Afisa Uhusiano wa UN Tanzania Stella Vuzo, akizungumza katika moja ya Nyumba za Sober House,Mpendae ikiwa ni maadhimisho ya kupiga Vita matumizi ya Dawa za Kulevya.
Dk. Mahmoud akizungumza jinsi ya vijana wanavyoishi katika nyumba hizo na kupasa ushauri kupitia kwa viangozi wa Sober House.
No comments:
Post a Comment