Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza Awasilisha Bajeti ya Ofisi yake


 

Waziri wa Nchi  Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Fatma Ferej, akiwasilisha hutuba ya Bajeti ya Ofisi yake katka Kikao cha Bajeti cha Baraza la Wawakilishi leo jioni katika ukumbi wa Baraza Chukwani Zanzibar.  
 

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakifuatilia hutuba ya Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais ikiwasilishwa leo jioni.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Dk. Shajak na Maofisa wa Ofisi hiyo wakifuatilia hutuba ya Bajeti ikiwasilishwa leo jioni na Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Ferej.

 Maofisa wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Bajeti ya Ofisi yao ikiwasilishwa na Waziri  Mhe Fatma Ferej katika Kikao cha Bajeti leo jioni.
Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Ferej, akizungumza na Wafanyakazi wa  Ofisi yake wa Idara mbalimbali baada ya kuwasilisha Bajeti ya Ofisi yake leo jioni katika Kikao cha Bajeti kwa Mwaka 2012/2013

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.