WANANCHI WANAPASWA KUELEWA UMUHIMU WA KULIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Morogoro
Imeelezwa Kuwa ili kuweza kufikia utekelezaji mzuri wa bajeti ya Serikali
wadau katika sekta ya habari wametakiwa k...
2 hours ago
Asalama alaikum waisilam wote kwa ujumba huu ni mwezi mtukufu kwetu waisilamu kufanya mema pia kuzidi kukumbusha yale tunayoyasahau au tusiyo yajuwa hakuna binadamu aliye kamilika nikatika mwezi huu ndio iliposhushwa quran tukufu ndani ya Qurani hiyo kuna mengi sana tu leo hapa napenda tukumbushane kauli wapo ya Mmungu iliyokuwemo ndaniya Qurani Mmungu anatwambia Waiteni watoto wenu kwa majina ya Baba zao sasa unapo mwita huyu mke wa Rais kwa jina la mumewe (Mwanamwema Shein) tayari unakizana na kauli ya Mwenywezi Mungu,lakini nomba hapa ikumbukwe inategemea na imani ya dini ya mwitaji na aitwae Asalam alikum
ReplyDelete