Habari za Punde

Rabsha Rabsha na purukushani wakati wa upigaji kura


Kumekuwa na vurugu za hapa na pale, Polisi kupambana na vijana kwenye kituo cha kupigia kura wakati wa uchaguzi mdogo kumchagua Mwakilishi wa jimbo la Bububu Zanzibar jana. (

 Polisi wa kutuliza ghasia wakiwa katika doria eneo la Bububu

 Polisi wa kuzuia ghasai wakijaribu kuwadhibiti baadhi ya vijana waiokuwa karibu na kituo cha upigaji kura

 Askari wa kutuliza ghasia pamoja na vikosi vya vbalantia wakishuka katika gari wakati weakidhibiti rabsha rabsha na purukushani zilizojitokea wakati wa upigaji kura
 Mawakala wa vyama tofauti vilivyoshiriki katika uchaguzi wa bububu wakifuatilia kwa makini maendeleo ya zoezi hilo
 Mmoja katika wapiga kura wa jimbo la Bububu akipiga kura yake
 
 
Picha zote na Martin Kabemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.