Habari za Punde

Eneo la tukio ilipozama Boti ya kampuni ya seagull ikitokea Dar kuelekea Zanzibar.

Mwokoaji akiwa na mmoja wa maiti wa ajali hiyo
 Waokoaji wakiokoa moja ya maiti. wakiwa katika boti ya Kilimanjaro. 
  Majeruhi wakiwa katika mgongo wa boti hiyo wakisubiri kuokolewa.
 Baadhi ya Abiria wakiwa katika moja ya chombo cha kuokolea wakielea baharini wakisubiri kuokolewa.
 Boti ya KMKM ikiwa katika zoezi la kuokowa majeruhi. 
 Helikopta ya Jeshi la Polisi ikiwa eneo la tukio.
 Boti iliozama ni kama hii ni ni pacha wake.
 Boti ya Fly ikiondoka katika bandari ya Zanzibar kueleke kutowa msada w uokoaji.

 Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu Hamad Masoud akiwa katika boti ya Kilimanjaro akiwa sehemu ya Tukio ilipozama boti hiyo maeneo ya Chumbe.
 Tagi la Shirika la Bandari likiwa katika sehemu ya tukio.



2 comments:

  1. Kaka ahsante kwa juhudi zako za kuturushia picha za matukio ili kutuhabarishakile kilichojiri.

    Picha hizi ni muhimu hasa kwa sisi tulio mbali na eneo la tukio..M/Mungu akuzidishie uwezo ktk zako!

    ReplyDelete
  2. mkuu asantee sana kwa kutupaa matokeoo muhimu kama mara nyingi utumiaa blog yako sana kwa kupata habari za kila siku nyumbani ishallah mola awawekee sehemu njema peponi Amein..

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.