Habari za Punde

ZIARA YA DK SHEIN KISIWANI PEMBA

>
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Akiangalia karafuu zilizokatwa wakati zikisafirishwa kwa njia ya magendo.Karafuu hizo zikiwa zimehifadhiwa katika kituo cha ZSTC, huko katika Bandari ya Wete jana.(Katikati)  ni mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein, (kushoto) Naibu Meneja wa ZSTC Pemba, Hamad Khamis Hamad
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Akisikiliza raisala ya wachumaji wa karafuu katika kambi ya daya Mtambe  jana alipofanya ziara kutembelea kambi za wachumaji wa karafuu Mtambwe wilaya ya Wete

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK A,li Mohamed Shein Akizungumza na wananchi na wakulima wa karafuu katika banda la ZSTC Daya Mtambe ambapo ni kituo kikuu cha ununuzi wa zao hilo, linalopelekea kukuza uchumi wa Nchi.

Picha na Ramadhan Othman,Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.