Wachezaji wa timu ya Yanga wakiingia Uwanjani katika mchezo wa Ufunguzi wa Michuano ya Kombe la Kagame inayofanyika Uwanja wa Taifa Mjini Dar-es- Salaam
Moja ya kizazaa golini kwa timu ya Yanga wakati mikicheza na timu ya Atletico ya Burundi mchezo ulifanyika uwanja wa Taifa, timu ya Atletico imeshinda 2--0
Wachezaji wa timu ya Yanga wakitoka uwanjani kwa kipigo cha mabao 2-0.
No comments:
Post a Comment