Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda na Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni Thuwaiba Kisasi akipata maelezo ya majengo ya Kijiji cha Jitimai Fuoni kutoka kwa Katibu wa Jumuiya hiyo Mwalim Hafidhi, al;ipofika katika uzinduzi wa maandalizi ya Ijitimai.
Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Thuwaiba Kisasi, akitowa nasaha zake kwa Wanawake wa Kiislamu walioghudhuria mkutano wa uzinduzi wa maandalizi ya Ijitimai, uliofanyika katika viwanja vya Ijitimai Fuoni Markasi.
Mwenyekiti wa Ijitimai Amiri Mkuu Ali Khamis, akitowa maelezo ya maandalizi ya Ijitimai ya Kimataifa inayotarajiwa kufanyika mwezi wa saba 2012, katika viwanja vya Ijitimai Fuoni na kuwashirikisha Waislamu wa mbnalimbali kutoka nje ya Zanzibar.
Katibu wa Ijitimai Mwalim Hafidh, akitowa machache katika uzinduzi wa maandalizi yanayofanya na kamati mbalimbali ili kufanikisha Ijitimai hiyo.
No comments:
Post a Comment