.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Baadhi wa Wanachama wa CCM walioingira katika kinyanganyiro cha kugombea nafasi hiyo katika kura za maoni,kwa bahati kura zao hazikutosha&amp;nbsp;wakimsikiliza Mgombea wa CCM Mohammed Raza akimwaga sera za Chama chake katika Mkutano wa Kampeni. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-U_qBz-xb0Us/Tyo6Clz8WdI/AAAAAAAALI8/iyfpi8WzZZs/s1600/IMG_6987.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-U_qBz-xb0Us/Tyo6Clz8WdI/AAAAAAAALI8/iyfpi8WzZZs/s640/IMG_6987.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Pius Msekwa, akitowa nasaha zake kwa Wanachama wa CCM wa Jimbo la Uzini katika Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni katika viwanja vya Skuli ya Uzini.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-POtIEd5knpw/Tyo6QWCGwNI/AAAAAAAALJE/Cqc_5v0oJ4o/s1600/IMG_6994.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-POtIEd5knpw/Tyo6QWCGwNI/AAAAAAAALJE/Cqc_5v0oJ4o/s640/IMG_6994.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Katibu Mkuu wa CCM&amp;nbsp;Mkama, akiwahutubia&amp;nbsp; Wanaccm wa Jimbo la Izinu katika Mkutano wa Kampeni. &amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Fj6ORB88s1U/Tyo6bK-RHVI/AAAAAAAALJM/uGvfUqC7gN4/s1600/IMG_6927.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-Fj6ORB88s1U/Tyo6bK-RHVI/AAAAAAAALJM/uGvfUqC7gN4/s640/IMG_6927.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Vijana wa CCM wakihamasisha katika Mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni ya Jimbo la Uzini. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-WOn4jl5GYrE/Tyo6urB55GI/AAAAAAAALJU/-SCWDSUgCak/s1600/IMG_6937.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-WOn4jl5GYrE/Tyo6urB55GI/AAAAAAAALJU/-SCWDSUgCak/s640/IMG_6937.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;Baadhi ya Wanachama wa CCM, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Dk. Amani Abeid Karume akizinduwa Mkutano wa Kampeni kwa Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Uzini, katika Uchaguzi Mdogo.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-ibkZpeF75kw/Tyo7J5wniXI/AAAAAAAALJc/48RwMYzi3ZU/s1600/IMG_6973.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-ibkZpeF75kw/Tyo7J5wniXI/AAAAAAAALJc/48RwMYzi3ZU/s640/IMG_6973.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,&amp;nbsp;akitowa maelezo ya Uzinduzi wa Kampeni ya Jimbo la Uzini.&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-ghjLW6ym1pQ/Tyo7cEyhdFI/AAAAAAAALJk/-mUvlceQ9OM/s1600/IMG_6979.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-ghjLW6ym1pQ/Tyo7cEyhdFI/AAAAAAAALJk/-mUvlceQ9OM/s640/IMG_6979.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Mbunge wa Jimbo la Uzini Mohammed Seif Khatib, akiwahamasisha Wananchi wa Jimbo lake katika Mkutano wa Kampeni uiliofanyika katika Viwanja vya Skuli ya Uzini.&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-mc1KybPucdM/Tyo7rpFkU5I/AAAAAAAALJs/k8GxmwK8Xpg/s1600/IMG_6951.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-mc1KybPucdM/Tyo7rpFkU5I/AAAAAAAALJs/k8GxmwK8Xpg/s640/IMG_6951.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Wanachama wa CCM wakihamasisha Wananchi wa Jimbo la Uzini kukipigia kura cha cha Mapinduzi wakiwa na Bango. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-O1ujc2g_1Tk/Tyo8DR_1jfI/AAAAAAAALJ0/xWtCD1eaPlM/s1600/IMG_6949.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://4.bp.blogspot.com/-O1ujc2g_1Tk/Tyo8DR_1jfI/AAAAAAAALJ0/xWtCD1eaPlM/s640/IMG_6949.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-EW-fF8QKKRk/Tyo8Ti6MDvI/AAAAAAAALKA/-VPVkJyfEGA/s1600/IMG_6957.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"&gt;&lt;img border="0" height="426" sda="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-EW-fF8QKKRk/Tyo8Ti6MDvI/AAAAAAAALKA/-VPVkJyfEGA/s640/IMG_6957.JPG" width="640" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;&lt;div style="text-align: center;"&gt;&amp;nbsp;Msanii wa Kizazi Kipya IT,akiimba wimbo wa kumpigia kampeni mgombea wa&amp;nbsp;CCM Mohammed Raza. &lt;/div&gt;&lt;div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-2R-f8X30bsw/Tyo8qCWoGHI/A
