Habari za Punde

Amani Makungu apeta Uchaguzi Mdogo wa ZFA Zanzibar.

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo akifungua Mkutano Mkuu wa ZFA ,kumchagua Rais wa ZFA Taifa uliofanyika ukumbi wa Salama Bwawani.



Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Uchaguzi Gulam Abdalla akiongoza kikao cha uchaguzi mdogo wa ZFA uliompata Rais wake Amani Magungu.
 



 

 


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.