Habari za Punde

DK SHEIN AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA - GANDO -WETE

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akipewa maelezo na Waziri wa mawasiliano na Miundombinu,Hamad masoud,alipotembelea kituo cha kampuni ya Mecco inayojenga barabara ya Gando-Wete



Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na wananchi wa kijiji cha gando,wilaya ya Wete alipotembelea maendeleo ya barabara Gando-Wete, inayojengwa na kampuni  ya Mecco
 

KATAPILA likiwa kazini ujenzi wa barabara ya Gando - Wete

Rais wa Zanzibar,Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi wa kiji cha gando,wilaya ya Wete alipotembelea maendeleo ya barabara Gando-Wete, inayojengwa na kampuni Mecco

Pichani Daraja la Kicha lililoko katika wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, likiwa katika hali mbaya, ikiwa limekatika kutokana na magari yenye uzito mkubwa kupita katika daraja hilo

Picha na Ramadhan Othman, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.