Wananchi wakiangalia Samaki aina ya Papa aliyevulia katika bahari ya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, ambaye anakisiwa kuwa na kilo 150, akipasuliwa ili kuweza kuuziwa kwa Wananchi wanofika katika marikiti hiyo kupata kitoweo katika maakuli yao.Papa huyu anakaribia kufikia urefu wa futi tano na nusu.
Mkurugenzi wa Shughuli za Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ndg.Othman Ali
Akizungumza na Waandishi wa Habari
-
Mkurugenzi wa Shughuli za Baraza la Wawakilishi Othman Ali Haji akijibu
Maswali ya Waandishi wa Habari wakati akitoa taarifa kuhusiana na
Shughuli za M...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment